Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Badiliko: pt:Europa Setentrional
d r2.6.2) (roboti Nyongeza: cu:Сѣ́вєрьна Єѵрѡ́па
Mstari 25: Mstari 25:
[[ca:Europa del Nord]]
[[ca:Europa del Nord]]
[[cs:Severní Evropa]]
[[cs:Severní Evropa]]
[[cu:Сѣ́вєрьна Єѵрѡ́па]]
[[cv:Çурçĕр Европа]]
[[cv:Çурçĕр Европа]]
[[cy:Gogledd Ewrop]]
[[cy:Gogledd Ewrop]]

Pitio la 22:39, 23 Machi 2011

Ulaya ya Kaskazini na nchi zinazokubaliwa kwa kawaida kuwa sehemu zake
Kanda za UM linaonyesha visiwa vya Britania kuwa sehemu ya Ulaya ya Kaskazini.

Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.

Kwa hakika tamko hili lamaanisha:

  • Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.