Michelangelo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kbd:Микеланджело
Mstari 98: Mstari 98:
[[kaa:Michelangelo]]
[[kaa:Michelangelo]]
[[kab:Michelangelo]]
[[kab:Michelangelo]]
[[kbd:Микеланджело]]
[[kn:ಮೈಕೆಲ್ಯಾಂಜೆಲೊ]]
[[kn:ಮೈಕೆಲ್ಯಾಂಜೆಲೊ]]
[[ko:미켈란젤로 부오나로티]]
[[ko:미켈란젤로 부오나로티]]

Pitio la 09:21, 22 Machi 2011

Sanamu ya Daudi
Picha ya Hukumu ya Mwisho kwenye ukuta wa Kikanisa cha Sistina (Vatikano)

Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni (6 Machi 1475 - 18 Machi 1564) alikuwa msanii nchini Italia aliye maarufu kama mchongaji, mchoraji, msanifu majengo na mshairi. Huhesabiwa kati ya wasanii muhimu zaidi wa zama ya mwamko.

Kati ya kazi zake maarufu ni sanamu ya kijana Daudi na picha za ukutani wa Kikanisa cha Sistina huko Vatikano mjini Roma alichopamba kwa hadithi na watu wa Biblia.

Kati ya kazi zake maarufu kama msanifu majengo ni hasa kuba ya Basilika la Mt. Petro kwenye Vatikano mjini Roma.

Picha

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michelangelo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA