Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: uk:1-е послання Тимофію
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: hu:Pál első levele Timótheoszhoz
Mstari 33: Mstari 33:
[[he:האיגרת הראשונה אל טימותיוס]]
[[he:האיגרת הראשונה אל טימותיוס]]
[[hr:Prva poslanica Timoteju]]
[[hr:Prva poslanica Timoteju]]
[[hu:Pál első levele Timótheoszhoz]]
[[id:Surat Paulus yang Pertama kepada Timotius]]
[[id:Surat Paulus yang Pertama kepada Timotius]]
[[it:Prima lettera a Timoteo]]
[[it:Prima lettera a Timoteo]]

Pitio la 13:53, 20 Machi 2011

Agano Jipya


Barua ya kwanza kwa Timotheo ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.

Pamoja na ile ya pili aliyomuandikia na ile kwa Tito inaunda kundi la Nyaraka za Kichungaji.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mazingira

Barua hii iliandikwa na Mtume Paulo baada ya kifungo chake cha kwanza mjini Roma labda akiwa Makedonia ili kumpa mwanafunzi wake mpenzi mashauri na maelekezo kwa kazi yake aliyomshirikisha.


Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili