Ufalme wa Bizanti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: nap:Impero romano d'Oriente
Mstari 29: Mstari 29:
{{Link FA|nl}}
{{Link FA|nl}}
{{Link FA|zh}}
{{Link FA|zh}}

[[rue:Візантьска ріша]]


[[af:Bisantynse Ryk]]
[[af:Bisantynse Ryk]]
Mstari 96: Mstari 94:
[[my:ဘိုင်ဇန်တိုင်း အင်ပိုင်ယာ]]
[[my:ဘိုင်ဇန်တိုင်း အင်ပိုင်ယာ]]
[[mzn:بیزانس]]
[[mzn:بیزانس]]
[[nap:Impero romano d'Oriente]]
[[nds:Byzantiensch Riek]]
[[nds:Byzantiensch Riek]]
[[new:बैजन्टाइन साम्राज्य]]
[[new:बैजन्टाइन साम्राज्य]]
Mstari 111: Mstari 110:
[[roa-tara:'Mbere Bizzandine]]
[[roa-tara:'Mbere Bizzandine]]
[[ru:Византийская империя]]
[[ru:Византийская империя]]
[[rue:Візантьска ріша]]
[[scn:Mpèriu bizzantinu]]
[[scn:Mpèriu bizzantinu]]
[[sh:Bizantsko carstvo/Latinična verzija]]
[[sh:Bizantsko carstvo/Latinična verzija]]

Pitio la 09:37, 20 Machi 2011

Mabadiliko ya eneo la Bizanti au Roma ya Mashariki

Ufalme wa Byzantini (Kigiriki: Βυζαντινή Αυτοκρατορία) ni neno linalotumika kutaja Dola la Roma lilivyoendelea katika mashariki ya eneo la Mediteranea katika Zama za Kati, ukiwa na makao yake makuu kwenye mji wa Konstantinopoli ulioitwa pia Bizanti na kutumia lugha ya Kigiriki.

Katika baadhi ya maana, hasa kuhususiana na wakati baada ya kuanguka kwa Dola la Roma katika magharibi na mjini Roma penyewe hujulikana pia kama Dola la Roma Mashariki.

Wabizanti wenyewe walijiona ni bado Dola la Roma wakiendelea tu. Watawala walitumia cheo cha "Kaisari" kama awali.

Hata hivyo, kwa wakati mwingi wa historia yake, ulifahamika na wenzao wa Ulaya magharibi kama “Ufalme wa Wagiriki” au “Ufalme wa Konstatinopoli” au "Rhômania".

Lakini majirani wa mashariki kama Waarabu waliendela kuwaita "Waroma" (kar. روم rum).

Bizanti ilipata mapigo mawili makubwa katika historia yake:

Shambulio hili lilisababisha nguvu za ufalme kufifia kabisa. Hata baada ya kurudi Konstantinopoli watawala wa Bizanti walikosa nguvu ya kujitetea kwa nguvu dhidi ya Waturuki Waosmani walioteka Konstantinopoli mwaka 1453 na kumaliza kabisa Bizanti uliotunza urithi wa Roma ya kale hadi wakati ule.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA