Bunilizi ya kinjozi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: tl:Pantasya |
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: vi:Kỳ ảo |
||
Mstari 54: | Mstari 54: | ||
[[uk:Фентезі]] |
[[uk:Фентезі]] |
||
[[ur:تخیلہ]] |
[[ur:تخیلہ]] |
||
[[vi:Kỳ ảo]] |
|||
[[yi:פאנטאזיע]] |
[[yi:פאנטאזיע]] |
||
[[zh:奇幻小说]] |
[[zh:奇幻小说]] |
Pitio la 12:45, 3 Machi 2011
Bunilizi ya kinjozi (au bunilizi ya kifantasia) ni utanzu fulani wa fasihi andishi. Katika bunilizi hiyo mwandishi anatumia matukio au wahusika wasio wa kawaida. Mifano ya bunilizi ya kinjozi katika fasihi ya Kiingereza ni "A Midsummer Night's Dream" (Ndoto ya Usiku Mmoja) ya William Shakespeare, "Gulliver's Travels" (Safari za Guliveri) ya Jonathan Swift, au "The Lord of the Rings" (Bwana wa Mapete) ya J.R.R. Tolkien.
Bunilizi ya kinjozi hutofautishwa na bunilizi ya kisayansi kwa vile haisifu mambo ya teknolojia bali inatumia maajabu na viumbe vya visasili.
Marejeo
Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.