Chihuahua (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Koyak (majadiliano | michango) FAKE |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha: |
[[Picha:Flag of Chihuahua.svg|thumb|Bendera ya Chihuahua]] |
||
[[Picha:Mexico map, MX-CHH.svg|thumb|Mahali pa Chihuahua katika [[Mexiko]]]] |
[[Picha:Mexico map, MX-CHH.svg|thumb|Mahali pa Chihuahua katika [[Mexiko]]]] |
||
'''Chihuahua''' ni moja kati ya majimbo 31 ya [[Mexiko]] upande wa kaskazini ya nchi. Mji mkuu ni [[Chihuahua, Chihuahua|Chihuahua]] na mji mkubwa ni [[Ciudad Juárez, Chihuahua|Ciudad Juárez]]. |
'''Chihuahua''' ni moja kati ya majimbo 31 ya [[Mexiko]] upande wa kaskazini ya nchi. Mji mkuu ni [[Chihuahua, Chihuahua|Chihuahua]] na mji mkubwa ni [[Ciudad Juárez, Chihuahua|Ciudad Juárez]]. |
Pitio la 08:33, 28 Februari 2011
Chihuahua ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kaskazini ya nchi. Mji mkuu ni Chihuahua na mji mkubwa ni Ciudad Juárez.
Imepakana na Marekani (New Mexico na Texas), Coahuila, Durango, Sonora na Sinaloa.
Jimbo lina wakazi wapatao 3,241,444 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 244,938.
Gavana wa jimbo ni José Reyes Baeza Terrazas.
Lugha rasmi ni kihispania.
Miji Mkubwa
- Ciudad Juárez (1,400,891)
- Chihuahua (748,551)
- Delicias (34,136)
Viungo vya Nje
- (Kihispania) Estado de Chihuahua Sitio oficial
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Chihuahua (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |