Dolar ya Marekani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: ky:АКШ доллары
d r2.5.1) (roboti Nyongeza: lad:Dolar de Estados Unidos
Mstari 74: Mstari 74:
[[ky:АКШ доллары]]
[[ky:АКШ доллары]]
[[la:Dollarium (CFA)]]
[[la:Dollarium (CFA)]]
[[lad:Dolar de Estados Unidos]]
[[lb:US-Dollar]]
[[lb:US-Dollar]]
[[lmo:Dolar statünidens]]
[[lmo:Dolar statünidens]]

Pitio la 23:15, 27 Februari 2011

Dola ya Marekani

Dola ya Marekani (US-Dollar, kifupi USD) ni pesa halali ya Marekani. Alama yake ni USD au mara nyingi alama ya dola tu $.

Dola ya Marekani inapatikana kwa benknoti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.

Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dola (half dollar, senti 50), robo dola (quarter, senti 25) na sarafu za senti 10 (dime), 5 (nickel) na 1 (penny).

Hadi 1969 benknoti ya dola ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani atampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuibadilisha. Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini.

Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia 1945 dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa bei za dola hizi. Lakini tangu kupatikana kwa Euro mwaka 1999 umuhimu wa dola ya Marekani imeanza kupungua polepole.