Teknolojia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ja:科学技術
d r2.7.1) (roboti Badiliko: ja:テクノロジー
Mstari 61: Mstari 61:
[[it:Tecnologia]]
[[it:Tecnologia]]
[[iu:ᓴᓇᕐᕈᑏᑦ ᐊᑑᑎᖏᑕᓗ ᖃᐅᔨᒪᔭᐅᓂᖓ/sanarrutiit atuutingitalu qaujimajauninga]]
[[iu:ᓴᓇᕐᕈᑏᑦ ᐊᑑᑎᖏᑕᓗ ᖃᐅᔨᒪᔭᐅᓂᖓ/sanarrutiit atuutingitalu qaujimajauninga]]
[[ja:科学技術]]
[[ja:テクノロジー]]
[[jv:Tèknologi]]
[[jv:Tèknologi]]
[[ka:ტექნოლოგია]]
[[ka:ტექნოლოგია]]

Pitio la 03:18, 26 Februari 2011

Teknolojia ni elimu inayohusu uhandisi, ufundi, ujenzi, vifaa na mbinu za uzalishaji wa vifaa na huduma katika jamii.

Asili ya neno ni Kigiriki "τέχνη" (tamka: tékhne): „uwezo, usanii, ufundi".

Teknolojia inaweza kumaanisha:

  • vifaa na mashine zinazotumika katika matengenezo au uzalishaji wa vitu
  • elimu ya matumizi yake pamoja na mbinu na maarifa jinsi ya kutumia sayansi
  • uwezo wa kubadili malighafi asilia na kuwa bidhaa yenye thamani inayoweza kukidhi mahitaji ya binaadamu. Hapa bidhaa haimaanishi tu vitu kama magodoro, magari ya kutembelea,unga wa ngano n.k, la hasha ni huduma yeyote inayotolewa kwa jamii mfano huduma ya usafiri, huduma ya utalii, huduma ya chakula, na pamoja na vitu vyote vinavyozalishwa viwandani.