Furukombe : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: pl:Haliaeetus
Nyongeza spishi
Mstari 11: Mstari 11:
| oda = [[Falconiformes]] (Ndege kama [[kozi]])
| oda = [[Falconiformes]] (Ndege kama [[kozi]])
| familia = [[Accipitridae]] (Ndege walio na mnasaba na [[mwewe]])
| familia = [[Accipitridae]] (Ndege walio na mnasaba na [[mwewe]])
| nusufamilia = [[Haliaeetinae]] (Ndege walio na mnasaba na [[furukombe]])
| jenasi = ''[[Haliaeetus]]''
| bingwa_wa_jenasi = [[Marie Jules César Savigny|Savigny]], 1809
| jenasi = ''[[Haliaeetus]]'' <small>[[Marie Jules César Savigny|Savigny]], 1809</small><br>
''[[Ichthyophaga]]'' <small>[[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1843</small>
}}
}}
'''Furukombe''', '''fukombe''', '''kwazi''', '''yowe''' au '''tai mlasamaki''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] mbua wa [[jenasi]] ''[[Haliaeetus]]'' katika [[familia]] [[Accipitridae]]. Ndege hawa ni baina ya [[tai]] wakubwa kabisa. Uzito wao unatofautiana kutoka kg 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller). [[Unyoya|Manyoya]] yao yana rangi ya [[kahawa]] mpaka nyeusi lakini [[kichwa]], [[mkia]], [[kidari]] na [[tumbo]] ni nyeupe kufuatana na [[spishi]]. [[Furukombe wa Madagaska]], wa Sanford na wa Ulaya wana kichwa hudhurungi. Spishi zote zinatokea karibu na [[maji]] ama baridi au ya [[bahari]]. Hula [[samaki]] hasa lakini ndege wengine, [[mzoga|mizoga]] na mara kwa mara [[mnyama|wanyama]] wadogo pia. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya [[mti]] au mwamba. Jike hutaga [[yai|mayai]] 1-3.
'''Furukombe''', '''fukombe''', '''kwazi''', '''yowe''' au '''tai mlasamaki''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]] mbua wa [[nusufamilia]] [[Haliaeetinae]] katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Accipitridae]]. Ndege hawa ni baina ya [[tai]] wakubwa kabisa. Uzito wao unatofautiana kutoka kg 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller). [[Unyoya|Manyoya]] yao yana rangi ya [[kahawa]] mpaka nyeusi lakini [[kichwa]], [[mkia]], [[kidari]] na [[tumbo]] ni nyeupe kufuatana na [[spishi]]. [[Furukombe wa Madagaska]], wa Sanford na wa Ulaya wana kichwa hudhurungi. Spishi zote zinatokea karibu na [[maji]] ama baridi au ya [[bahari]]. Hula [[samaki]] hasa lakini ndege wengine, [[mzoga|mizoga]] na mara kwa mara [[mnyama|wanyama]] wadogo pia. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya [[mti]] au mwamba. Jike hutaga [[yai|mayai]] 1-3.


==Spishi za Afrika==
==Spishi za Afrika==
Mstari 27: Mstari 28:
* ''Haliaeetus pelagicus'' ([[w:Steller's Sea-eagle|Steller's Sea Eagle]])
* ''Haliaeetus pelagicus'' ([[w:Steller's Sea-eagle|Steller's Sea Eagle]])
* ''Haliaeetus sanfordi'' ([[w:Sanford's Sea-eagle|Sanford's Sea Eagle]])
* ''Haliaeetus sanfordi'' ([[w:Sanford's Sea-eagle|Sanford's Sea Eagle]])
* ''Ichthyophaga humilis'' ([[w:Lesser Fish Eagle|Lesser Fish Eagle]])
* ''Ichthyophaga ichthyaetus'' ([[w:Grey-headed Fish Eagle|Grey-headed Fish Eagle]])


==Picha==
==Picha==
Mstari 39: Mstari 42:
File:Pallas's Fish Eagle ( Haliaeetus leucoryphus) 2.jpg|Pallas's fish eagle
File:Pallas's Fish Eagle ( Haliaeetus leucoryphus) 2.jpg|Pallas's fish eagle
File:Steller's_Sea_Eagle_-JurongBirdPark-Singapore-20081013.jpg|Steller's sea eagle
File:Steller's_Sea_Eagle_-JurongBirdPark-Singapore-20081013.jpg|Steller's sea eagle
File:Lesser fish-eagle.jpg|Lesser fish eagle
File:Grey-Headed-Fish-Eagle Stephen Cooper cropped.jpg|Grey-headed fish eagle
</gallery>
</gallery>



Pitio la 21:23, 11 Februari 2011

Furukombe
Furukombe wa Afrika
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Falconiformes (Ndege kama kozi)
Familia: Accipitridae (Ndege walio na mnasaba na mwewe)
Nusufamilia: Haliaeetinae (Ndege walio na mnasaba na furukombe)
Jenasi: Haliaeetus Savigny, 1809

Ichthyophaga Lesson, 1843

Furukombe, fukombe, kwazi, yowe au tai mlasamaki ni ndege mbua wa nusufamilia Haliaeetinae katika familia Accipitridae. Ndege hawa ni baina ya tai wakubwa kabisa. Uzito wao unatofautiana kutoka kg 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller). Manyoya yao yana rangi ya kahawa mpaka nyeusi lakini kichwa, mkia, kidari na tumbo ni nyeupe kufuatana na spishi. Furukombe wa Madagaska, wa Sanford na wa Ulaya wana kichwa hudhurungi. Spishi zote zinatokea karibu na maji ama baridi au ya bahari. Hula samaki hasa lakini ndege wengine, mizoga na mara kwa mara wanyama wadogo pia. Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya mti au mwamba. Jike hutaga mayai 1-3.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha