Pavel Cherenkov : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: io:Pavel A. Cherenkov
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: ko:파벨 알렉세예비치 체렌코프
Mstari 33: Mstari 33:
[[it:Pavel Alekseevič Čerenkov]]
[[it:Pavel Alekseevič Čerenkov]]
[[ja:パーヴェル・チェレンコフ]]
[[ja:パーヴェル・チェレンコフ]]
[[ko:파벨 알렉세예비치 체렌코프]]
[[lt:Pavelas Čerenkovas]]
[[lt:Pavelas Čerenkovas]]
[[mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह]]
[[mr:पावेल अलेक्सेयेविच चेरेंकोव्ह]]

Pitio la 12:19, 1 Februari 2011

Pavel Alekseyevich Cherenkov (28 Julai, 19046 Januari, 1990) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Urusi. Aligundua mnururisho wa Cherenkov unaotokea elektroni ikitembea kwa mwendo mkali zaidi kuliko mwendo wa nuru. Mwaka wa 1958, pamoja na Igor Tamm na Ilya Frank alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pavel Cherenkov kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.