Kiyunani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ast, de, es, fi, fr, gl, he, id, it, ja, la, nl, nn, no, pl, pt, sk, sv, tr, zh
d robot Adding: ia:Lingua grec Koine Modifying: tr:Koini
Mstari 13: Mstari 13:
[[gl:Koiné]]
[[gl:Koiné]]
[[he:קוינה]]
[[he:קוינה]]
[[ia:Lingua grec Koine]]
[[id:Bahasa Yunani Koine]]
[[id:Bahasa Yunani Koine]]
[[it:Koinè]]
[[it:Koinè]]
Mstari 24: Mstari 25:
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sk:Helenistické koiné]]
[[sv:Koine]]
[[sv:Koine]]
[[tr:Koine]]
[[tr:Koini]]
[[zh:希利尼話]]
[[zh:希利尼話]]

Pitio la 11:34, 18 Juni 2007

Kiyunani - jina hilo ni la Kiswahili cha kale kwa "Kigiriki", ambayo ni lugha ya nchi ya Ugiriki ("Uyunani") au tabia za Wagiriki ("Wayunani").

Neno la kale limetokana na lugha ya Kiarabu اليونان likatumikiwa hasa katika matoleo mbalimbali ya Biblia. Miaka ya nyuma neno la "Kigiriki" likasambaa zaidi, kutokana na athira ya Kiingereza kinachotumia "Greek" kutokana na tamko ya Kilatini "Graeci" ambayo ni kawaida katika lugha nyingi za Kiulaya. Wanaotajwa wenyewe hujiita "Helleni", lugha yao "Helleniki".