Sisimizi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: so:Quraansho
d roboti Nyongeza: si:කූඹියා
Mstari 151: Mstari 151:
[[scn:Furmìcula]]
[[scn:Furmìcula]]
[[sh:Mrav]]
[[sh:Mrav]]
[[si:කූඹියා]]
[[simple:Ant]]
[[simple:Ant]]
[[sk:Mravcovité]]
[[sk:Mravcovité]]

Pitio la 02:50, 22 Januari 2011

Sisimizi
Sisimizi
Sisimizi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropodi (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Nusufaila: Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Ngeli ya chini: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda: Hymenoptera (Wadudu wenye mabavu angavu)
Nusuoda: Apocrita (Hymenoptera wenye kiuno chembamba sana)
Familia: Formicidae (Sisimizi)
Nusufamilia: Aenictogitoninae Ashmead, 1905

Agroecomyrmecinae] Carpenter, 1930
Amblyoponinae Forel, 1893
Aneuretinae Emery, 1913
Cerapachyinae Forel, 1893
Dolichoderinae Forel, 1878
Ecitoninae Forel, 1893
Ectatomminae Emery, 1895
Formicinae Latreille, 1809
Heteroponerinae Bolton, 2003
Leptanillinae Emery, 1910
Leptanilloidinae Bolton, 1992
Martialinae Rabeling & Verhaagh, 2008
Myrmeciinae Emery, 1877
Myrmicinae Lepeletier, 1835
Paraponerinae Emery, 1901
Ponerinae Lepeletier, 1835
Proceratiinae Emery, 1895
Pseudomyrmecinae Smith, 1952

Spishi: spishi zaidi ya 12,000 duniani


Sisimizi ni familia ya wadudu wadogo wanaoishi katika jamii. Jamii hizi zinaweza kuwa na sisimizi makumi kadhaa tu au kuwa na mamilioni kulingana na spishi mbalimbali.

Makazi yao yapo mara nyingi chini ya ardhi au mahali pengine panapohifadhiwa kama chini ya jiwe kubwa au katika nafasi ndani ya miti. Wanatumia udongo na nyuzi za mimea kwa ujenzi.

Jenasi kadhaa kama vile siafu (dorylus) hawana makazi ya kudumu bali wanahamahama.

Mchwa hawako karibu na sisimizi hata kama wanafana nao katika mengi na kuitwa kwa Kiingereza "white ants" lakini wako katika nasaba pamoja na kombamwiko.

Majina ya aina za sisimizi kwa Kiswahili

  • chungu (aina inayouma)
  • nyenyerere (wadogo weusi)
  • majimoto (aina nyekundu)
  • samesame (aina nyekundu)
  • sangara (aina nyekundu)
  • siafu (jenasi Dorylus)
  • sungusungu (aina kubwa nyeusi)


Viungo vya Nje

Sisimizi jinsi anavyokamua vidukari
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sisimizi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.