Anatomia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: arc:ܝܘܠܦܢ ܨܪܘܝܘܬܐ
Mstari 17: Mstari 17:
[[an:Anatomía]]
[[an:Anatomía]]
[[ar:تشريح]]
[[ar:تشريح]]
[[arc:ܝܘܠܦܢ ܨܪܘܝܘܬܐ]]
[[arz:تشريح]]
[[arz:تشريح]]
[[ast:Anatomía]]
[[ast:Anatomía]]

Pitio la 11:40, 19 Januari 2011

Anatomia (kutoka Kigiriki ἀνατέμνειν anatemein - kupasua, kufungua) ni elimu ya miili ya viumbehai kama binadamu, wanyama na mimea. Inachungulia muundo na maumbile ya mwili na sehemu au viungo vyake.

Wataalamu wa anatomia hufungua mwili na kuikata kwa sehemu zake kwa kusudi la kuongeza elimu ya muundo wake.

Elimu hii inasaidia kuelewa magonjwa, sababu na matokeo yao. Ni pia msingi wa mafundisho ya tiba na elimu ya matibabu.

Tazama pia

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Anatomia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.