Masokwe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: vi:Siêu họ Người |
d r2.6.4) (roboti Badiliko: yo:Àwọn Irúọmọnìyàn |
||
Mstari 101: | Mstari 101: | ||
[[uk:Людиноподібні мавпи]] |
[[uk:Людиноподібні мавпи]] |
||
[[vi:Siêu họ Người]] |
[[vi:Siêu họ Người]] |
||
[[yo: |
[[yo:Àwọn Irúọmọnìyàn]] |
||
[[zh:猿]] |
[[zh:猿]] |
Pitio la 17:31, 8 Januari 2011
Sokwe | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Sokwe mtu
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Masokwe ni wanyama wa familia ya juu Hominoidea. Kuna familia mbili za masokwe: Hylobatidae (masokwe wadogo au giboni) na Hominidae (masokwe wakubwa na binadamu). Masokwe wadogo huishi daima mitini na huteremka kwa nadra. Wana mikono mirefu ili kining'inia kutoka tawi moja hadi jingine na kutoka mti mmoja hadi mwingine. Wanatokea misitu ya tropiki ya Asia. Masokwe wakubwa hupitisha muda pengine mrefu ardhini, orangutanu muda kidogo tu na ngagi muda mrefu sana. Takriban spishi zote zinatokea Afrika lakini orangutanu wanatokea Asia ya Mashariki.
Uainishaji
Familia ya juu Hominoidea
- Familia Hylobatidae
- Jenasi:
- Familia Hominidae
Picha
-
Ngagi
-
Sokwe mtu
-
Lar gibbon
-
Hoolock gibbon
-
Siamang
-
Golden-cheeked crested gibbon
-
Orangutan