Utamaduni : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: mg:Kolontsaina
Mstari 555: Mstari 555:
[[lt:Kultūra]]
[[lt:Kultūra]]
[[lv:Kultūra]]
[[lv:Kultūra]]
[[mg:Kolontsaina]]
[[mk:Култура]]
[[mk:Култура]]
[[ml:സംസ്കാരം]]
[[ml:സംസ്കാരം]]

Pitio la 06:23, 7 Januari 2011

Petroglyphs katika Gobustan, Azerbaijan, dating nyuma hadi 10,000 BC ikionyesha a thriving utamaduni
Misri ya kale sanaa, 1400 KK
Faili:Mehmooni2.jpg
The Kiajemi Hasht-Behesht Palace

Utamaduni (neno la Kilatini lenye maana ya utamaduni ni Cultura ambalo lina usuli wake katika neno colere, linalo maanisha "kulima")[1] Neno hili lina fafanuzi nyingi. Kwa mfano, mnamo mwaka 1952, Alfred Kroeber na Clyde Kluckhohn walikusanya orodha ya vijelezi 164 vya neno "utamaduni" katika kazi yao: Culture:a Critical Review of Concepts and Definitions. [2] Hata hivyo, neno "utamaduni" linatumika kimsingi katika njia tatu zifuatazo:

  • Maonjo ya hali ya juu katika sanaa, vilevile hujulikana kama utamaduni wa juu
  • Mkusanyiko wa maarifa ya kibinadamu, itikadi na tabia ambao hutegemea sana uwezo wa kuwasilisha mawazo na mafunzo ya kijamii kiishara
  • Ni jumla ya mitazamo, kaida, malengo na maadili yanayotambulisha asasi, shirika au kikundi fulani

Dhana hii ilipoibuka kwanza katika karne ya kumi na nane na kumi na tisa barani Ulaya, ilimaanisha mchakato wa kulima au kuboresha kilimo au kilimo cha mboga. Katika karne ya kumi na tisa dhana hii ilimaanisha kuboreshwa kwa mja kupitia kwa elimu na hali kadhalika ilimaanisha kutekelezwa kwa maazimio ya kitaifa au maadili. Katikati mwa karne ya kumi na tisa, wanasayansi wengine walitumia dhana ya utamaduni kurejelea uwezo wa kiubia wa binadamu.

Katika karne ya ishirini, "utamaduni" ilijitokeza kama dhana ya kimsingi katika somo la Anthropolojia. "Utamaduni" ulihusisha mambo yote yaliyomhusu binadamu ambayo hayakufungamana na matokeo ya kimaumbile. Dhana ya utamaduni katika Anthropolojia ya Kimarekani ilikuwa na maana mbili: (1) Uwezo wa kibinadamu wa kuainisha na kuwasilisha tajiriba za kibinadamu kiishara na kutenda mambo kiubunifu; na (2) Namna mbalimbali watu wanaoishi katika sehemu mbalimbali ulimwenguni huainisha na kuwasilisha tajiriba zao za maisha na kutenda mambo kiubunifu. Kufuatia vita vya pili vya dunia, dhana hii ilipata umaarufu ingawa na fafanuzi tofautitofauti katika taaluma kama vile sosholojia, Mafunzo ya utamaduni, saikolojia ya mipangilio na mafunzo ya usimamizi.

Diskosi za karne ya 19

Ulimbwende wa Kiingereza

Mshairi na mwandishi wa insha wa Kingereza Matthew Arnold alitumia neno "utamaduni" kumaanisha hali ya juu sana ya ubora wa binadamu.

Katika karne ya kumi na tisa, mshairi na mwandishi wa insha wa Kingereza Matthew Arnold (1822-1888) alitumia neno utamaduni kumaanisha hali ya juu sana ya ubora wa binadamu,bora zaidi iliyowahi kuwaziwa na kusemwa ulimwenguni."[3] Dhana hii ya utamaduni inaweza kulinganishwa na dhana ya Kijerumani ya bildung: “utamaduni ukiwa ndiyo hali ya kutafuta ubora kupitia kwa njia ya kufahamu kuhusu masuala yote yanayotuhusu, yale bora amabayo yamewazwa na kusemwa ulimwenguni.”[3] Kimsingi, utamaduni ulirejelea maadili ya juu ya kiusomi na ambayo yalihusishwa na sanaa, muziki wa kale na upishi wa ya juu. [4] Kama fomu hizo zilikuwa Urbane yanayohusiana na maisha, "utamaduni" ilikuwa kutambuliwa kwa "ustaarabu" (kutoka lat. civitas, mji). Facet mwingine wa harakati alikuwa Romantic riba katika Folklore, ambayo imesababisha kubaini "utamaduni" miongoni mwa wasio wasomi. Tofauti hii ni mara nyingi wanaotambuliwa kama kwamba kati ya "high utamaduni", yaani ile ya kundi tawala kijamii, na "Asili utamaduni". Kwa maneno mengine, dhana ya "utamaduni" kwamba maendeleo katika Ulaya wakati wa 18 na 19 mapema ya karne Ulaya speglas usawa ndani ya jamii.[5]


Matthew Arnold alilinganisha "utamaduni" na "fujo;" Wazungu wengine wakiwaiga wanafalsafa Thomas Hobbes na Jean-Jacques Rousseau walilinganisha "utamaduni" na "hali ya maumbile au hali ya nyikani." Kulingana na Hobbes na Rousseau. Wamarekani asilia ambao walitawaliwa na Wazungu kutoka Ulaya kuanzia karne ya 16 kuendelea, walikuwa wakiishi katika hali ya kimaumbile ndipo ikaleta mlinganisho wa "waliostaarabika" na "wale ambao hawakuwa wamestaarabika." Kwa mujibu wa mkabala huu wa mawazo unaweza kuainisha nchi na mataifa katika yale yaliyostaarabika kuliko mengine au watu waliostaarabika kuliko wengine. Milinganisho hii ilichangia katika kuzuka kwa nadharia ya Social Darwinism ya Herhert Spencer na Cultural evolution ya Lewis Henry Morgan. Jinsi baadhi ya wakosoaji wanavyosema kuwa tofauti kati ya tamaduni za juu na za chini, kwa kweli ni usemi wa mgogoro kati ya wasomi wa Ulaya na wasio wasomi, baadhi ya wakosoaji wanasema kuwa tofauti kati ya watu wastaarabu na wasio wastaarabu kwa kweli ni usemi wa mgogoro kati ya madola ya kikoloni ya Ulaya na watawaliwa wao.

Mwanaanthropolojia wa Kiingereza kwa jina Edward Taylor ndiye aliyekuwa mtaalamu wa kwanza wa asili ya kiingereza kutumia neno utamaduni kwa usawa na kwa ubia.

Wahakiki wengine wa karne ya 19 wakifuata mfano wa Rosseau wamekubali huu mgawiko wa utamaduni wa juu na wa chini hata hivyo wameuona ubora na uchangamano wa utamaduni wa juu unaochugua na kuharibu hali halisi ya kimaumbile ya watu. Wahakiki hawa walitilia mkazo muziki wa kiasili (jinsi unavyotolewa na watu wanaofanya kazi) uliotumiwa kuelezea hali halisi ya maisha kwa upande mwingine muziki wa zamani si wa halisi na umejaa uoza. Maoni haya yaliwadhirisha watu wa kiasilia kama washenzi na wasiostaarabika wanaoishi maisha halisi,ambayo si changamano, hayajabanangwa, na mifumo ya kitabaka ya kikapitalisti ya kimagharibi.

Mnamo mwaka wa 1870 Edward Taylor (1832-1917) aliyatumia mawazo haya ya utamaduni wa juu na wa chini kupendekeza nadharia ya ukuaji wa dini. Kulingana na nadharia hii dini hukua kutoka kwa mfumo wa kuabudu miungu hadi uabudaji wa Mungu mmoja.[6] Aliielezea dini kama jumla ya shughuli zinazozitambulisha jamii za kibinadamu. Maoni haya huchangia pakubwa katika kuelewa dhana ya utamaduni kwa sasa.</ref>

Herder Johann aitwaye maanani tamaduni za kitaifa.
Adolf Bastian kuendelezwa kwa mtindo wa zima utamaduni.

Ulimbwende wa Kijerumani

Mwanafalsafa wa Kijerumani Immanuel Kant (1724-1804) aliibuka na ufafanuzi wa kibinafsi wa "Enzi ya nuru" akiulinganisha na dhana ya bildung: "kulingana naye, enzi ya nuru ni kule kutoka kwa binadamu katika hali ya uchanga."[7] Alielezea ya kwamba hali ya uchanga haitokani na kukosa kuelewa bali kuutoka kwa kukosa ujasiri wa kufikria huria. Kutokana na hali hii ya woga wa kiusomi, Kant alihimiza: Sapere aude, "jijasirishe uwe na hekima!" Johann Gottfried Herder(1744-1803) alielezea ubunifu wa kibinadamu kuwa muhimu kama kufikiria kwake ingawa hudhihirika katika njia mbalimbali tofauti. Herder alipendekeza namna ya pamoja ya bildung: ": kulingana na Herder, Bildung ni “jumla ya tajiriba ambazo hutoa utambulisho thabiti na dhana ya pamoja ya majaaliwa ya watu.”[8]


Mnamo mwaka wa 1795, mwanaisimu na mwanafalsafa Wilhelm Von Humboldt(1767-1835) alitoa wito kuanzishwa kwa anthropolojia ambayo ingeunganisha mawazo ya Kant na Herder. Katika enzi ya Kilimbwende, wasomi wa Kijerumani hasa wale waliojishughulisha na miungano ya kitaifa - kama vile mapambano ya kitaifa ya kubuni dola la Ujerumani kutoka kwa vidola vidogovidogo na mapambano ya kitaifa ya makabila madogo dhidi ya Himaya ya Austro-Hungary - walikuza dhana ya utamaduni ya "mwonoulimwengu." Kulingana na shule hii ya mawazo, kila kabila lina mwonoulimwengu wake ambao hauwezi kulinganishwa na mionoulimwengu ya makundi mengine ya watu. Ingawa maoni haya yalikuwa husishi ikilinganishwa na maoni ya hapo awali, mwelekeo huu kuhusu utamaduni bado ulikuwa na milinganisho ya "ustaarabu" na "ushenzi" au tamaduni za "kikabila".


Mnamo mwaka wa 1860, Adolf Bastian (1826-1905) alipigania "umoja wa binadamu kisaikolojia". Alipendekeza kwamba mlinganisho wa kisayansi wa jamii zote za kibinadamu ungedhihirisha mionoulimwengu tofauti inayojumuisha elementi sawa za kimsingi. Kulingna na Bastian, jamii zote za kibinadamu zina"mawazo sawa ya kimsingi " (Elementargedanken); tamaduni sawa au tofauti za "mawazo ya kijadi" (Volkergedanken), haya ni mabadiliko ya kienyeji yanayofanyiwa mawazo ya kimsingi.[9] Ufafanuzi huu umechangia pakubwa katika kuelewa utamaduni siku hizi. [[]]Franz Boaz (1858-1942)alipata mafunzo katika utamaduni huu na ndiye aliyeyapeleka mawazo haya Marekani alipohama kutoka Ujerumani.

Diskosi za karne ya ishirini

Anthropolojia ya Kimarekani

Ingawa wanaanthropolojia ulimwenguni huurejelea ufafanuzi wa Taylor,katika karne ya ishirini dhana ya utamaduni ilijitokeza kama mhimili wa Anthropolojia ya Kimarekani,ambapo utamaduni ulifafanuliwa kama uwezo wa kiubia wa binadamu wa kuainisha na kusimbika tajiriba zao kiishara na kuwasilisha kiishara tajiriba zilizosimbikwa kijamii. Anthropolojia ya Kimarekani imepangiliwa katika mawanda manne. Kila mojawapo huchangia sana katika utafiti wa utamaduni. Mawanda yenyewe ni: Anthropolojia ya kibayolojia, Isimu, anthropolojia ya kitamaduni, na Akiolojia. Utafiti katika mawanda haya umewaathiri kwa kiwango fulani wanaathropolojia wanaofanya kazi katika nchi zingine.


Anthropolojia ya kibayolojia: ukuaji wa utamaduni

Mahusiano ya uainishaji baina ya spishi nne zilizohai za clade Hominoidea: Hylobatidae, Gorillini, Homo, Pan na Pongo

Majadaliano kuhusu utamaduni miongoni mwa wanaathropolojia wa kibayolojia yanazungukia mijadala miwili. Kwanza, je utamaduni ni wa binadamu pekee au unahusisha binadamu pamoja na viumbe wengine (hususa nyani)? Hili swali ni muhimu kwa sababu nadharia ya Ukuaji wa viumbe inashikilia ya kwamba asili ya binadamu inatokana na nasaba ya nyani. Pili utamaduni miongoni mwa binadamu ulikuwa vipi?


Gerald Weiss alisema ya kwamba ingawa ufafanuzi mzuri wa Taylor kuhusu utamaduni ulijikita tu upande wa binadamu, wanaanthropolojia wengi hupuuza ufafanunuzi kwa kuhusisha utamaduni na tabia yoyote iliyofundishwa au kuigwa. Hili ni tatizo kwa sababu katika miaka iliyotangulia ya primatolojia ya kisasa, baadhi ya wanaprimatolojia walipata mafunzo katika Anthropolojia (hao walielewa kuwa utamaduni unamaanisha tabia iliyofundishwa au kuigwa miongoni mwa binadamu) na wengine hawakupata mafunzo hayo. Wataalamu wasiokuwa wanaanthropolojia kama vile Robert Yerkes na Jane Goodall walisema ya kwamba kwa kuwa sokwe wanadhihirisha tabia walizojifunza, wana utamaduni.[10][11] Siku hizi wanaprimatolojia wa kianthropolojia wamegawanyika, kiasi kwamba kuna wale wanaodai kuwa binadamu wasiofanana na nasaba ya nyani wana utamaduni ilhali wengine wanadai kuwa hawana.[12][13][14][15]


Mjadala huu wa kisayansi unatatizwa na masuala ya kiadili. Wanaozungumziwa katika primatolojia huwa si binadamu na utamaduni ule ambao wanaweza kuwa nao unatishiwa na shughuli za kibinadamu. Baada ya kupitia utafiti kuhusu utamaduni wa nyani, W.C.McGrew alihitimisha “mawanda ya usomi huhitaji wanaozungumziwa (wanaofanyiwa utafiti) na spishi nyingi za nyani hutishiwa maisha yao na binamu zao binadamu. Hatimaye licha ya uzuri wake ni lazima primatolojia ya kitamaduni ijikite upande wa kuendelea kuwepo kwa utamaduni (yaani kuendelea kuwepo kwa tamaduni za nyani).[16]


McGrew anapendekeza ufafanuzi wa utamaduni ambao anauona kuwa wa manufaa kisayansi wakati mtu anaposoma kuhusu utamaduni wa nyani. Anaendelea kusema kwamba wanasayansi hawawezi kuyapata kwa urahisi mawazo au maarifa ya kibinafsi kuhusu nyani. Basi ikiwa utamaduni unaweza kufafanuliwa katika muktadha wa maarifa, inaonekana wanasayansi wamebanwa katika jitihada zao za kuchunguza utamaduni wa nyani. Baadala ya kufafanua utamaduni kama aina ya maarifa, McGrew anapendekeza kuwa tuuangalie utamaduni kama mchakato. Yeye orodha hatua sita katika mchakato:

  1. Mpangilio mpya wa tabia ubuniwe au ule uliopo urekebishwe.
  2. Inoveta itume mpangilio huu wa tabia kwa nyingine.
  3. Muundo wa mpangilio usibadilike ndani na nje ya vitendaji, hata ikihusisha sifa za kimtindo zinazotambulikana.
  4. Yule anayepata mpangilio huu ahifadhi uwezo wa kuutenda baada ya kuupata.
  5. Mpangilio usambae kotekote katika makundi ya kijamiii vya watu. Makundi hayo yanaweza kuwa familia,koo,vikosi vya majeshi au bendi.
  6. Mpanglio unavuka mipaka ya vizazi.[16]

McGrew anaungama kuwa kigezo hiki cha hatua sita kinaweza kuwa kigumu kutokana na ugumu wa kuchungua tabia za nyani wakiwa wameghadhabika. Lakini anasistiza umuhimu wa ufafanuzi wa utamaduni "ulio mpana":

Utamaduni unachukuliwa kuwa tabia ya kikundi fulani mahsusi inayopatikana kutokana na athari za kijamii. Hapa kikundi kinachukuliwa kuwa kipashio halisi cha spishi iwe kikosi cha askari, ukoo, au kijikundi. Prima facia Ushahidi hasa wa utamaduni unatoka ndani ya spishi lakini unaweza kutolewa katika kikundi kizima pale tofauti za kitabia zinapodhihirika kwa mfano ikiwa mpangilio ni uleule katika jumuia moja ya sokwe lakini haupo katika jumuia nyingine au wakati ambapo jumuia tofauti zinapotenda aina tofauti za mpangilio mmoja. Pendekezo la utamaduni katika vitendo lina uzito pale tofauti katika kikundi haziwezi kuelezewa na mambo ya kiekolojia ....[17]

kama anavyoelezea Charles Frederick Voegelin, ikiwa “utamaduni” utajikita tu katika ufanunuzi wa “tabia ambazo mja alijifundisha” basi wanyama wana utamaduni.[18] Wataalamu wanakubaliana kwamba spishi zote za nyani hudhihirisha stadi sawa za kufikiria: ufahamu wa kudumu kwa vitu, mpangilio wa fikira, uwezo wa kuainisha vitu katika kategoria mbalimbali na ubunifu wa kusuluhisha shida.[19] Isitoshe spishi zote za nyani hudhihirisha stadi sawa za kijamii: wanaweza kutambua wanachama wa kikundi chao; wanaunda mahusiano ya moja kwa moja kutegemea viwango vya ukoo na cheo; hutambua mahusiano mengine ya kijamii yaliyombali; wanabashiri tabia za usoni na hushirikiana katika usuluhishaji wa shida.[19]


Cast ya skeleton ya Lucy, an Australopithecus afarensis
Mmoja sasa mtazamo wa kidunia na usambazaji wa kijiografia hominid wakazi

Hata hivyo istilahi “utamaduni” inaweza kuwahusu wanyama wasio binadamu ikiwa tutafafanua utamaduni kama tabia zozote au zote zilizoigwa au kufundishwa. Katika anthropolojia halisi wasomi hudhania ya kwamba ufafanuzi uliobanwa ndio unaofaa. Watafiti hawa wanajihusisha na namna binadamu walivyokuwa na hata kuwa tofauti na spishi zingine. Ufafanuzi wa uhakika kabisa wa utamaduni ambao unapuuza tabia za kijamii ambazo si za kibinadamu utawaruhusu wanaathropolojia kuchunguza jinsi binadamu walivyokuza uwezo wao wa kipekee wa “utamaduni”.


Sokwe (Pan troglodytes na Pan paniscus) wana uhusiano wa karibu sana na binadamu '(homo sapiens) wote hawa walitokana na babu mmoja aliyeishi miaka ipatayo milioni tano au sita iliyopita. Huu ndio muda ambao farasi na pundamilia, simba na simba marara, na panya walichukua kutoka kwa babu yao. [20] Ukuaji wa binadamu wa kisasa ni wa haraka sana: Australopithicenes walikua miaka milioni nne zilizopita na binadamu mamia kadhaa ya miaka iliyopita.[21] Wakati huu binadamu walikuza sifa tatu bainifu:

(a) ubunaji na matumizi ya ishara zikiwemo ishara za kiisimu, lugha andishi ilivumbuliwa pamoja na ishara za hisabati, muziki n.k (b)ubunaji na matumizi ya vifaa changamano pamoja na teknolojia zilizotumia vifaa (c)ubunaji na kushiriki katika mipangilo na asasi changamano.[22]

Kulingana na mwanasaikolojia maendeleo Michael Tomasello ni vigumu sana kuelezea "chimbuko la tabia na stadi" hizi. Maadam binadamu wa sasa na sokwe wanatofautiana sana ikilinganishwa na farasi na pundamilia, au panya. Ukuaji wa tofauta hizi umejiri katika muda mfupi, “ni lazima tutafute tofauti ndogo ambazo zitaleta tofauti kubwa - uasilishaji wa kiwango fulani au viwango vidogo vya uasilishaji, ambavyo vimebadili mchakato wa ukuaji wa kifikira wa nyani kwa njia madhubuti sana." Kulingana na Tomasello, jibu kwa swali hili ni lazima liunde msingi kwa ufafanuzi wa kisayansi wa "utamaduni wa binadamu."[22]


Katika mapitio ya hivi karibuni ya tafiti kubwa juu ya matumizi ya vifaa vya binadamu na nyani, mawasiliano na mbinu za kujifunza; Tomasello anadai kuwa maendeleo makubwa kuhusu nyani (lugha,teknolojia changamano, mipangilio changamano ya kijamii,) yote haya ni matokeo ya binadamu kuweka pamoja rasilimali za akili. Hii inajulikana kama “the ratchet effect” (athari ya ratchet): uvumbuzi unasambaa na kutumika pamoja na kikundi na “kubwiwa na vijana ambao huwawezesha kusalia katika hali yake mpya na bora kikundini hadi mambo bora zaidi yatokee." Hoja muhimu hapa ni kwamba watoto wanazaliwa wakiwa weledi katika aina fulani ya mafunzo ya kijamii, hii huunda mazingira mazuri ya uvumbuzi wa kijamii, ambayo huyafanya yaweze kuhifadhiwa na kupitishwa kwa vizazi vipya kuliko uvumbuzi wa watu binafsi.[23] Kwa mujibu wa Tomasello mafunzo ya kijamii ya binadamu - aina ya mafunzo yanayotofautisha binadamu na nyani na yaliyochangia pakubwa katika ukuaji wa binadamu - unajikita katika elementi mbili: kwanza, kile anachokiita “mafunzo ya kuiga”, (tofauti na mafunzo ya uigaji wa hiari, sifa ya nyani) na pili, kwa kuwa binadamu wanawasilisha tajiriba zao kiishara (na wala siyo kwa njia wazi inayojulikana kama wafanyavyo nyani). Pamoja, elementi hizi huwawezesha binadamu kuwa wabunifu na kuhifadhi uvumbuzi muhimu. Ni mchakato huu unaotoa “the ratchet effect”.


Sokwe mama na mtoto
Sokwe huchimba wadudu
The Kijapani Macaques saa Jigokudani hotspring katika Nagano

Aina ya mafunzo ambayo yanapatikana miongoni mwa nyani ni yale ya “mafunzo ya uigaji wa hiari” ambayo hujikita kwa matukio husika ya kimazingira - matokeo au mabadiliko ya hali katika mazingira yaliyosababishana na wala siyo vitendo vilivyosababisha matokeo hayo."[24][25][26] Tomasello anasisitiza kwamba mafunzo ya uigaji wa hiari ni mbinu ya hali ya juu ya urekebikaji ya jamii ya nyani kwa sababu inajikita kwenye athari za kitendo. Katika maabara ya majaribio, sokwe walikuwa wameonyeshwa njia mbili tofauti za kutumia kifaa kama reki ili kupata chombo-kilicho-mbali. Wote mbinu walikuwa ufanisi, lakini mara moja ufanisi zaidi kuliko nyingine. Sokwe waliiga njia nzuri zaidi.[27]


Mifano ya mafunzo ya uigaji wa hiari miongoni mwa sokwe imetolewa machapisho mengi. Baadhi ya mifano ni ule wa Kijapani wa uoshaji wa viazi wa macaque, matumizi ya vifaa ya masokwe, na mawasiliano ya ishara ya masokwe. Mnamo mwaka wa 1953 kima wa kike wa umri wa miezi kumi na nane kwa jina Macaque alitazamwa akipeleka vipande vya viazi vitamu vilivyomichiwa mchanga mtoni (kima huyu alipewa viazi hivi na watazamaji) (na baadaye alivipeleka baharini) kuosha mchanga kutoka kwenye viazi hivyo. Baada ya miezi mitatu tabia hii ilidhihirishwa na mama yake pamoja na wenzake waliokuwa wakicheza nao na mama zao. Kwa kipindi cha miaka miwili baadaye kima wengine saba wachanga aina ya macaques walitazamwa wakiviosha viazi vyao na kufikia mwishoni mwa mwaka wa tatu, asilimia 40 ya kikosi cha kima ilikuwa imeiga tabia hiyo.[28][29] Ingawa kisa hiki kimewasilishwa kwa njia inayoonekana kuwa ya moja kwa moja kama mfano wa mafunzo ya kibinadamu, ushahidi unaoonyesha kuwa sivyo. Kima wengi kwa kawaida huosha mchanga kutoka kwa viazi; hii tabia ilikuwa imeshuhudiwa miongoni mwa kikosi cha kima hawa wa macaque kabla ya kuwatazama wakiosha. Isitoshe, kitendo cha kuwatazama kima wakiosha viazi kilishuhudiwa katika kikundi tofauti cha kima wanne wa aina ya macaque, kumaanisha ya kwamba kima walikuwa wamejifunza kuosha mchanga kutoka kwa viazi.[29] Aina nyengine ya kima waliokuwa wamechukuliwa mateka walijifunza haraka kusafisha chakula chao.[30] Mwisho, kusambaa kwa kusoma miongoni mwa macaques wa Kijapani kulifanyika polepole na kiwango cha kujifunza cha wanachama wapya katika kikosi cha kima hakikuwiana na kukua kwa kikosi hicho. Ikiwa mtindo wa kujifunza ni wa kuiga, kiwango cha kujifunza kingekuwa cha haraka. Kuna uwezekano mkubwa kuwa tabia ya kima ya kuosha inatokana na tabia sawa ya kuosha vyakula na kima hutumia muda wao mwingi karibu na maji wakijifunza kuosha badala ya kupanguza chakula. Hii inaelezea kwa nini kima waliandamana na kima muosha wa kwanza ambaye alishinda karibu na maji, vilevile akifikiria jinsi ya kuosha viazi. Hali kadhalika inaelezea kwa nini kiwango cha kusambaa kwa tabia hii ni cha polepole.[31]


Masokwe hudhihirisha matumizi mbalimbali ya kutumia vifaa: uvuvi wa mchwa, kutovua, kutoogelea, kuvunja kokwa, na kuoga kwa kutumia majani. Sokwe wa Gombe huvua mchwa wakitumia vijiti vidogo lakini sokwe wapatikanao Afrika Magharibi hutumia vijiti vikubwa kutoboa mashimo katika vichuguu kisha wakatumia mikono yao kutoa mchwa. Baadhi ya tofauti hizi zinaweza kuwa zinatokana na maumbile ya kimazingira (kuna mvua nyingi Afrika Magharibi, vichuguu viororo ambavyo huweza kupasuka kwa urahisi ukilinganisha na mbuga ya Gombe huko Afrika ya Mashariki. Hata hivyo sokwe wanaonekana kumudu vizuri mafunzo ya kuiga kwa hiari. Watoto wa sokwe wanafahamu vizuri namna ya kubingirisha mashina ya miti na kula wadudu. Watoto wanapowaona mama zao wakibingirisha mashina ya miti ili kula wadudu walio chini yake, wao vilevile hujifunza kufanya hivyo. Njia hii ya kujifunza huimarisha sana mambo ambayo tayari watoto wanafahamu.[25][32]


Mama na mtoto
Inuit familia
Wasichana katika Xinjiang katika Northwestern Uchina
Watoto katika Yerusalemu
Watoto nchini Namibia

Aina ya kujifunza mahususi kwa watoto ni ile ya “kujifunza kwa kuiga” hii inamaanisha kukirudia tena kitendo kilichoeleweka maksudi."[33] Watoto wachanga huanza kudhihirisha namna hii ya kujifunza kati ya umri wa miaka tisa na kumi na mbili. Huu huwa wakati ambapo watoto huweka akili yao kwa kifaa fulani huku wakimtazama mtu mzima anavyofanya mambo ili waige." [34] Kuna machapisho mengi kuhusu hali hii na hujulikana kama “mahusiano ya pamoja” au “makini ya pamoja.”[35][36] Muhimu kwa hali ni ule uwezo wa watoto kuweza kutambua wengine kama “wakala wa maksudi” yaani watu walio na uwezo wa kudhibiti tabia yao inayojiri kimaumbile na wale walio na malengo na wanafanya maamuzi fulani ya kitabia ili waweze kutimiza malengo hayo."[37]


Ukuzaji wa stadi katika makini ya pamoja kufikia mwishoni mwa mwaka wa kwanza wa mtoto hutoa msingi wa ukuzaji wa mafunzo ya kuiga katika mwaka wa pili. Katika utafiti uliohusu watoto wa miezi kumi na minne watoto hao waliuiga mtindo wa mtu mzima wa kuzima taa hata ingawa wangeweza kutumia njia rahisi kutenda kitendo hicho.[38] Na katika utafiti mwingine uliohusisha watoto wa umri wa miezi 16 waliotangamana na watu wazima na kubadilishabadilisha mkururo changamano wa miendo iliyoonekana kuwa ya maksudi ikilinganishwa na ile iliyojiri kiajali; watoto hawa waliiga ile miendo ilioonekana kuwa ya kiajali.[39] Na katika utafiti uliowahusisha watoto wa umri wa miezi 18 ilionekana kuwa watoto waliiga vitendo ambavyo watu wazima walikusudia kufanya ingawa kwa namna moja walishindwa kufanya.[40] Tomasello anasistiza kuwa kujifunza huku kwa kuiga ‘kimsingi kunategemea sana tabia ya watoto ya kujitambulisha na watu wazima na uwezo wao wa kutofautisha malengo ya vitendo vya watu wengine na njia zilizotumika kuyafikia malengo hayo."[41] Anakuita kujifunza kwa aina hii kujifunza kwa kitamaduni kwa sababu mtoto hajifunzi tu kuhusu vitu kutoka kwa watu wengine bali anajifunza kupitia kwao - ni lazima afahamu kitu kuhusu mtazamo wa watu wazima kuhusu hali fulani ili aweze kujifunza matumizi ya tendo lilokusudiwa." [42] [43] Anahitimisha kwamba sifa kuu ya kujifunza kwa kitamaduni ni kuwa hufanyika tu wakati ambapo mtu anapowaelewa watu wengine kama mawakala wa makusudi kama wana mtazamo fulani kuhusu ulimwengu unaoweza kufuatwa, kuelekezwa na wa pamoja.[44]


Kujifunza kwa kuiga kwa hiari na kule kujifunza kwa kuiga tu ni uasilisho wa aina mbili tofauti ambao unaweza kupimwa katika mazingira yake mapana na katika mikitadha ya ukuaji. Katika jaribio moja sokwe na watoto wa miaka miwili walitengwa na kukabidhiwa kifaa kilichofanana na reki na kitu kilichokuwa hakifikiki kimasafa. Watu wazima wawili tofauti wakaonyesha njia mbili tofauti za kutumia kifaa hicho, njia moja ni ya kukitumia kifaa hicho vizuri na nyingine, kutokitumia vizuri sana. Sokwe waliweza kukitumia vizuri wakifuata njia zote mbili. Watoto wengi wa binadamu waliiga njia moja tu ambayo ilitumiwa na watu wazima. Kama ulinganishaji ungetumiwa kwa mujibu wa matokeo haya ingehitimishwa kwamba sokwe ni werevu zaidi ya binadmu. Ukizingatia mtazamo wa ukuaji, wote ni werevu na wana aina tofauti za werevu ulioasilishwa katika mazingira tofauti.[27] Mbinu za kujifunza za sokwe zinafaa zaidi katika mazingira thabiti yasiyohitaji sana ushirikiano wa kijamii (ukilinganisha na binadamu). Mbinu za kujifunza kwa binadamu zinafaa zaidi katika mazingira changamano ya kijamii ambamo kuelewa nia za watu wengine huenda kukawa muhimu zaidi kuliko kutimiza majukumu fulani. Tomasello anasema kuwa mkakati huu imefanya inawezekana "ratchet athari" kwamba enabled binadamu na kufuka tata mifumo ya kijamii ambayo enabled binadamu kukabiliana na mazingira karibu kila kimwili juu ya uso wa dunia.[45]


Tomasello anadai zaidi ya kwamba mafunzo ya kitamaduni ni muhimu kwa kujifunza lugha. Watoto wengi katika jamii na wote katika jamii zingine hawajifunzi maneno yote kupitia kwa juhudi za watu wazima. "Kwa jumla watoto hujifunza maneno mengi kupitia kwa mitagusano ya kijamii na wakati mwingine kupitia kwa maongezi ambayo hayaelekezwi kwao."[46] Matokeo haya yamethibitishwa kupitia kwa majaribio mengi ambapo watoto walijifunza maneno mengi hata kama kile kilichokuwa kikirejelewa hakikuwepo, virejelewa vingi viliwezekana na watu wazima hawakuwa wanajaribu kuwafunza watoto maneno moja kwa moja.[47][48][49] Tomasello anahitimisha kuwa ishara ya lugha ni kitambulishi cha kumsaidia mtu kuelewa hali ya pamoja.[50]


Mapitio ya utafiti wa mwaka wa 1999 yanayolinganisha mbinu za kujifundisha baina ya binadamu na zile za nyani zinathibitisha madai ya Ralph Holloway ya anthropolojia ya kibayolojia ya mwaka wa 1969 yanadai kuwa aina Fulani ya ujamaa yanayohusishwa sana na uelewaji wa kiishara ndilo wazo kuu katika ukuaji wa kibinadamu. Na ndiyo huunda hali halisi ya “utamaduni”ni vile binadamu hupangilia tajiriba yake ya maisha." Utamaduni ni "kule kulazimishia hali fulani isiyo na sababu yeyote kwa mazingira." [51] Jambo hili, Holloway anadai kuwa ndilo msingi wa kuelewa mbinu za kujifunza kwa binadamu, matumizi ya vifaa na lugha. Utengenezaji wa vifaa wa binadamu na lugha huelezea michakato sawa ya fikira na hutoa ushahidi muhimu wa namna binadamu alivyokua.[52]


Kwa maneno mengine, ingawa McGrew anadai kuwa wanaathropolojia lazima wajikite kwa tabia kama vile mawasiliano na matumizi ya vifaa kwa sababu hawawezi kufikia kwenye akili, Holloway kwa upande wake anadai kuwa lugha ya binadamu na matumizi ya vifaa, vikiwemo vifaa vya awali kabisa vya mawe vinaonyesha tofauti za kiakili baina ya binadamu na viumbe wengine. Tofauti hizi za kiakili ndizo huelezea ukuaji wa binadamu. Kulingana na Holloway, suala siyo kama nyani huwasiliana, hujifunza, au hutengeneza vifaa, lakini muhimu ni namna wanavyofanya vitu hivyo. "Kuosha viazi baharini…kutoa majani kwenye miti kutafuta mchwa na mifano mingine ya nyani kutumia vifaa na kujifunza ni viwakilishi na havina thibitisho kutoka katika mazingira kwa mnyama."[53] Vifaa vya binadamu hata hivyo huelezea kujisimamia kutoka kwa hali halisi inayodhihirisha fikira za kiishara. "Katika maadalizi ya kijiti kwa ajili ya kula mchwa, tofauti baina ya bidhaa na malighafi ni viwakilishi tu. Katika kutengeneza vifaa vya mawe ukilinganisha, hakuna uhusiano baina ya bidhaa ya mwisho na malighafi asilia.[54]


Katika mtazamo wa Holloway mababu wa viumbe wasio binadamu kama vile sokwe na nyani, wengine walikuwa na stadi sawa za fahiwa, kutaka kujua, kumbukizi na werevu. "Tofauti labda huwa katika viwango. “Ni wakati sifa zinapowekwa pamoja na ishara, pamoja na hali ya kulazimishiwa ndipo utamaduni wa binadamu hudhihirka.”[55]

Nimependekeza hapo juu kuwa uwe utamaduni wowote uwao, “unahusisha kuwekelewa hali fulani ambazo hazina sababu kwa mazingira." Usemi huu una vyambajengo viwili. Kwanza ni kutambua kwamba uhusiano uliopo baina ya mchakato wa kusimba na kinachosimbwa (iwe ni kifaa, mtandao wa kijamii au dhana dhahania) siyo tanakali. Nyingine ni wazo kwamba binadamu ni kiumbe anayeweza kufanya mifumo isiyo ya kweli ifanye kazi - Ni yule anayelazimishia mambo yake ya kifantasia, mawazo yasiyo ya kitanakali kwa mazingira. Mazingira yaliyobadilika hubadilisha mitazamo yake na haya tena yanalazimishiwa kwa mazingira na kujumulishwa tena katika mazingira hayo na kung’ang’ania zaidi uasilisho.[56]


Hii inaweza kulinganishwa na kipengele cha “ratcheting” alichopendekeza Tomasello na wengine kilichowezesha ukuaji wa binadamu kwenda kwa haraka. Holloway anahitimisha kuwa mfano wa kwanza wa mawazo kiishara miongoni mwa binadamu ulitoa mwanzo kwa ukuaji wa akili, uchangamano wa vifaa, muundo wa kijamii, na lugha na matokeo yake kuonekana. "Huu mtagusano baina ya hali ya kubadili mazingira bila mpangilio na kupata hakikisho kutoka kwa mazingira yenyewe hadi kwa kiumbe ni mchakato unaoibuka, mchakato tofauti wa aina yake kutokea hapo kabla."[57]


Arbitrariness
Faili:MagrittePipe.jpg
Magritte khiyana ya Images hutoa classic mchoro wa "arbitrariness ya ishara."
Vifaa vya kale vya mawe
Wikipedia-makali Chopper
Kifaa cha kuchonga
Unretouched biface

Wanaisimu Charles Hockett na R Ascher wametambua sifa kumi na tatu zizoundwa za lugha, baadhi zinatumiwa pamoja na hali nyingine za mawasiliano ya wanyama. Sifa moja ambayo inatofautisha lugha ya binadamu ni hali yake ya juu ya uzalishi; kwa maneno mengine, wasemaji walio na umilisi mzuri wa lugha wana uwezo kutoa matamko asilia yasiyohesabika. Uzalishaji huu inaelekea unawezekana kupitia sifa chache muhimu sana ambazo hubainika tu katika lugha ya binadamu. Moja ni “uwili wa mabombwe”,hii ni kumaanisha ya kwamba huhusisha utamkaji wa michakato mingi bayana, kila mchakato huwa na sheria zake: kuunganisha fonimu kuunda mofimu, kuunganisha mofimu kuunda maneno na kuunganisha maneno kuunda sentensi. Hii ni kumaanisha ya kwamba mtu anaweza kubwiya ishara na sheria chache kuunda vipashio vingi vya lugha. Elementi nyingine muhimu ni kuwa lugha ya binadamu hutumia ishara: sauti za maneno (au maumbo yao, zinapoandikwa) hazina uhusiano wowote na kile yanacho kiwakilisha.[58] Kwamba maneno yana maana ni suala la ukubalifu. Kwa kuwa maana ya maneno ni ile ambayo haijapangwa. Neno lolote linaweza kuwa na maana nyingi, na kitu fulani kinaweza kurejelewa kwa kutumia maneno mbalimbali. Neno lenyewe linalotumiwa kuelezea kitu hutegemea muktadha, lengo la msemaji, na uwezo wa msikilizaji wa kupima haya kikamilifu. Kama aelezavyo Tomasello,

Mtumizi wa lugha moja huutazama mti kabla ya kutaka makini ya mzungumziwa kuhusu huo mti. Ni lazima aamue kutegemea alivyoyapima maarifa na matarajio ya mzungumziwa, kama atasema “mti ule pale” “huo”, “ni wa aina ya oak”, “mti huo una miaka mia moja”, “mti wa bagswing”, “hicho kitu kilicho mbele”, “pambo”, “fedheha”, au idadi yoyote ya matamko ... Na maamuzi haya hayafanywi kwa mujibu wa lengo la msemaji la moja kwa moja kuhusiana na kitu au shughuli husika bali yanafanywa kwa mujibu wa lengo lake kuhusiana na mapendeleo ya msikilizaji kuhusu kitu au shughuli.

Hii ndiyo maana uelewaji wa kiishara na mawasiliano pamoja na kujifunza kwa kuiga unaendana.[59]


Holloway anadai kuwa vifaa vya mawe vinavyohusishwa na homo Homo vina sifa sawa na lugha ya binadamu:

Nikirejea tena kwenye masuala ya sintaksi, sheria na shughuli zilizotajwa hapo juu, takribani kila ruwaza inayoelezea mchakato wa lugha inaweza pia kutumiwa kuelezea kutengeneza vifaa. Hili si jambo la kushangaza. Shughuli zote zilizojumuishwa pamoja zina sheria thabiti kupangilia shughuli za vipashio vyake (sarufi, sintaksi) yote ni mifumo iliyo na mpangilio kuanzia kipashio kikubwa hadi kidogo (kama ilivyo katika shughuli za mwendo). Zote hutoa mipangilio inayozuka kinasibu ambayo huwa sehemu ya mazigira ama kwa muda mufupi au hudumu.[60]
Shughuli zote zilizojumuishwa pamoja zina sheria thabiti kupangilia shughuli za vipashio vyake (sarufi, sintaksi) yote ni mifumo iliyo na mpangilio kuanzia kipashio kikubwa hadi kidogo (kama ilivyo katika shughuli za mwendo). Zote hutoa mipangilio inayozuka kinasibu ambayo huwa sehemu ya mazigira ama kwa muda mufupi au hudumu. Elementi za “msamiati” wa kimsingi wa operesheni za mwendo-vibanzi vilivyomomonyoka mahali, kujitenganisha, mzunguko, maandalizi ya jukwaa linalopendeza na matumizi mengine tofauti. . . . Ukichukua tendo lolote la mwendo kivyake; hakuna kitendo kimoja ambacho kimekamilika; kila kitendo kinategemea kilichotangulia na kinahitaji kitendo kingine zaidi na kila kimojawapo kinategemea sana mpango asilia. Kwa maneno mengine katika kila hatua ya kitendo isipokuwa ya mwisho, kazi yote si ya “kuridhisha” katika muundo. Kila kitendo cha kipashio hakina maana kivyake kwa mujibu wa matumizi ya kifaa; kina maana tu katika muktadha wa katika seti yote iliyokamilika ya matukio ambayo hatimaye huwa bidhaa ya mwisho. Hali hii ni sawa kabisa na ile ya lugha.[61]


Kama Tomasello alivyodhihirisha, fikira za kiishara zinaweza kutukia tu katika mazingira mahusi ya kijamii:

Ishara ambazo hazina mpangilio hushindilia makubaliano ya mitazamo, ambazo haziwaruhusu tu wanachama kuwasiliana kuhusu vitu vilevile kulingana na mahali na wakati (kama vile wakati wa kuwinda) lakini vilevile inawezesha mahusiano ya kijamii kusawazishwa na kurekebishwa kupitia kwa ishara. Inamaanisha kuwa tofauti zinazozuka huweza kushughulikiwa. Na kwa kushindilia mtazamo usiobadilika, ishara hushindilia tabia za kijamii ambazo hazibadiliki, na kuwa kushindilia tabia za kijamii ambazo hazibadiliki ni sharti la kutofautisha dhima katika vikundi vya kijamii ambavyo havijiasilishi tu katika mazingira ya nje lakini hata kwa wanachama wake.[62]


[[]]Mwanaanthropolojia wa kibayolojia Terrence Deacon katika mkusanyiko wake wa miaka ishirini ya utafiti kuhusu ukuaji wa binadamu, nurolojia ya kibinadamu, na primatolojia anaelezea hii athari ya ratchet kama namna ya ‘ukuaji wa Kibaldwin.” ambao umepata jina kutoka kwa mwanasakolojia, James Baldwin. Hii huelezea hali ambamo tabia ya mnyama inaweza kuwa na matokea ya kiukuaji mnyama anapobadilisha mazingira yake halisi na hivyo nguvu fulani zinazoathiri mnyama huyo.[63]

Pale tabia Fulani muhimu zinaposambaa katika kikundi na kuwa muhimu kwa matumizi, itasababisha shinikizo kwa tabia za urithi wa uzazi ambazo huchangia sana katika usambazaji wake ... vifaa vya mawe na taimboliki ambavyo mwanzoni vilipatikana kupitia kwa uwezo mwepesi wa nyani kujifunza. Hii iliwalazimisha watumizi kwa mtindo huo mpya wa teknolojia. Mbali na kuwa mbinu mpya, hizi tabia za kutafuta chakula na mpangilio wa jamii zimekuwa elementi za uasilisho mpya changamano. Usuli wa “ubinadamu” unaweza kufafanuliwa kama hatua katika ukuaji wetu ambapo vifaa hivi vilikuwa chanzo kikuu katika uteuzi wa mili na bongo zetu. Hii ndiyo kuelezea hali ya homo symbolicus. [64]

Kulingana na Deacon, hii ilijiri kati ya miaka milioni 2 na 2.5 iliyopita wakati tulipokuwa na ushahidi wa fosili ya kwanza ya matumizi ya vifaa vya mawe na mwanzo wa kuongezeka katika kimo cha akili. Lakini ni ukuaji wa lugha ya kiishara ambao ni kisababishi - na matokeo - cha mtindo huu.[65] Hakika Deacon anapendekeza kuwa Australopithecines, kama walivyo nyani wa sasa walitumia vifaa; inawezekana kuwa zaidi ya mamilioni ya miaka ya historia ya Australopithecine vikosi kadhaa vilikuza mifumo ya mawasiliano ya kiishara. Kilichokuwa muhimu, mojawapo ya vikundi hivi kilibadilisha mazingira yake hivi kwamba kilianzisha uteuzi wa uwezo tofauti kabisa wa kujifunza kuliko ilivyoathiri spishi zilizotangulia."[66] Kikosi au kikundi hiki kilianzisha mchakato wa Baldwin (athari ya ratchet) uliosababisha ukuaji wake kwa jenasi iitwayo Homo.


Swali analolishughulikia Deacon ni, ni tabia na mabadiliko yepi ya kitabia katika mazigira ambayo yamechangia katika kuasilishwa kwa kufikiria kiishara? Hapa anatilia mkazo umuhimu wa kutofautisha binadamu na spishi zingine siyo kwa lengo la kuweka juu werevu wa binadamu bali ni kuonyesha palipo na tatizo. Madaam ukuaji wa H. sapiens ulianza na mababu ambao hawakuwa na “utamaduni”, kile kilichowapelekea kuachana na kujifunza kwa kufikiria, mawasiliano, na njia za kutengeneza vifaa ambazo zilikuwepo na zikaendelea kuasilishwa kwa nyani wengi (na wengine wamependekeza, spishi za wanyama)? Mifumo ya ishara ya kujifunzia inachukua muda mwingi kuliko njia zingine za mawasiliano, kwa hivyo mawazo ya kiishara yaliwezesha kuzuka kwa mbinu tofauti ya mawasiliano lakini haikuwa bora zaidi kuliko ya nyani. Hata hivyo iliisaidia sana H. sapiens kukua. Deacons anaanza kwa kuangalia mambo mawili makuu katika historia ya ukuaji: kutafuta chakula na mahusiano ya kingono. Anavyotambua, ushindani kwa kupata ngono hubana uwezekano wa kuwepo kwa ushirikiano wa kijamii katika spishi nyingi. Hata hivyo, kulingana na Deacon, kuna mabombwe matatu yanayojitokeza katika uzalishaji wa binadamu ambayo huwatofautisha na spishi zingine:

  1. Dume na mke aghalabu huchangia juhudi katika malezi ya watoto ingawa katika viwango na njia tofauti.
  2. Katika jamii zote, wingi wa wanaume na wanawake wazima hufungamanishwa pamoja kwa muda mrefu na haki na vikwazo vya kujihusisha katika ngono.
  3. Hudumisha mahusiano haya ya kingono wanapoishi katika makundi wastani, makubwa, ya kirafiki, ya kijamii, ya kike na kiume.[67]

Isitoshe, kuna sifa moja ambayo inadhihirka kwa jamii maarufu za binadamu zinazotafuta chakula (binadamu wote kabla ya ya miaka elfu kumi na elfu kumi na tano) na ambazo huwa tofauti na nyani: “matumizi ya nyama. . . . kuonekana kwa vifaa vya kwanza vya mawe vipatavyo miaka milioni 2.5 iliyopita karibu inahusiana na kubadilika kwa ghafla katika tabia ya kutafuta chakula ili kupata nyama."[68] Deacon haamini kuwa fikira ya kiishara ilikuwa muhimu kwa kuwinda au kwa kutengeneza vifaa (ingawa utengenezaji wa vifaa unaweza kuwa kipimo cha kutegemewa fikira kiishara), ilikuwa muhimu kwa ufanisi wa mahusiano bainifu ya kijamii.


Muhimu zaidi ni kwa kuwa wanaume na wanawake wote ni bora katika kutafuta chakula, mama wanaobeba watoto wategemezi huwa si wawindaji wazuri. Ni lazima kwa hivyo wawategemee wanaume. Hii hupendelea mfumo ambapo wanaume wanaweza kujihusisha katika ngono wakati wowote na wanawake na wanawake wanaweza kubashiri wenzao watawatafutia chakula na watoto wao. Katika spishi nyingi za mamalia, matokeo huwa mfumo wa kuorodhesha au ushindani wa kingono ambao huchangia kuwepo kwa kuoa wake wengi au kuwepo kwa mahusiano ya muda mrefu baina ya watu wanaoishi kivyao. Katika mifano yote miwili ukakamavu wa mwanaume ndiwo huchangia sana kudumishwa kwa mahusiano ya kingono. Ni upekee upi unajitokeza miongoni mwa binadamu?

Hali ya binadamu kutegemea sana rasilimali ambazo hazipatikani kwa wanawake walio na watoto, haiamui tu ushirikiano baina ya mtoto na baba bali pia ushirikiano wa jamaa na marafiki wakiwemo wakongwe na vijana, ambao wanaweza kutegemewa kutoa msaada. Shuruti muhimu za kutafuta nyama na kulea watoto katika ukuaji wetu kwa pamoja huchangia sana katika sifa ya tatu ya uzalishaji wa kibinadamu: kuishi kwa ushirikiano kama kikundi.[69]

Upekee ambao unadhihirika kuhusu jamii za binadamu ni kile kilichohitaji fikira za kiishara ambacho husababisha ukuaji wa utamaduni: “vikundi vya kijamii vyenye ushirikiano na jinsia za mseto ambavyo vina wanaume walezi na wanawalisha watoto na yenye mabombwe ya kujitegemea ya uzalishaji.” Mseto huu ni nadra katika spishi zingine, mfumo wao unaweza “kusambaratika kwa urahisi.” Lugha na utamaduni ndiyo huushikanisha pamoja.[70]


Sokwe vilevile mara mojamoja hivi hutafuta nyama. Mara nyingi dume huila nyama hiyo mara moja na mara mojamoja hugawana na jike ambao huwa karibu. Miongoni mwa sokwe uwindaji wa nyama huongezeka vyakula vingine vinapokosekana lakini katika hali hii kugawana chakula hupungua. Namna za mwanzo za kufikiria kiishara ziliwezesha utengenezaji vifaa. Hii ilichangia sana kwanza, uwindaji wa nyama kuwa njia ya kutegemewa sana ya kutafuta riziki ya mababu wetu wasio binadamu na wakati huohuo kuwezesha njia za mawasiliano ya kijamii ambazo ziliwezesha ugawanaji baina ya wanaume na wanawake na hivyo kudidimiza ushindani wa kingono:

Kwa hivyo tatizo la kijamii kiekolojia linasababishwa na mtindo wa kuongezea nyama katika ulaji. Mtindo hauwezi kutumika bila ya muundo wa kijamii ambao unahakikisha kujamiana bila tatizo lolote na vilevile unazigatia usawa ili kudumisha ushirikiano kupitia kwa matakwa sawa au badala za uzalishaji. Tatizo hili linaweza kusuluhishwa kiishara.[71]

Ishara na kufikiri kiishara inakuwa sifa ya kimsingi ya mahusiano ya kijamii miongoni mwa binadamu: kulipiza wema kwa wema. Wanasayansi ya ukuaji wamebuni ruwaza kuelezea hali ya kulipiza wema kwa wema bila choyo miongoni mwa watu walio na uhusiano. Mfano walidhani hufanya iwezekanavyo distantly kuhusiana usawa kati ya watu binafsi.[72]


Mielekeo ya kiakiolojia: malighafi na maana

Makazi yaliyochimbuliwa huko Skara Brae, kijiji enzi ya Kinioliti, Ulaya
Uundaji wa Levallois Point
Faili:BBC-artefacts.jpg
Bifacial pointi, engraved mfupa ochre na zana kutoka c. 75,000-80,000 umri wa mwaka M1 & M2 awamu saa Blombos pango
Chimbo la kiakiolojia la Monte Alban
Machimbo katika eneo la kusini mwa Catal Hoyuk
Michoro ya ukutani ya kifahali, mnyama aina ya paa na binadamu kutoka Catalhoyuk, milenia ya sita KK(Kabla ya Kristo);Museum of Anatolian Civilisations,Ankara,Turkey

Katika akiolojia ya karne ya 19 kulikuwa na nyongeza ya historia na lengo la wanaakiolojia lilikuwa kutambua mabaki kulingana na aina zake pamoja na muundo wa miamba hivyo kuweza kuwekea alama zinapopatikana na wakati. Franz Boaz alipata ya kwamba akiolojia iwe mojawapo ya mawanda manne ya anthropolojia ya Kimarekani na mijadala miongoni mwa wanaakiolojia mara nyingi imelingana na mijadala miongoni mwa wanaanthropolojia wa kitamaduni. Katika miaka ya 1920 na 1930, mwanaakiolojia wa Kiaustralia-Uingereza V.Gordon Childe na mwanaakiolojia wa Kimarekani W.C.McKern kivyao waliacha mtindo wa kuuliza maswali kuhusu tarehe ya mabaki, watu waliotoa tarehe hiyo - wanaakiolojia hufanya kazi bega kwa bega na wanahistoria, kazi za kihistoria husaidia kujibu maswali haya, lakini pale kazi za kihistoria zinapokosekana,wanaakiolojia hubuni mbinu mpya. Childe na McKern walijikita kwa kupangilia mahusiano miongoni mwa vitu vilivyopatikana kwa pamoja, kazi yao iliweka msingi wa ruwaza iliyo na sura tatu:

  1. Kila baki ambalo lina sura, umbo na sifa za kiteknolojia (k.m kishale)
  2. Kijenzi kilicho na mabaki yanayopatikana na kuna uwezekano yaliwahi kutumiwa, pamoja (kishale, uta, na kisu)
  3. Kijenzi cha vijenzi vingine vidogo ambavyo kwa pamoja vinaunda chimbo la kiakiolojia (k.m kishale, uta, na kisu; mtungi pamoja na mabaki ya jiko; makazi)

Childe alidai kuwa “kujirudiarudia kwa vijenzi vya mabaki” ni “utamaduni wa kiakiolojia."[73][74] Childe na wengine waliuona “kila utamaduni wa kiakiolojia kama onyesho la vitu vilivyomilikiwa na kundi maalumu la watu ."[75]


Mnamo mwaka wa 1948 Walter Taylor alipangilia mbinu na dhana ambazo wanaakiolojia walikuwa wamebuni na akapendekeza ruwaza ya jumla ya mchango wa akiolojia kwa maarifa ya tamaduni. Alianza kwa kuelewa kama zao la shughuli ya fikira ya binadamu na msisitizo wa Boaz kuhusu maana ya kibinafsi ya vitu kwa kutegemea mikitadha yao ya kitamaduni. Alifafanua utamaduni kama “tukio la kiakili, linalohusisha yaliyomo akilini, siyo vitu au tabia inayoweza kuonekana.”[76] Hatimaye aliweza kuunda ruwaza ya sura tatu inayounganisha anthropolojia na akiolojia ambayo aliita conjunctive archeology (akiolojia unganishi):

  1. Utamaduni ambao hauonekani na usio wa vifaa
  2. Tabia ambazo zinatokana na utamaduni uisioonekana wala siyo wa vifaa
  3. Vifaa kama vile mabaki na ramani za nyumba ambazo ni matokeo ya tabia na vifaa

Vifaa vya mabaki vilikuwa ni masalio ya utamaduni na wala siyo utamaduni wenyewe.[77] Hoja ya Taylor ilikuwa kwamba rekodi za ramani za nyumba zinaweza kuchangia kwa maarifa ya kiaanthropolojia lakini ikiwa wanaakiolojia watabadilisha kazi upya siyo kwa kuchimbua mabaki na kurekodi mahali na wakati zinapopatikana bali kama hitimisho kutoka tabia za mabaki ya vifaa kupitia kwa namna zilivyotolewa na kutumiwa na kuhitimisha kutoka kwa tabia hizi shughuli za kiakili za watu. Ingawa wanaanthropolojia wengi waliungama kuwa utafiti wao ulikwa sehemu ya anthropolojia, mpango wa Taylor haukutekelezwa kikamilifu. Sababu moja ni kwamba ruwaza yake ya sura tatu ya mahitimisho ilihitaji utafiti mwingi wa nyanjani na uchanganuzi wa maabara ndipo iweze kufanya kazi.[78] Isitoshe, maoni yake kuwa mabaki ya vifaa siyo utamaduni; na mara mbili hivi yalitolewa kutoka kwa utamaduni, kuliiifanya akiolojia kuwa mbali na anthropolojia ya utamaduni.[79]


Mwaka wa 1962 Lewis Bindford, mwanafunzi wa zamani wa Leslie White alipendekeza ruwaza mpya ya akiolojia ya kiaathropolojia ambayo aliita “Akiolojia Mpya” au “Akiolojia ya Mchakato’, hii aliikita kwa ufafanuzi wa White wa utamaduni kama “njia zaidi za mwili na wala siyo akili za kujisilisha kwa kiumbe.”[80] Ufafanuzi huu ulimwezesha Bindford kutambua akiolojia kama uwanda muhimu wa kufuatilia njia ya utafiti iliyotumiwa na Julian Steward katika ekolojia ya utamaduni:

Utafiti wa kiulinganishi wa mifumo ya utamaduni na teknolojia tofauti katika masafa sawa ya mazingira au teknolojia sawa katika mazingira tofautitofauti ni njia kubwa ya utafiti ambayo Steward (1955:36-42) aliita “ekolojia ya utamaduni” na bila shaka ni njia muhimu sana ya kuongezea uelewaji wetu wa mchakato wa utamaduni. Njia kama hii ni muhimu katika kuelezea mahusiano ya kimuundo baina ya mifumo midogo ya kitamaduni kama vile ya kijamii na kinadharia.[81]


Kwa maneno mengine Binford alipendekeza akiolojia ambayo ingekuwa msingi wa mradi mkubwa wa wanaanthropolojia wa wakati huo (utamaduni kama uasilisho kwa mazingira usio wa kijenetiki); “akiolojia mpya” ilikuwa anthropolojia ya kitamaduni (katika mtindo wa ekolojia ya kitamaduni au anthropolojia ya kiakolojia) ya kale.


Katika miaka ya 1980 kulikuwa na muungano Uingereza na Ulaya uliopinga mawazo ya akiolojia kama tawi la anthropolojia, ukiunga mkono Radcliffe-Brown ambaye hapo nyuma alikuwa amepinga anthropolojia ya kitamaduni.[82] Ni wakati huu mwanaakiolojia kutoka Cambridge Ian Hodder alibuni “mchakato wa baadaye wa akiolojia” kama njia badala. Kama Binford (na tofauti na Taylor) Hodder anayaona mabaki siyo kama vifaa vya utamaduni bali utamaduni wenyewe. Tofauti na Binford, Hodder hauoni utamaduni kama uasilisho wa kimazingira. Badala yake anajikita kwa wazo la mtiririko mzuri wa kiishara wa utamaduni wa kijadi ambamo vifaa, mabaki, yanashiriki kikamilifu katika uumbaji, uhawilisho, mabadiliko na kufifia kwa ishara changamano."[83] Kitabu chake cha mwaka wa 1982, Symbols katika Action, kinatukumbusha kuhusu anthropolojia ya kiishara ya Geertz, Schneider na msisitizo wao juu ya maana inayotegemea muktadha na vifaa vya utamaduni kama njia badala za wazo la White na Steward kuhusu utamaduni wa vifaa.[84] Katika kitabu chake cha mwaka wa 1991, Reading the past: Current Approaches to interpretation in Archeology Hodder anadai kwamba akiolojia ina uhusiano wa karibu na historia kuliko anthropolojia.[85]


Lugha na utamaduni

Mwingiliano baina ya utamaduni na lugha umetambuliwa tokea enzi za urasimu na hata kabla ya hapo. Wagiriki wa kale kwa mfano walitofautisha watu waliostaarabika na barbaros “wanaobwabwaja” yaani wale ambao hawasemi lugha inayoeleweka.[86] Kwa kuwa watu wanasema lugha ambazo hazieleweki ni ushahidi kwamba kuna tofauti za kitamaduni kuliko tabia za kitamaduni.


Walimbwende wa Kijerumani wa karne ya 19 kama vile Herder, Wundt na Humbolt aghalabu waliiona lugha si kama mojawapo ya tabia za kitamaduni miongoni mwa nyingi bali tukio la moja kwa moja la tabia za kitaifa za watu, yaani utamaduni kwa njia iliyokolezwa. Herder kwa mfano anapendekeza “Denn jades volk ist volk; es hat seine National Bildung wie seine Sprache” (kwa kuwa kila watu ni watu, wana utamaduni wao wa kitaifa unaoelezewa kupitia lugha yake).[87]


Franz Boaz, mwasisi wa anthropolojia ya Kimarekani, kama wenzake Wajerumani waliomtangulia, alishikilia kuwa lugha inayotumiwa na watu wote katika jumuia ndiyo hasa hubeba utamaduni wa watu hao. Boaz ndiye aliyekuwa mwanaanthropolojia wa kwanza aliyeona ya kwamba ilikuwa haiyumkiniki kuutafiti utamaduni wa kigeni bila ya kuijua lugha yake. Kulingana na Boaz, kwa kuwa utamaduni wa kiusomi wa watu ulijengeka, kutumiwa pamoja na kudumishwa kupitia lugha, ilimaanisha kuwa kuelewa lugha ya kikundi fulani cha watu lilikuwa jambo muhimu katika kuelewa utamaduni wa kikundi hicho. Wakati huo, Boaz na wanafunzi wake walifahamu kuwa utamaduni na lugha hazitegemeani moja kwa moja. Hivi ni kusema ya kwamba, vikundi vilivyo na utamaduni tofauti vinaweza kuwa na lugha moja, na wasemaji wa lugha ambazo hazifanani wanaweza kuwa na utamaduni amabao unafanana.[88][89] Wasomi wengi wanapendekeza kuwa kila aina ya lugha huamua aina fulani za utamaduni.[90] Hii ni sawa na dhana ya Isimu amuzi ambayo husema ya kwamba aina ya lugha huamua mawazo ya kibinafsi. Maadamu Boaz alikataa kuwepo kwa kiunganishi sababishi baina ya lugha na utamaduni, wasomi wenzake waliomtangulia walishikilia kuwa wazo la mitindo ya kuzungumza na kufikiria katika lugha fulani inaweza kuathiri utamaduni wa kikundi fulani cha lugha.[91] Imani kama hiyo ina uhusiano na nadharia ya taathira lugha. Boaz kama wafanyavyo wanaanthropolojia wa sasa, hata hivyo, alitaka kuonyesha uhusiano baina ya utamaduni na lugha kwa kuwa chambacho B.L.Whorf, “zote hizi zimekuwa pamoja”.[92]


Waama kwa kweli usuli wa lugha, inavyoeleweka kama uwezo wa kibinadamu wa mawasiliano changamano ya ishara, na usuli wa utamaduni changamano unafikirika kutoka kwa mchakato wa mabadiliko katika binadamu wa kwanza. Wanaisimu na Wanaanthropolojia mabadiliko wanadhani kuwa lugha ilizaliwa wakati binadamu wa kwanza walipoanza kuishi katika jumuia kubwa ambazo zilihitaji matumizi ya mawasiliano changamano kudumisha mshikamano wa kijamii. Lugha na utamaduni kwa hivyo zote ziliibuka kama njia ya kutumia ishara kujenga utambulisho wa kijamii na kudumisha mshikamano katika kikundi kikubwa cha kijamii ambacho hakiwezi kutegemea njia za kujenga jumuia zilizotumika kabla ya binadamu, kwa mfano zile za kukuza. Kwa kuwa lugha na utamaduni zote kimsingi ni mifumo ya kutumia ishara, wananadharia wa karne ya ishirini wametumia njia za kuchanganua lugha zilizobuniwa katika sayansi ya lugha kuchanganua utamaduni. Hasa nadharia ya umuundo ya Ferdinand de Saussure ambayo huiona lugha kama mfumo wa ishara ambao unahusisha ishara (yaani kule kulinganisha umbo fulani na maani fulani).Nadharia hii imetumiwa sana katika kutafiti juu ya utamaduni. Vilevile nadharia za baadaye za umuundo bado zingali zinategemea uhusiano baina ya lugha na utamaduni kama mifumo ya mawasiliano ya kiishara, ambayo yametumiwa katika mawanda ya semiotiki. Uhusiano baina ya lugha na utamaduni yanaweza kueleweka kama kimuundo ni sawa na uhusiano baina ya ishara lugha, inayohusisha kwa mfano sauti [kau] na maana ya “cow”(ng’ombe), na ishara ya kitamaduni inayohusisha kwa mfano namna moja ya utamaduni ya “kuvaa taji” na maana ya kitamaduni ya “kuwa mfalme”. Katika njia hii inaweza ikasemwa kuwa utamaduni ni aina ya lugha. Kufanana kwingine baina ya utamaduni na mifumo ya lugha ni kwamba yote ni mifumo ya mazoezi, yaani zote ni njia spesheli za kufanya mambo ambazo zimejengeka na kuendelezwa kupitia kwa mitagusano ya kijamii[93]. Watoto kwa mfano hujifunza lugha namna sawa wanavyojifunza mambo ya kimsingi kuhusu kaida za kitamaduni za jamii ambamo wamekulia - kupitia kwa mitagusano na wenzao wa umri mpevu katika kikundi cha kitamaduni.


Hata hivyo, lugha, zinavyoeleweka siku hizi kama seti za kaida za lugha za jumuia fulani, vilevile ni sehemu ya utamaduni mpana wa jumuia inayosema lugha hizo. Binadamu hutumia lugha kama njia ya kuonyesha utambulisho na kikundi kimoja cha utamaduni na tofauti na vingine. Hata miongono mwa wazungumzaji wa lugha moja kuna njia nyingi za kuitumia lugha hiyo na njia hizo hutumiwa kuashiria uhusiano na kikundi fulani kidogo katika utamaduni mpana. Katika isimu, namna mbalimbali za kuitumia lugha moja huitwa “vilugha”. Kwa mfano Kingereza kinazungumzwa tofauti Marekani, Uingereza, na Australia na katika hizo nchi zinazozungumza Kingereza kuna mamia ya lahaja za Kingereza na kila lahaja hutumiwa katika eneo fulani au huwakilisha utamaduni fulani wa utamaduni mpana. Kwa mfano katika Uingereza, lahaja ya cockney huashiria kuwa wasemaji wake hutoka katika tabaka la chini la wafanyakazi wa mashariki mwa London. Tofauti katika vilugha vya lugha moja hudhihirika katika matamshi na msamiati na wakati mwingine katika mifumo ya sarufi na aghalabu katika matumizi ya mitindo mbalimbali (kwa mfano msimu wa cockney wa Rhyming au sajili ya wanasheria). Wanaisimu na Wanaanthropolojia, hasa wanaisimujamii, wanaisimuethnolojia, na wanaisimuanthropolojia wameijkita katika utafiti wa namna usemaji hutofautiana katika jamii tumizi lugha fulani.


Namna mbalimbali za jumuia kuzungumza au kutumia ishara ni sehemu ya utamaduni wa jumuia kama ilivyo mienendo mingine katika jamii. Matumizi ya lugha ni njia ya kuweka na kuonyesha utambulisho wa kikundi fulani. Namna za kuzungumza zina uamilifu siyo tu wa kufanikisha mawasiliano bali wa kutambua hadhi au tabaka la msemaji. Wanaisimu huita namna mbalimbali za kuzungumza “vilugha”, dhana inayohusisha lahaja za kijiografia na kijamii, sajili au mitindo mbalimbali ya utamaduni mdogo. Wanaisimuanthropolojia na wanasosholojia wa lugha hufafanua mtindo wa mawasiliano kama namna ambavyo lugha hutumiwa na kueleweka katika utamaduni fulani.[94]


Tofauti baina ya lugha hazihusishi tofauti katika matamshi, msamiati au sarufi, lakini vilevile katika “tamaduni tofauti za usemaji”. Tamaduni zingine kwa mfano zina mifumo mipana ya “usonde wa kijamii”, mifumo ya kuashiria masafa ya kijamii katika njia za kiisimu[95]. Katika Kingereza, usonde wa kijamii aghalabu huonyeshwa kupitia kwa kutofautisha baina ya kuwaita watu kwa kutumia jina la kwanza na kupitia kuwaita kwa kutumia jina la pili au hata kwa kutumia majina kama vile “Bi”, “kijana”, “Daktari”, “mheshimiwa”. Katika lugha zingine mifumo kama hiyo inaweza kuwa changamano sana na iliyosimbikwa katika sarufi nzima na msamiati wa lugha. Katika lugha nyingi za Asia mashariki, kwa mfano, Thai, Burmese na Javanese, maneno tofauti yanatumiwa kulingana na kama msemaji anazungumza na mtu wa cheo cha juu au cha chini ikilinganishwa na chake katika mfumo wa kuorodhesha. Katika mfumo huu wanyama na watoto huorodheshwa chini na miungu pamoja na jamii ya watawala kuorodheshwa juu.[95] Lugha zingine huweza kutumia njia tofauti za kuzungumza ikiwa unazungumza na watu wa jinsia tofauti au wakwe na kwa upande mwingine lugha nyingi zina namna spesheli za kuzungumza na watoto. Miongoni mwa vikundi vingine, utamaduni wa kuzungumza unaweza kuhusisha kutozungumza na watu mahsusi, kwa mfano tamaduni nyingi za kienyeji za Australia zina mwiko wa kutozungumza na wakwe, na katika tamaduni zingine uzungumzi hauelekezewi watoto moja kwa moja. Lugha zingine huhitaji njia tofauti za kuzungumzia matabaka tofauti ya wasemaji na mfumo kama huo hujiegemeza kwa tofauti za kijinsia, mfanao ni Kijapani na Kikoasati[96].


Anthropolojia ya Kitamaduni

1899-1946: Ubia ukilinganishwa utamaduni binafsi
Franz Boaz ndiye aliyeanzisha anthropolojia ya sasa ya Kimarekani kama somo la jumla ya matukio/vitendo vya binadamu.
Ruth Benedict alikuwa katika msitari wa mbele wa kuanzisha fikira ya kisasa ya tamaduni bainifu kama bombwe.


Uelewaji wa kisasa wa utamaduni wa kiaanthropolojia una usuli wake katika karne ya 19 na na nadharia ya mwanaathropolojia wa Kijerumani Adolf Bastian ya “umoja wa fikira ya binadamu” (psychic unity of mankind) ambayo, akiathiriwa na Herder na von Humboldt, alipinga kutambulishwa kwa “utamaduni” na hali ya maisha ya wasomi wa Ulaya. Aidha alipinga jaribio la mwanaanthropolojia wa Kiingereza Edward Taylor la kufafanua utamaduni kama dhana jumlishi. Taylor, mnamo mwaka wa 1874 alielezea utamaduni katika njia ifuatayo: “Utamaduni au ustaarabu ukichukuliwa kwa upana katika misingi ya kiethinografia ni mfumo mzima unaohusisha kujua, imani, sanaa, sheria, mila na mawezekano mengine pamoja na tabia zingine ambazo amejifunza binadamu kama mwanachama wa jamii’.[97] Ingawa Taylor hakuwa analenga kupendekeza nadharia ya kijumla (alielezea kuelewa kwake kwa utamaduni katika kozi pana ya mjadala kuhusu hali ya dini), wanaanthropolojia wa Kimarekani kwa jumla wamewasilisha fafanuzi zao mbalimbali za utamaduni kama viboresho vya Taylor. Mwanafunzi wa Franz Boas, Alfred Kroeber(1876-1970) aliutambulisha utamaduni na “supaoganiki”, yaani eneo lenye mpanglio wa sheria ambazo hazingeweza kuelezewa au kuhusishwa na bayolojia.[98] Mnamo mwaka wa 1973, Gerald Weiss alipitia fafanuzi kadhaa za utamaduni na mijadala kulingana na uzito wake na akapendekeza ufafanuzi ufuatao wa kisayansi wa "utamaduni":"ni dhana ya kijumla ya vitendo vya binadamu visivyo vya kijenetiki au vitendo vya binadamu ambavyo ni vya kimetabayolojia’" (italiki ni katika hali yake halisi).[99]


[[]]Franz Boas alianzisha anthropolojia ya kisasa ya Kimarekani pale ilipoanzishwa programu ya kwanza katika anthropolojia chuo kikuu cha Columbia mnamo mwaka wa 1896. Wakati huo nadharia kubwa ya utamaduni ilikuwa ile ya utamaduni ukuaji, ambayo ilielezea kuwa jamii za kibinadamu ziliendelea kupitia hatua za ujahili, ushenzi hadi ustaarabu, hivyo jamii ambazo kwa mfano zimejikita katika kilimo cha mboga na matunda na mfumo wa ujamaa wa froquois ni jamii ambazo hazijakua sana ikilinganishwa na zile zilizojikita katika kilimo na mfumo wa ujamaa wa Eskin. Mojawapo ya ufanisi wa Boaz ni kuonyesha kwa njia ya kuridhisha kuwa nadharia hii kimsingi ina hitilafu, kiujarabati, kaika njia za utafiti na kinadharia. Isitoshe, alidhani ya kwamba ufahamu wetu wa tamaduni tofauti ulikuwa haujakamilika na hujikita kwa utafiti usio na mpangilio wala siyo wa kisayansi. Alisema kwamba ilikuwa muhali kubuni kisayansi nadharia ya kijumla ya tamaduni za binadamu. Badala yake alibuni wazo la utamaduni mabadiliko (cultural relativism) na akawapa wanafunzi wake mafunzo kufanya utafiti husishi wa nyanjani katika jamii tofautitofauti. Boas alielewa uwezo wa utamaduni kuhusisha mawazo kiishara na kujifunza kijamii na alizingatia ukuaji wa uwezo wa utamaduni kwenda sambamba na ukuaji wa nyanja zingine kama bayolojia, sifa zinazoelezea genus Homo. Hata hivyo, alielezea kuwa utamaduni hauwezi kulinganishwa na bayolojia au matamshi mengine ya mawazo ya kiishara kama lugha. Boas na wanafunzi wake walielewa utamaduni kijumlishi na walipinga kubuni ufafanuzi wa kijumla wa utamaduni. Hakika, walipinga kutambulisha utamaduni kama kitu, badala yake utumiwe kama kivumishi badala ya nomino. Boas alielezea kuwa aina au namna za utamaduni huwa katika hali ya kubadilikabadilika.[100][101] Mwanafunzi wake Alfred Kroeber alielezea kuwa upokezi huria na usimilisho wa utamaduni ulifanya muhali kufikiria tamaduni kama vitu vya kisiri.[102]


Wovoka, Paiute kiongozi wa kiroho wa the Ghost Dance
Msichana wa kizuni akiwa na gudulia, 1903
Edward Curtis, picha ya sherehe ya Kwakwaka’wakw
Tu'i Manu'a Elisala
Msukaji wa vikapu wa Hopi

Wanafunzi wa Boas walitawala anthropolojia ya kitamaduni kwa kipindi chote cha vita vya II vya dunia na kuendelea kuwa na ushawishi mkubwa miaka ya 1960. Walikuwa na haja sana na mambo mawili: namna mbalimbali utamaduni umepitia duniani,[103] , na njia ambazo watu wameathiriwa na kutenda kiubunifu jinsi inavyojitokeza katika tamaduni zao.[104][105] Hii iliwapelekea wanafunzi kujikita zaidi kwenye historia ya tabia za kitamaduni: namna zinavyosambaa kutoka katika jamii moja hadi nyingine na vile maana zinavyobadilika muda unavyoenda[106][107] na maisha ya watu kutoka kwa jamii zingine.[108][109][110][111][112][113][114][115] Wengine kama vile Ruth Benedict (1887-1948) na Margaret Mead (1901-1978), walitoa kazi za kiusomi na tafiti linganishi zinazochanganua kazi za ubunifu ambazo zilikuwa zinalenga watu fulani katika miktadha mahsusi ya kitamaduni.[116][117][118] Muhimu kwa utafiti wao ilikuwa dhana ya “muktadha”: utamaduni ulitoa muktadha ambao ulifanya tabia za binadamu kueleweka; jiografia na historia zilitoa muktadha wa kuelewa tofauti baina ya tamaduni. Ingawa wafuasi wa Boas walikuwa wamejikita sana katika imani, umoja wa mawazo ya binadamu na ubia wa utamaduni, mkazo wao kwa miktadha ya kienyeji na tofauti za tamaduni ziliwaweka mbali na kupendekeza tamaduni za kiubia au nadharia za kiubia za utamaduni.

Kuna sintofahamu katika anthropolojia ya kitamaduni baina ya madai kuwa utamaduni kama kitu chenye ubia (kuwa jamii zote zina utamaduni) na kuwa utamaduni hulenga vitu mahsusi (utamaduni hujitokeza katika namna mbalimbali kote duniani). Baada ya Boas, mijadala miwili imetawala utamaduni wa kianthropolojia. Mjadala wa kwanza ni ule unaohusu njia za kuunda tamaduni fulani. Kumekuwa na mjadala baina ya wanaanthropolojia kama utamaduni unaweza kuelezewa kama mkusanyiko au husishi au vitu vilivyowekwa pamoja au kama sifa ya mkusanyiko wa vitu tofauti, idadi na maana ambavyo hubadilikabadilika. . Mwanafunzi wa Boaz, Ruth Benedict alipendekeza kuwa katika jamii yeyote ile sifa za kitamaduni zinaweza kuwa zaidi au kasoro ya zile ambazo zimewekwa pamoja yaani zile zinazohusisha mpangilio wa vitendo na mawazo ambayo maisha ya binadamu maana na vilevile huwapa msingi wa kutathmini vitendo vipya na mawazo.Ingawa alimaanisha kuwa kuna viwango mbalimbali vya mshikamano.Hata hivyo kuna tamaduni ambazo haziwezi kushikamanishwa.[119] Boas aliendelea kusema kuwa mshikamano kabisa wa tamaduni ni nadra.[120] Tamaduni fulani huonekana kushikamana kwa sababu ya mtazamaji mwenyewe.[121]


Mjadala wa kwanza ulitupiliwa mbali mnamo mwaka wa 1934 wakati Ruth Benedict alipochapisha Patterns of Culture, kazi ambayo imekuwa kwenye matibaa tokea wakati huo. Ingawa kazi hii imekuwa maarufu kwa kusambaza wazo la Boas la Utamaduni rejeshi, lakini miongoni mwa wanaanthropolojia wazo hili lilikuwa muhtasari muhimu wa uvumbuzi wa Boas na vilevile kujitenga na mkazo Boas alitilia kwenye kusambaa kwa tabia mbalimbali za kitamaduni. "Kazi za kiaanthropolojia zimejikita sana kwa uchanganuzi wa tabia za utamaduni”, aliandika Ruth’na wala siyo utafiti wa tamaduni kama zinavyoelezewa kwa ujumla."[122] Akiwa ameathiriwa na mwanaanthropolojia wakijamii kutoka Uingereza lakini mwenye asili ya Poland, Bronislaw Malinowski, Ruth alielezea kuwa, “kitu cha kwanza muhimu, inavyoonekana siku hizi, ni kutafiti utamaduni hai ili kujua tabia zake za mawazo na uamilifu wa asasi zake na njia ya pekee ya kujua kwa undani umuhimu wa tabia teule ni kinyume cha msingi wa matakwa na hisia na maadili ambayo yamekubaliwa na utamaduni huo.[123] Akiwa ameathiriwa na wanahistoria wa kijerumani Wilhelm Dilthey na Oswald Spengler na vilevile saikolojia ya gestalt, alielezea “Kitu jumla ndicho huamua sehemu zake, siyo tu mahusiano yake bali hali yake halisi na vilevile," [124] utamaduni ni zaidi ya ni jumla ya tabia zake.[125] Namna ambavyo lugha zinavyoteua kutoka sauti zitokazo kinywani mwa binadamu (mradi hakina kasoro), alihitimisha kuwa watu wa jamii Fulani kila wakati uendapo na kupitia kwa michakato razini na isiyo razini, ilichagua tabia Fulani za kitamaduni kutoka seti ya tabia lukuki za kitamaduni ambazo huunganishwa na kuunda bombwe la kipekee.[126]

Umuhimu wa tabia za kitamaduni hauishi wakati ambapo tumeelewa tabia za kienyeji na zile ambazo zimeundwa na zile zinazotofautiana. Utamaduni huwa jumlishi. Utamaduni kama alivyo mtu huwa ni mfumo fulani wa mawazo na vitendo. Ndani ya kila utamaduni huwa kuna sifa na malengo ambayo hayapatikani katika jamii nyingine. Na kwa kushikilia malengo yao, watu hawa huziimarisha tajiriba zao na kwa kulinganisha na dharura ya misukumo yao ambayo huumbika zaidi. Ikichukuliwa na utamaduni ulioimarika zaidi, vitendo ambavyo havijapangiliwa vizuri zaidi huwa vinalengwa na utamaduni huo kupitia kwa mabadiliko ambayo hayajatarajiwa.[127]

Ingawa Benedict alihisi kuwa takribani tamaduni zote zina mpangilio alielezea kuwa mipangilio hii hubadilika na wakati kufuatia ubunifu wa binadamu na kwa hivyo jamii tofauti kote duniani zina tabia tofauti. Patterns of Culture hulinganisha tamaduni za Zuni, Dobu na Kwakiutl kama njia ya kuonyesha namna mbalimbali za kuwa binadamu. Benedict aliona kwamba wakazi wa Magharibi walihisi ya kwamba mtazamo huu uliwalazimisha kutupilia mbali “ndoto ya kudumu na njozi pamoja na ndoto za binadamu za kujitegemea”na kwa wengi hili lilifanya uhai kuwa “mtupu."[128] Alielezea ya kwamba baada ya watu kukubali matokeo ya utafiti wa kisayansi,watu watakuwa na imani halisia,wakikubali kama msingi wa matumaini na kama msingi mpya wa kuvumiliana na kuishi pamoja na mipangilio halali ya maisha ambao binadamu wameumba kutoka kwa malighafi ya kuishi.[128]


Wazo hili la utamaduni limekuwa na athari kubwa nje ya anthropolojia na limetawala anthropolojia ya Kimarekani hadi wakati wa Vita Baridi,wakati wanaanthropolojia kama vile Sidney Mintz na Eric Wolf walipopinga uhalali na thamani ya kuangalia kila utamaduni kama “ulimwengu kivyake” na ulio na uthabiti fulani.".[129] Walihisi kuwa mwelekeo huu ulipuuza athari ya Ubepari, ukoloni, na uchumi wa kibepari wa ulimwengu kwa watu ambao Benedict na wafuasi walitafiti (na hii ilianzisha tena mjadala juu ya uhusiano ya ubia na utamaduni mahususi,kwa njia ya uhusiano baina ya ulimwengu na eneo la kienyeji). Ni wakati huo mabadiliko haya yaliathiri sana umuundo wa Kifaransa na kuwafanya wanaathropolojia wa Kimarekani kuukubali Umuundo-Uamilifu wa Kiingereza.

Faili:Tur-vrml.gif
Ukoo wa kuhamahama wa kituruki na michoro kama ndoa
Kijiji cha Mexico na michoro kama ndoa
Muundo wa ukoo wa iroqois
Pembetatu ya mfumo wa upishi

Mjadala wa pili umehusu uwezo wa kutoa madai ya kiubia kuhusu tamaduni zote. Ingawa Boas alidai kuwa wanaanthropolojia walikuwa hawajakusanya ushahidi wa kutosha kutoka sampuli mbalimbali za jamii madai ya kweli ya jumla au ya kiubia kuhusu utamaduni, lakini kufikia miaka ya 1940 wengine walihisi kuwa walikuwa tayari. Ingawa Kroeber na Benedict walikuwa wamedai kuwa “utamaduni”---ambao ungerejelea maeneo ya kienyeji.kikanda au maeneo yaliyopita kanda---ilikuwa kwa namna fulani imepangiliwa, sasa wanaanthropolojia wengine walihisi kulikuwa na data ya kutosha iliyokusanywa kuthibitisha kuwa utamaduni ulipangika katika miundo fulani. Swali ambalo hawa wanaanthropolojia hawa walijadili lilikuwa, je hizi zilikuwa tarakimu za miundo ya mabakikale au je yalikuwa maonyesho ya ruwaza za kiakili? Mjadala huu ulijitokeza zaidi mwaka wa 1948 kufuatia chapisho la George Murdock la Social Structure, na Claude Levi-Strauss Les Structures Elementaires de la Parente .


Akimpinga Boas, mwanaanthropolojia wa Yale George Murdock, ambaye alikusanya majalada ya maeneo ya mahusiano ya binadamu. Majalada haya yalisimbika tamaduni mbalimbali zinazopatikana katika jamii tofautitofuti hivyo wananthropolojia wanaweza kutumia njia za kitarakimu kutafiti uhusiano uliopo miongoni mwa mabadiliko hayo ya kitamaduni.[130][131][132] Lengo hatimaye la mradi huu lilikuwa kukuza habari jumlishi kuhusu ambazo zinahusu kuongezeka kwa tamaduni binafsi. Baadaye Murdock na Douglas R.White walibuni sampuli ya kistanda inayohusisha tamaduni mbalimbali kama njia ya kuboresha njia hii.


Anthropolojia umuundo ya mwanaanthropolojia wa kifaransa iliyaweka pamoja mawazo ya Boas (hasa imani ya Boas kuhusu kugawanyika kwa namna za utamaduni,na imani ya Bastian ya umoja wa kiakili wa binadamu) na mtazamo wa mwanasosholojia wa kifaransa Emile Durkheim juu ya miundo ya kijamii (mahusiano yaliyokubalika miongoni mwa watu na vikundi vya watu). Badala ya kutoa madai ya kijumla yaliyolenga idadi kubwa ya jamii, Levi-Strauss aliamua kuanzia mifano madhubuti kwa kuongeza ruwaza dhahania za hali ya binadamu. Njia yake huanza na kisio kuwa utamaduni hudhihirika kwa njia mbili tofauti:miundo mingi bainifu ambayo ingehitimishwa kutoka kwa kutazama wanajamii wa jamii moja wanavyoingiliana (na ambayo wanajamii hao wenyewe wanafahamu) na miundo dhahania iliyobuniwa kwa kuchanganua mienendo ya pamoja ya watu (kama vile visasili na miviga) wanajamii huwakilisha maisha yao ya kijamii (ambayo wanajamii hao hawafahamu na ambayo hupinga na hufutilia mbali miundo ya kijamii ambayo watu wanaifahamu). Na akatafuta kubuni muundo mmoja wa kiakili wa kiubia ambao ungehitimishwa kupitia kwa kulinganisha miundo Fulani ya kijamii na kitamaduni. Alidai ya kwamba kwa kuwa kuna sheria ambazo zinaweza kuwezesha kuweke pamoja idadi ndogo iliyodhahiri ya elementi za kikemikali ili kuunda vitu kadhaa ambavyo idadi yake haijulikani.Kuna idadi ndogo dhahiri ya elementi za kitamaduni ambazo watu wanaweza kutumia kuunda tamaduni nyingi ambazo wanaanthropolojia wameziangalia. Mlinganisho huu utamwezesha mwanaathropolojia kuunda jedwali la elementi za kitamaduni.Na baada ya jedwali hili kukamilika litamuwezesha mwanaanthropolojia kuchanganua tamaduni Fulani na kuibua ukweli ambao hata wenye tamaduni hizo hawakuwa wanafahamu.[133][134] Umuundo ulitawala anthropolojia ya kifaransa na katika miaka ya 1960 na 1970 iliathiri sana anthropolojia ya kimarekani na kiingereza.


Nadharia ya HRAF ya Murdock na ile ya umuundo ya Levi-Strauss zilitoa njia za kutafuta ubia katika utamaduni Fulani na mielekeo yote inaendelea kuwavutia wanaanthropolojia mbalimbali. Hata hivyo zinadhihirisha muvutano uliorithiwa baina ya Taylor na Bastian. Je utamaduni unaweza kupatikana katika tabia ambazo zinachunguzwa kisayansi ambazo zinaweza kuunda msingi wa ujumlishaji? Au huhusisha mchakato wa kiubia wa kiakili ambao lazima uhitimishwe kiakili kutokana tabia zilizochunguzwa? Swali hili limezua mijadala miongoni mwa wanaanthropolojia wa kibayolojia na vilevile wanaakiolojia.


Changamoto za umuundo-uamilifu:Jamii ikilinganishwa na utamaduni

Katika miaka ya 1940 uelewaji wa utamaduni wa Boas ulipingwa na nadharia mpya ya utafiti wa kianthropolojia na sayansi jamii iitwayo Umuundo-uamilifu. Nadharia hii ilikua kivyake lakini sambamba Uingereza na Marekani( na katika mifano yote ni sui generic :haina uhusiano wowote na “umuundo”isipokuwa umuundo wa kifaransa na umuundo-uamilifu wa kiingereza na kimarekani zote hizi ziliathiriwa na Durkheim. Zinafanana ingawa hazihusiani na aina nyingine za “umuundo"). Ingawa Boas alichukulia anthropolojia kama sayansi ya kimaumbile inayojikita kwa utafiti wa binadamu,wanamuundo-uamilifu wanachukulia anthropolojia kama mojawapo ya sayansi jamii ambazo zimejikita katika utafiti wa sura moja Fulani ya binadamu. Hii ilipelekea wanamuundo-uamilifu kufafanua tena na kupunguza upeo wa “utamaduni."


Nchini Uingereza kubuniwa kwa umuundo-uamilifu kulitazamiwa na Raymond Firth(1901-2002) katika kazi yake ya We the Tikopia, iliyochapishwa mwaka wa 1936 na kutambuliwa na chapisho la African Political Systems , lililoharirwa na Meyer Fortes (1906-1983) na E.E.Evans-Pritchard (1902-1973) na mnamo mwaka wa 1940.[135][136] Katika kazi hizi wanaanthropolojia walipendekeza mawazo yaliyojumlishwa ya baba mwanzilishi wao,Bronislaw Malinowski (1884-1942) na mpinzani wake,A.R.Radcliffe-Brown(1881-1955). Wote hawa,Malinowski na Radcliffe-Brown walichukulia anthropolojia-kama wanavyoita anthropolojia ya kijamii—kama tawi la sosholojia linalotafiti zile jamii shenzi. .Kulingana na nadharia ya Malinowsky ya uamilifu,binadamu wote wana mahitaji Fulani ya kibayolojia,kama vile mahitaji ya chakula na makazi na mahitaji ya kuzaana. Kila jamii hubuni asasi zake ambazo huwa na uamilifu wa kutekeleza mahitaji haya. Ili asasi hizi ziweze kufanya kazi ipasavyo ni muhimu kwa watu kuchukua majukumu Fulani ya kijamii ambayo hudhibiti namna wanavyotenda na kuingiliana. Ingawa wanajamii wa jamii Fulani huenda hawataelewa uamilifu wa majukumu yao na asasi zao,mwanaethnografia anaweza ruwaza ya uamilifu huu kupitia kwa uchunguzi wa makini wa maisha ya kijamii.[137] Radcliffe-Brown alikataa dhana ya Malinowski ya uamilifu na aliamini kuwa nadharia ya jumla ya maisha ya kishenzi ya kijamii yanaweza kujengeka kupitia kwa ulinganishi wa makini wa jamii tofautitofauti. Akiwa ameathiriwa na kazi ya mwanasosholojia wa kifaransa Emile Durkheim (1858-1917),ambaye alidai kuwa jamii shenzi na za kisasa zinatofautishwa na miundo bainifu ya kijamii,Radlicliffe-Brown kwa upande mwingine alidai kuwa wanaanthropolojia kwanza watafute miundo ya kijamii ya jamii yeyote ile kabla ya kulinganisha jamii tofautitofauti.[138] Firth,Fortes na Evans-Pritchard waliona ilikuwa rahisi kuweka pamoja mtazamo wa Malinowski wa majukumu ya kijamii na asasi pamoja na miundo ya kijamii ya Radcliffe-Brown. Walitofautisha baina ya` mpangilio wa kijamii’(mitagusano ya kijamii inayoonekana) pamoja na` muundo wa kijamii’(mienendo ya mpangilio wa kijamii inayoendeshwa na sheria Fulani.) na wakahamisha mtazamo wao kutoka kwa uamilifu wa kibayolojia hadi kwa uamilifu wa kijamii(kwa mfano ,namna asasi tofautitofauti zilivyowekwa pamoja kiuamilifu na kwa kiwango kipi asasi hizi zinavyofanya kazi ili kuleta umoja wa kijamii na uthabiti. Kwa ufupi badala ya utamaduni (inavyoeleweka kama matukio yasiyo ya kijenetiki ya jamii) waliunda “ujamaa”(mtagusano na mahusiano miongono mwa watu au makundi ya watu) kama lengo lao kuu la utafiti. (Hakika Radcliffe-Brown aliandika wakati mmoja “ningependa kutangaza mwiko kwa neno utamaduni.") [139][140]


Wakati huohuo ,mnamo mwaka wa 1946 mwanasosholojia Talcott Parsons(1902-1979) alianzisha idara ya mahusiano ya kijamii katika chuo kikuu cha Harvard. Akiwa ameathiriwa na wanasosholojia wa Ulaya kama Emile Durkheim,na Marx Weber,Parsons alibuni nadharia ya vitendo vya kijamii ambayo ilikaribiana sana na nadharia ya anthropolojia ya kijamii ya Uingereza kuliko Anthropolojia ya Kimarekani ya Boas na ambayo aliita “umuundo-uamilifu." Lengo la Parson lilikuwa kubuni nadharia jumlishi ya vitendo vya kijamii( kwa nini watu hutenda wanavyotenda na kuunda katika chuo kikuu cha Harvard programu inayohusisha masomo mbalimbali na ambayo ingeelekeza utafiti wa moja kwa moja kwa mujibu wa nadharia. Hii ruwaza ilielezea vitendo vya kibinadamu kwa sababu ya mifumo mine:

  1. "mfumo wa kitabia" wa mahitaji ya kibayolojia
  2. "mfumo wa kinafsi" wa sifa za mtu ambazo huathiri utendakazi wao katika ulimwengu wa kijamii
  3. "mfumo wa kijamii" wa tabia za mitagusano ya kijamii,hasa hadhi ya kijamii na jukumu
  4. "mfumo wa kitamaduni" wa tabia na maadili ambayo huendesha vitendo vya kijamii kiishara


Kulingana na nadharia hii,mfumo wa pili ndiyo ulioangaziwa zaidi na wanasaikolojia;mfumo wa tatu uliangaziwa na wanasosholojia na mfumo wa nne uliangaziwa na wanaanthropolojia wa kitamaduni.[141][142] Ingawa Boas alichukulia kuwa mifumo hii yote ililengwa kutafitiwa na wanaathropolojia na nafsi,hadhi na tabia na maadili,Parson alioona kama dhima finyu kwa anthropolojia na ufafanuzi finyu wa utamaduni.


Ingawa wafuasi wa Boas wa anthropolojia ya kitamaduni walivutiwa sana na tabia na maadili miongoni mwa mambo mengine,ni pale ambapo kuzuka kwa umuundo uamilifu watu walianza kuhusisha utamaduni "na tabia na maadili." Wanaanthropolojia wa kimarekani walikataa mtazamo huu wa utamaduni( na kwa kiwango Fulani anthropolojia). Mnamo mwaka wa 1980.mwanaathropolojia Eric Wolfe aliandika,

Vile sayansi jamii zilivyojibadilisha na kuwa sayansi ya tabia,maelezo kuhusu tabia yakasita kuhusishwa na utamaduni:tabia ingeeleweka katika muktadha wa matukio ya kisaikolojia,njia za uteuzi wa kiuchumi,kushindania ushindi katika kinyang’anyiro cha madaraka. Utamaduni wakati Fulani ulihusisha vitendo na mawazo yaliyotumiwa katika maisha ya kijamii lakini sasa ulitumiwa tu kurejelea "mwonouliwengu" au "maadili."[143]

Hata hivyo wanafunzi kadhaa wa Talcott Parsons waliibuka na kuwa wanaanthropolojia maarufu wa kimarekani. Wakati huo wanaanthropolojia wengi wa kimarekani waliheshimu sana utafiti uliofanywa na wanaanthropolojia wa kijamii baina ya miaka ya 1940 na 1950 na walipata kuwa umuundo-uamilifu ulikuwa ruwaza muhimu kwa utafiti wa kiethnografia.


Muungano wa mbinu za utafiti za nadharia za anthropolojia ya kitamaduni ya kimarekani na anthropolojia ya kijamii ya Uingereza umesababisha sintofahamu baina ya dhana za "jamii" na "utamaduni." Kwa mujibu wa wanaanthropolojia wengi dhana hizi ni bainifu. Jamii hurejelea kikundi cha watu;jamii hurejelea uwezo mkubwa wa kinadamu na ujumla wa matukio ya kijenetiki yasiyo ya kibinadamu. Jamii kwa kawaida huwa na mshikamano;tabia za kitamaduni huwa tamba na mipaka ya kitamaduni jinsi ilivyo huvuja na hujitokeza kwa wingi.[144] Katika miaka ya 1950-1960 wanaanthropolojia mara nyingi walifanya kazi mahali mipaka ya kijamii na kitamaduni ilitokea kwa sadfa hivyo kuficha mbainisho. Wakati mapengo baina ya mipaka hii yalipokuwa dhahiri,kwa mfano wakati wa vita dhidi ya ukoloni wa ulaya barani Afrika miaka ya 1960 na 1970 au wakati wa utandawazi na muungano wa asasi za Bretton Woods.Hata hivyo,tofauti huwa msingi wa mijadala ya kianthropolojia.[145][146][147][148][149]


1946-1968:ishara ikilinganishwa na kurekebu
Ukoo wa Kimarekani
Vita vya majogoo nchini India
Huli Wigman kutoka milima ya kusini
Faili:CowHA.jpg
Katika utamaduni wa kihindi ng’ombe ni ishara ya utajiri,uguvu na kujitolea kutoa.
Jinsi Cleverly anavyomuonyesha Kapteni Cook
Vietcong,wanajeshi wanapigwa picha wakiwa na bunduki aina ya AK

Wanafunzi wa Parson Clifford Geertz na David M.Schneider na mwanafunzi wa Schneider Roy Wagner walijitokeza kama wanaathropolojia maarufu na wakaanzisha shule ndani ya anthropolojia ya kitamaduni Kimarekani iliyoitwa “anthropolojia ya kiishara”,uchunguzi wa uundaji wa kijamii na athari za kijamii za ishara.[150][151][152][153] Kwa kuwa anthropolojia ya ishara ilichangia sana katika uchunguzi wa wanaanthrpolojia wa kijamii kuhusu maisha ya kijamii na miundo ya kijamii,wanamindo-uamilifu wengi wa kiingereza(ambao walipinga au hawakuwa na haja na anthropolojia ya kitamaduni ya Boas) walikubali ufafanuzi wa Parson wa “utamaduni” na “anthropolojia ya kitamaduni." Mwanaanthropolojia wa kiingereza Victor Turner(ambaye baadaye alihama kutoka Uingereza hadi Marekani kwa minajili ya kufundisha) alikuwa kiungo/daraja muhimu baina ya anthropolojia ishara ya Marekani na Uingereza.[154]


Makini kwa ishara, maana ambayo ilitegemea sana mikitadha ya kihistoria na kijamii,ilianza kuwavutia sana wakereketwa wa Boas. [[]]Leslie White aliuliza kuhusu vitu vya kitamaduni, “ ni vitu vya aina gain hivi? ni vitu halisi? ni vitu vya kiakili? Vyote kwa pamoja? Stiari? Ishara? ni dhahania-halisi? " Katika Science of Culture (1949), alihitimisha kuwa ni vitu/vifaa “sui generic”;yaani vya aina yake. Katika kufafanua aina hiyo alijigonga kwa hali ambayo haikuwa imegunduliwa hapo awali ambayo aliita “symbolate”—kitu kilichoundwa kutokana na kitendo cha ishara. Kwa hivyo alifafanua utamaduni kama symbolates ambazo zinaweza kueleweka katika muktadha wa mwili na wala siyo akili."[155]


Hata hivyo kufikia miaka ya 1930 White alianza kutupilia mbali mwelekeo wa Boas.[156] Aliandika,

Ili kuishi binadamu,kama zilivyo spishi zingine lazima wakabiliane ana kwa ana na ulimwengu wa nje.... binadamu hutumia viungo vyake vya fahiwa,neva,mifuko maalumu,na musuli katika kujiweka sawa katika ulimwengu wa nje. Mbali na haya ana njia nyingine ya kujiweka sawasawa na kujidhibiti.... njia ni utamaduni. [157]

Ingawa mawazo haya yanaunga mkono yale ya Malinowski.dhana kuu kwa White haikuwa “uamilifu” bali “urekebikaji." Ingawa wakereketwa wa Boas walijishughulisha sana na historia ya tabia Fulani,White alijishughulisha sana na historia ya kitamaduni ya spishi za binadamu,ambayo alihisi lazima itafitiwe kutokana na mtazamo wa ukuaji. Kwa hivyo jukumu la anthropolojia kwa hivyo ni kuchunguza siyo tu namna utamaduni unavyokuwa bali kwa nini vilevile.... na katika hali inayomhusu binadamu..uwezo wa kuvumbua na kugundua,uwezo wa kuteua na kutumia vizuri mojawapo ya vifaa,au njia za kufanya kitu-.haya ni mambo ya ukuaji wa utamaduni.[158] Tofauti na wanaukuaji wa karne ya 19 ambao walijikita na jinsi jamii zilizostaarabika zilivyovuka mipaka ya jamii shenzi,White alijishughulisha na kuandika namna baada ya mpito wa wakati,namna binadamu alivyogundua njia nyingi za kuunda nishati kutoka kwa mazingira kupitia kwa utamaduni,na wakati huo akabadilisha utamaduni.


Wakati huo White alikuwa akibuni nadharia yake ya ukuaji wa utamaduni,mwanafunzi wa Kroeber,Julian Steward alikuwa akibuni nadharia yake ya ekolojia ya utamaduni. Mnamo mwaka wa 1938 alichapisha Basin-Plateau Aboriginal Groups ambamo alielezea kuwa jamii tofautitofauti—kwa mfano wenyeji asilia wa Shoshone au wakulima weupe kwenye nyika kuu—hawakuwa wamekua zaidi au punguf;ila walikuwa wamerekebu katika mazigira tofauti.[159] Ingawa Leslie White alikuwa na haja ya utamaduni unavyoeleweka kijumla kama kama mali ya spishi za binadamu,Julian Steward kwa upande mwingine alikuwa na haja ya utamaduni kama mali ya jamii bainifu. Kama White yeye vilevile aliuona utamaduni kama njia ya kurekebu katika mazingira,lakini alishambulia nadharia ya White ya “unilineal”(ukuaji kwa hatua baada ya hatua).( upande mmoja) ya ukuaji wa utamaduni na badala yake akapendekeza ruwaza ya ukuaji wa pande nyingi ambamo(katika mtindo wa Boas) kila jamii ina historia yake ya utamaduni.[160]


Wakati Julian Steward alipoacha kazi ya kufundisha katika chuo kikuu cha Michigan ili kufanya kazi katika eneo la Utah mnamo mwaka wa 1930, Leslie White alichukua mahali pake; na mnamo mwaka wa 1946 Julian Steward alifanywa mwenyekiti wa idara ya anthropolojia ya chuo kikuu cha Columbia. Na katika miaka ya 1940 na 1950 wanafunzi wao hasa Marvin Harris,Sidney Mintz,Robert Murphy,Roy Rapport,Marshalls Sahlins,Elman Service,Andrew P.Vayda na Eric Wolf walitawala anthropolojia ya Marekani.[161][162][163][164][165][166][167][168][169] Wengi wao walikuza uelewaji wa utamaduni wa vifaa wakipinga mielekeo ya kiishara ya Geertz na Schneider. Harris,Rappart na Vayda walikuwa muhimu kwa michango yao kwa uyakinifu wa kitamaduni na anthropolojia ya kiekolojia,wote hawa walidai kuwa utamaduni ulihusisha njia za mwili(au zile ambazo si za kibayolojia) kupitia kwazo binadamu hujirekebu kwa maisha katika mazingira tofautitafauti halisi.


Mjadala baina ya mielekeo ya kiishara na vifaa kuhusu utamaduni ilitawala anthropolojia ya kimarekani miaka ya 1960 na 1970. Vita vya Vietnam na kuchapishwa kwa kazi ya Dell Hymes 'Reinventing Anthropology, ilionyesha hali ya kutoridhika kuhusu mielekeo iliyotawala kuhusu utamaduni. Hymes alielezea kuwa elementi za kimsingi katika mradi wa Boas kama vile ujumla na haja katika utofauti zingali muhimu kufuatiliwa: “ kujishughulisha na watu wengine na namna wanavyoendesha maisha yao na haja ya kuelezea katika misingi ya urejeleo unaohusu wetu."[170] Hata hivyo alielezea kuwa wanaanthropolojia wa kitamaduni wamejihami sawasawa kuongoza utafiti huu(wakiwashambulia wanasosholojia kama vile Parson ambao walitaka kuhusisha anthropolojia katika miradi yao):

Katika kutenda huwa kuna mahali pa asilia kwa uangavu kwa matukio katika njia ambazo hazijashughulikiwa na nadharia au muundo-umakini kwa matukio changamano,kwa matukio ya haja,kwa ajili yao,kwa hisia na vilevile kwa kiakili,vipengee vya somo. Hii mitazamo ya kiulinganishi na kiutendaji,ingawa siyo ya kipekee kwa anthropolojia rasmi,huwa hasa inaunganishwa hapo na inaweza kulemazwa ikiwa utafiti kuhusu binadamu ungeunganishwa chini ya uongozi wa wengine ambao kwa muda mrefu hawajatumia njia hizo za utafiti,ambao husahau matokeo ya maarifa ya kijamii katika kufafanua njia zake au bila kujua hawajishughulishi na utamaduni..[171]

Katika elementi hizi Hymes alitoa maelezo ambayo yanahalalisha “uchunguzi wa jumla wa binadamu".[172]


Wakati huu wanaanthropolojia watajika kama vile Mintz,Murphy,Sahlins na Wolf hatimaye walijitenga,wakifanya majaribio na mielekeo ya uasilia na umarx waliendelea kukuza anthropolojia ya kitamaduni badala ya umuundo uamilifu.[173][174][175][176][177]


1940—Hadi sasa.Utamaduni wa kienyeji ukilinganishwa na Kilimwengu
Mti Mkubwa,chifu wa kiowa na mpiganaji
Mlima wa Tepozteco unatawala maoni kutoka Tepoztlan.
Makao ya zamani ya watawa ya Dominico de la Nativada,mahali pa turathi za kilimwengu

Boas na Malinowski walianzisha utafiti wa kiethnografia kama njia ya hali ya juu ya kienyeji ya kuchunguza utamaduni. Licha ya haya Baos alisisitiza kuwa utamaduni hubadilikabadilika na kukua,ukitoka katika kundi moja la watu hadi jingine na aina nyingi za utamaduni ni sharti zichanganuliwe katika muktadha mpana. Hii imepelekea wanaanthropolojia kutumia njia nyingi katika kuelewa utamaduni wa kilimwengu.


Katika miaka ya 1940 na 1950,tafiti kadhaa muhimu zimelengwa kwenye namna biashara baina ya watu wenyeji asilia na wazungu kutoka ulaya ambao walikuwa wametawala Amerika na kuathiri utamaduni wa kienyeji kupitia kwa mabadiliko katika mipanglio ya kazi au kupitia kwa mabadiliko katika teknolojia muhimu. Bernard Mishkin alitafiti kuhusu athari ya kuanzishwa kwa farasi katika mpanglio wa kisiasa na vita wa Kiowa.[178] Oscar Lewis naye akachunguza athari ya biashara ya usufi kwa utamaduni wa blackfoot(akitegemea sana marejeleo ya kihistoria).[179] Joseph Jablow aliandika namna mpangilio wa kijamii na mbinu za kula za Cheyenne zinavyoamuliwa na nafasi yao katika mitandao ya biashara inayounganisha wazungu na wahindi kati ya mwaka wa 1795 na 1840.[180] [[Frank Secoy alielezea kuwa mpangilio wa kijamii na mbinu za kijeshi za wahindi wa Great Plains ulibadilika wakati farasi walioletwa na Wahispania kutoka kusini zilisambaa hadi kaskazini na bunduki zilizoletwa na Waingereza na Wafaransa kutoka mashariki,zilisambaa hadi magharibi.|Frank Secoy alielezea kuwa mpangilio wa kijamii na mbinu za kijeshi za wahindi wa Great Plains ulibadilika wakati farasi walioletwa na Wahispania kutoka kusini zilisambaa hadi kaskazini na bunduki zilizoletwa na Waingereza na Wafaransa kutoka mashariki,zilisambaa hadi magharibi.[181]]]


Mnamo miaka ya 1950 Robert Redfield na wanafunzi wa Julian Steward waliasisi “mfunzo ya kijumuia”,yaliyojikita katika uchunguzi wa jamii bainifu(hata kama zinatambuliwa na rangi yao,kabila au tabaka la kiuchumi) katika magharibi au katika jamii zilizo na athari ya kimagharibi,hasa miji. Walikabiliana na uhasama ambao wahakiki wa karne ya 19 walielezea wakitumia dhana “utamaduni wa juu” na “utamaduni wa chini." Hawa wanaanthropolojia wa karne ya 20 walijibidiisha kuwaelezea watu waliokuwa duni kisiasa na kiuchumi lakini siyo waliamini utamaduni duni. [[]]Oscar Lewis alipendekeza dhana ya “utamaduni wa umaskini” kuelezea njia za kitamaduni ambazo watu walitumia kujirekebu kwa maisha ya umaskini wa kiuchumi. Wanaanthropolojia na wanasosholojia wengine walianza kutumia dhana ya “utamaduni nusu” ili kuelezea jumuia bainifu kitamaduni ambazo zilikuwa sehemu ya jamii pana.


Mojawapo ya utamaduni nusu ni ule unaoundwa na jamii inayohama. Unapojihusisha na vikundi vya kuhama na tamaduni zao,kuna mielekeo kadhaa:

  • Leitkultur (kitovu cha utamaduni): ruwaza iliyobuniwa Ujerumani na Bassam Tibi. Wazo muhimu hapa ni kwamba jamii ndogo zinaweza kuwa na utambulisho wao,lakini lazima ziunge mkono angalau dhana kuu za utamaduni ambazo jamii inajengeka.
  • Jungu linalotokota: Nchini Marekani wazo la kitamaduni limekuwa lile la jungu kuu la tamaduni zote za watu wanaohamia nchini kuchanganyana na kuungana bila ya serikali kuingilia.
  • Utamaduni mmoja: Katika nchi Fulani za ulaya,utamaduni unahusishwa sana na utaifa.Sera ya serikali ni kusilimisha watu wanaohamia nchi hizo,hata hivyo kuongezeka hivi karibuni kwa watu wanaohamia nchi hizo kumeyafanya mataifa hayo kujaribu aina Fulani za wingi-utamaduni.
  • Wingi-utamaduni: Sera kwamba watu wanaohamia mataifa mengine na wengine wahifadhi utamaduni wao na tamaduni tofauti zikitagusana kwa amani katika taifa moja.


Namna mataifa huchukulia tamaduni za wahamiaji huangukia katika mojawapo ya mielekeo hii. Kiwango cha utofauti baina yake na utamaduni changizi(yaani ugeni),idadi ya wahamaji,mitazamo ya wakazi,aina za sera za serikali zinazobuniwa na utendakazi wa sera hizo hizi zote hufanya iwe vigumu kuweza kujumlisha kuhusu athari. Hali ni hiyo katika tamaduni nusu katika jamii,mitazamo ya umma mkubwa na mawasiliano baina ya vikundi mbalimbali vya kitamaduni huwa na dhima kubwa katika kuamua matokeo. Uchunguzi kuhusu utamaduni katika jamii huwa changamano na utafiti sharti uzingatie mambo mbalimbali.


Mafunzo ya Kitamaduni

Nchini Uingereza,wanasosholojia na wasomi wengine walioathiriwa na umarx,kama vile Stuart Hall na Raymond Williams walianzisha mafunzo ya kitamaduni. Wakifuata nyayo za Walimbwende wa karne ya kumi na tisa walihusisha utamaduni na matumizi ya bidhaa na mambo ya anasa( kama vile sanaa, muziki,filamu,chakula,michezo na mavazi). Hata hivyo walielewa mitindo ya kula na ya anasa inaamuliwa na mahusiano ya uzalishaji ambayo iliwafanya kuangazia zaidi mahusiano ya kitabaka na mpangilio wa uzalishaji.[182][183] Nchini Marekani mafunzo ya kitamaduni yaliangazia pakubwa juu ya uchunguzi wa utamaduni pendwa yaani maana ya kijamii ya uzalishaji kwa wingi wa bidhaa za matumizi na anasa. Dhana hii ilibuniwa na Richard Hggart mnamo mwaka wa 1964 alipoanzisha mjini Birmingham Kituo cha mafunzo ya kisasa ya kitamaduni.(Centre for Contemporary Cultural Studies/CCCS).Tokea hapo kituo hicho kimehusishwa sana na Stuart Hall ambaye alichukua mahali pa Hoggart kama mkurugenzi.


Kuanzia miaka ya 1970 kuendelea,kazi aliyoasisi Stuart Hall pamoja na wenzake Paul Wills,Dick Hebdige,Tony Jefferson na Angela McRobbie,waliunda muungano wa kiusomi wa kimataifa. Uwanja huu ulipokua kuungana mawanda mengine kama vile siasa ya kiuchumi,mawasiliano,sosholojia,nadharia ya kijamii,nadharia ya kifasihi,nadharia ya vyombo vya habari,mafunzo ya filamu/video,anthropolojia ya kitamaduni,falsafa,mafunzo ya makavazi, na sanaa ya historia ili kuchunguza matukio ya kitamaduni au matini za kitamaduni. Katika uwanja huu watafiti wanajikita juu ya namna tukio Fulani linavyohusiana na masuala ya itikadi, utaifa, ukabila, tabaka la kijamii, na/au jinsia.[onesha uthibitisho] Mafunzo ya kitamaduni yanahusisha maana na matendo ya kila siku ya maisha. Matendo haya yanahusisha namna watu wanavyofanya vitu Fulani( kama vile kutazama runinga, au kula) katika utamaduni Fulani. Uwanja huu huchunguza maana na matumizi watu huwekea vifaa na matendo Fulani. Hivi karibuni ,vile ubepari umeenea kote duniani(mchakato uitwao utandawazi),mafunzo ya kitamaduni yameanza kuchanganua njia za kienyeji na za kilimwengu za kupinga kutawaliwa na Magharibi.[onesha uthibitisho]


Katika muktadha wa mafunzo ya kitamaduni,wazo la matini halihusishi tu lugha iliyoandikwa bali huhusisha filamu,picha,fesheni, au mitindo ya nywele:matini za mafunzo ya kitamaduni hujumuisha sanaa-baki za maana za utamaduni.[onesha uthibitisho] Vilevile uwanja huu hupanua dhana ya "utamaduni". "Utamaduni" kwa mtafiti wa mafunzo ya kitamaduni hujumuisha utamaduni asilia wa juu( utamaduni wa makundi tawala ya jamii)[184] na utamaduni pendwa na maana na matendo ya kila siku. Mawili ya mwisho ndiyo yanayotiliwa maanani na mafunzo ya kitamaduni. Mwelekeo zaidi na sasa ni mafunzo ya utamaduni linganishi unaotokana na uwanja wa fasihi linganishi na mafunzo ya kitamaduni.[onesha uthibitisho]


Wasomi nchini Uingereza na Marekani walibuni aina tofauti za mafunzo ya kitamaduni baada ya kuasisiwa kwa taaluma hii miaka ya mwishoni mwa 1970. Aina ya mafunzo ya kitamaduni ya Uingereza yalianzishwa miaka ya 1950 na 1960 kutokana na athari ya kwanza Richard Hoggart,E.P.Thompson na Raymond Williams na baadaye Stuart Hall na wengineo katika kituo cha mafunzo ya kisasa ya utamaduni katika chuo kikuu cha Birmingham. Hii ilihusisha maoni ya kisiasa ya mrengu wa kushoto na shutuma dhidi ya utamaduni pendwa kuwa ulikuwa utamaduni wa umati wa kibepari..Ilijumuisha baadhi ya mawazo ya tahakiki ya Shule ya Frankfurt ya kiwanda cha utamaduni.(yaani utamaduni wa umati). Hii inajitokeza katika maandishi ya wasomi wa mwanzoni wa Uingereza wa mafunzo ya kitamaduni na athari zao:Tazama kazi za (kwa mfano) Raymond Williams,Stuart Hall,Paul Willis,na Paul Gilroy.


Nako nchini Marekani Lindlof na Taylor wanasema ya kwamba mafunzo ya kitamaduni yalikitwa katika utamaduni wa kiprigmatiki wa uliberali wa wingi".[185] Aina ya mafunzo ya utamaduni ya Marekani mwanzoni yalijihusisha zaidi na kuelewa namna hadhira ingechukulia matumizi ya utamaduni wa umati.Kwa mfano wakereketwa wa mafunzo ya utamaduni Marekani waliandika kuhusu vipengele vya kiliberali vya fandom.[onesha uthibitisho] Tofauti baina ya mitazamo ya Marekani na Uingereza sasa imefifia.[onesha uthibitisho] Watafiti wengine hasa katika mafunzo ya mwanzoni ya utamaduni Uingereza wanatumia ruwaza za kimarx katika taaluma hii. Huu mtindo wa kufikiria una athari kutoka kwa Shule ya Frankfurt,lakini athari kubwa inatoka kwa umarx muundo wa Louis Althusser na wengineo. Mkazo wa umarx asili ni juu ya maana ya uzalishaji . Ruwaza hii huchukua uzalishaji kwa wingi na hutambua uwezo/mamlaka huwa miongoni mwa wale wanaotoa sanaa baki. Katika mtazamo wa kimarx,wale wanaothibiti njia za uzalishaji (msingi wa uchumi) kimsingi ndiyo hutawala utamaduni.[onesha uthibitisho] Mielekeo mingine kuhusu mafunzo ya utamaduni kama vile mafunzo ya ufeministi ya utamaduni,na maendeleo ya kimarekani katika taaluma yanajitenga na wazo hili. Wanashutumu umarx kwa maana moja ya utamaduni ambayo inaaminiwa na wote. Mielekeo isiyo ya umarx inapendekeza njia mbalimbali za kushughulikia utamaduni wa sanaa-baki huathiri maana ya zao. Wazo hili linaelezewa vizuri katika kitabu Doing Cultural Studies: The case of Sony Walkman (na Paul du Gay na wengine),ambacho kinapinga wazo kwamba wale wanaozalisha bidhaa huthibiti maana ambazo watu huhusisha nazo. Mchanganuzi wa kifeministi wa utamaduni,mwananadharia na mwanahistoria wa sanaa Griselda Pollock alichangia katika mafunzo ya utamaduni akitumia mitazamo ya sanaa historia,saikolojiachanganuzi. Mwandishi Julia Kristeva ana ushawishi mkubwa akichangia kwa mafunzo ya kitamaduni kupitia taaluma za sanaa na saikolojiachanganuzi ya ufeministi wa kifaransa.[onesha uthibitisho]


Mabadiliko ya kitamaduni

Picha ya karne ya 19 inayoonyesha wakazi wa Australia wakipinga kuwasili kwa Kapteni James Cook mwaka 1770

Uvumbuzi wa utamaduni unaamanisha uvumbuzi wowote mpya na unaopatikana kuwa wa manufaa kwa kikundi cha watu na unaelezewa katika tabia zao lakini haupo kama kitu kinachoonekana. Watu wako katika ulimwengu unaoharakisha mabadiliko ya utamaduni kiwakati,wakisukumwa na kupanuka kwa biashara kimataifa,vyombo vya habari,na kuongezeka kwa idadi ya watu miongoni mwa mambo mengine.


Tamaduni zinaathiriwa na nguvu zinazoleta mabadiliko na zile zinazopinga mabadiliko. Nguvu hizi zina uhusiano na miundo ya kijamii na matukio halisi na zinajihusisha katika kuendeleza mawazo na matendo ya kitamaduni ndani ya miundo ya sasa ambayo nayo inabadilika[186]. (Tazama umuundo.)


Mizozo ya kijamii na maendeleo ya kiteknolojia yanaweza kusababisha mabadiliko katika jamii kwa kubadili mikikimikiki ya kijamii kwa kukuza ruwaza mpya za utamaduni kwa kuwezesha tukio zalishi. Hii mihamisho ya kijamii huweza kuandamana na mihamisho ya kiitkadi na aina nyingine za mabadiliko ya kitamaduni. Kwa mfano muungano wa kifeministi wa Kimarekani ulihusisha matendo mapya yaliyosababisha uhamisho katika mahusiano ya kijinsia,kubadilisha jinsia na miundo ya kiuchumi. Hali ya kimazingira inaweza kuchangia. Mabadiliko huhusisha kufuata nguli wa kienyeji katika filamu. Kwa mfano,misitu ya kitropika ilirejea tena mwishoni mwa enzi ya theluji.mimea iliyofaa kwa kufugwa ilikuwepo,ikasababisha kuvumbuliwa kwa kilimo,ambacho kilisababisha uvumbuzi wa kitamaduni na mihamisho ya mikikimikiki ya kijamii[187].

Picha kamili ya mwanamke wa Turkman,akisimama kwenye zulia katika mlango wa yurt,akiwa amevalia nguo za kitamaduni pamoja na virembesho

Tamaduni huathirika kutoka nje kupitia kwa mwingiliano baina ya jamii,ambazo pia zinaweza kutoa—au kuzuia---mihamisho ya kijamii na mabadiliko katika matendo ya kitamaduni. Vita au ushindani juu ya rasilimali unaweza kuathiri maendeleo ya kiteknolojia na mikikimikiki ya kijamii. Kuongezea,mawazo ya kitamaduni yanaweza kuhama kutoka jamii moja hadi nyingine kupitia kwa kuenea na kwa mabadiliko ya uigaji wa utamaduni Fulani. Katika kuenea hali ya kitu(siyo lazima maana yake) hutoka utamaduni mmoja hadi mwingine. Kwa mfano,hamburgers ambazo ni za kawaida Marekani,zilionekana kuwa ngeni zilipoanzishwa Uchina. "Kuenea kunakoacha athari” (kubadilishana mawazo) hurejelea elementi za utamaduni mmoja kusababisha kuwepo kwa uvumbuzi au kusambazwa.kwa mwingine. "Ukopaji wa moja kwa moja” kwa upande mwingine hurejelea kuenea kwa kiteknolojia au kuenea kunakoonekana kutoka utamaduni mmoja hadi mwingine. [[]]Nadharia ya kuenea kwa uvumbuzi huwasilisha ruwaza ya utafiti ya kwa nini na lini watu na tamaduni huasilisha mawazo mapya,matendo na bidhaa.


Kuiga utamaduni Fulani kuna maana tofauti lakini katika muktadha huu hurejelea kubadilishwa kwa tabia Fulani za utamaduni na utamaduni mwingine.Haya yamefanyika kwa makabila fulani ya Amerika na kwa makundi asilia ya watu kote ulimwenguni enzi za ukoloni. Michakato ya karibu kwa kiwango cha binadamu inahusisha usilimisho(binadamu kuasilisha utamaduni Fulani) na kuwa na tamaduni nyingi.

Tazama vilevile

[[Portal:{{{1}}}|{{{1}}} portal]]
Makala kuu: Outline of culture


Tanbihi

  1. Harper, Douglas (2001). Online Etymology Dictionary
  2. Kroeber, AL na C. Kluckhohn, 1952. Utamaduni: A Critical Review wa Concepts na Definitions.
  3. 3.0 3.1 Arnold, Mathayo. 1869. Utamaduni na Anarchy.
  4. Williams (1983), p.90. Cited katika Shuker, Roy (1994). Kuelewa Popular Music, p.5. ISBN 0-415-10723-7. anasema kwamba kisasa fasili ya utamaduni kuanguka katika uwezekano tatu au mchanganyiko wa tatu zifuatazo:
    • "mchakato jumla ya kiakili, kiroho, na estetiska maendeleo"
    • "njia fulani ya maisha, kama ya watu, muda, au kundi"
    • "matendo na mazoea ya kitaaluma na hasa shughuli kisanaa".
  5. Bakhtin 1981, p.4
  6. McClenon, p.528-529
  7. Immanuel Kant 1974 "Kujibu Swali: Ni nini Kutaalamika?" (Kijerumani: "Beantwortung der Frage: Was ist Aufklärung?") Berlinische Monatsschrift, Desemba (Berlin Monthly)
  8. Michael Eldridge, "The Kijerumani Bildung Mapokeo" UNC Charlotte
  9. "Adolf Bastian", Sayansi Leo katika Historia; "Adolf Bastian", Encyclopaedia Britannica
  10. Robert Yerkes 1943 Chimpanzees: A Laboratory Colony. New Haven: Yale University Press. 51-52, 189, 193
  11. Jane Goodall 1963 "My Life Miongoni Wild Chimpanzees" National Geographic 124: 308
  12. RJ Andrew 1963 "Comment on The Essential Morphological Msingi ya Binadamu Utamaduni" Alan Bryan Hali Anthropology 4: 301-303, uk 301
  13. Alan Bryan 1963 "The Essential msingi Morphological Binadamu Utamaduni" Hali Anthropology 4: 297
  14. Keleman 1963 "Comment on The Essential Morphological Msingi ya Binadamu Utamaduni" Alan Bryan Hali Anthropology 4: 301-303 p.304
  15. WC McGrew 1998 "Utamaduni katika nonhuman Primates?" Annual Review of Anthropology 27: 301-328
  16. 16.0 16.1 WC McGrew 1998 "Utamaduni katika Nonhuman Primates?" Annual Review of Anthropology 27: 323
  17. WC McGrew 1998 "Utamaduni katika Nonhuman Primates?" Annual Review of Anthropology 27: 305
  18. CF Voegelin 1951 "Utamaduni, Lugha na viumbe Binadamu" Journal of Anthropology kusini magharibi mwa 7: 370
  19. 19.0 19.1 Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 511
  20. M. Mfalme na A Wilson 1975 "Evolution katika ngazi mbili: katika wanadamu na chimpanzees" Sayansi ya 188: 107-116
  21. Stringer na Afrika McKiew 1996 Kutoka: Asili ya Ubinadamu ya kisasa. London: Cape
  22. 22.0 22.1 Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 510
  23. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 512
  24. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 520
  25. 25.0 25.1 Michael Tomasello 1990 "Utamaduni Transmission katika Matumizi na Communicatory Tool Signaling ya Chimpanzees?" katika "lugha" na Intelligence katika Monkeys na Apes: Comparative Developmental utsikter ed. S. Parker, K. Bibson. Cambridge: Cambridge University Press, uk. 274-311
  26. Michael Tmoasello 1996 "Je Apes Hominidi?" katika Social Kujifunza katika Wanyama: The Roots ya Utamaduni ed. C. Heyes na B. Galef. New York: Academic Press, uk. 319-346
  27. 27.0 27.1 Nagell, K., Olguin K. na Tomasello M. 1993 "michakato ya kijamii katika chombo kujifunza matumizi ya chimpanzees (Pan troglodytes) na binadamu watoto (homo sapiens)" katika Journal of Comparative Psychology 107: 174-186
  28. S. Kawamura 1959 "Utaratibu wa subcultural propogation kati Kijapani macaques" Primates 2: 43-60
  29. 29.0 29.1 M. Kawai 1965 "Newly-unaopatikana kabla behairo utamaduni wa asili wa troop Kijapani monkeys tarehe Koshima Islet Primates 6: 1-30
  30. E. Visalberghi na DM Fragaszy 1990 "Chakula kuosha tabia tufted Capuchin monkeys, Cebusapella, na crabeating macaques, Macaca fasciculais" Animal Behavior 40: 829-836
  31. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 519
  32. Michael Tomasello 1996 "Je Apes Hominidi?" katika Social Kujifunza katika Wanyama: The Roots ya Utamaduni ed. C. Heyes na B. Galef. New York: Academic Press. uk: 319-346
  33. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 512
  34. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 513
  35. R. Bakerman na Yale Adamson 1984 "Kuratibu makini na watu na vitu katika mama-watoto wachanga na watoto wachanga peer mwingiliano" katika Maendeleo ya Watoto 55: 1278-1289
  36. C. Moore na P. Dunham 1995 Pamoja Attention: Its Chimbuko na Majukumu katika Maendeleo. Hillsdale, NJ: Erlbaum Press.
  37. M. Tomasello 1995 "Pamoja makini kama cognition kijamii" katika Pamoja Attention: Its Chimbuko na Majukumu katika Maendeleo, ed. C. Moore na P. Dunham. Hillsdale NJ: Erlbaum Press, uk. 103-130
  38. WC Meltzoff 1988 "Infant kuiga baada ya wiki moja kuchelewa: kumbukumbu ya muda mrefu kwa vitendo na riwaya nyingi uchochezi" katika Developmental Psychology 24: 470-476
  39. M. Seremala, N. Akhtar, M. Tomasello 1998 "umri wa miezi kumi na sita wachanga differentially avsiktliga na ajali kuiga matendo" katika Infant Maendeleo kitabia 21: 315-330
  40. A. Meltzoff 1995 "Kuelewa nia ya wengine: re-enactment ya lengo vitendo kwa 18-month-old watoto" katika Developmental Psychology 31: 838-850
  41. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 514
  42. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 515
  43. Tomasello, M., Kruger, A. & Ratner, H. 1993 "Utamaduni wa kujifunza" Behavioral na Brain Sciences 16, 495-552
  44. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 516
  45. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 520-521
  46. Brown 1999
  47. M. Tomasello na M. Barton 1994 "Learning Maneno katika mazingira yasiyo Ostensive" Developmental Psychology 30: 639-650
  48. N. Akhtar na M. Tomasello 1996 "Twenty-nne umri huu watoto kujifunza vitu absent maneno na matendo" katika British Journal of Developmental Psychology 14: 79-93
  49. M. Tomasello R. Strosberg, N. Akhtar 1996 "umri wa miezi kumi na nane watoto kujifunza maneno katika mazingira yasiyo ostensive" katika Journal of Mtoto Lugha 23: 157-176
  50. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 516
  51. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 395
  52. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 396
  53. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 400
  54. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 401.
  55. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 399.
  56. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 395.
  57. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 399.
  58. CF Hockett na R. Ascher 1964 "The Human Mapinduzi" katika Hali Anthropology 4: 135-168.
  59. Michael Tomasello 1999 "The Human Anpassning kwa Utamaduni" katika Annual Review of Anthropology ujazo. 28: 517.
  60. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 401
  61. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 402
  62. Ralph Yale Holloway Jr 1969 "Utamaduni: A Binadamu domain" katika Hali Anthropology 10 (4): 406.
  63. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 322
  64. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 344
  65. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 340
  66. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 347
  67. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, uk. 384-385
  68. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 386.
  69. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, uk. 386-387
  70. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, s. 388
  71. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, uk. 396-397
  72. Terrence Shemasi 1997 ishara Spishi: The Coevolution wa lugha na Brain New York na London: WW Norton, uk. 397-401
  73. V. Gordon Childe 1929 The Danube katika Prehistory Oxford: Clarendon Press
  74. By R. Lee Lyman na Michael J. O'Brien, 2003 WC McKern na Midwestern Taxonomic Method. University of Alabama Press, Tuscaloosa
  75. Colin Renfrew na Paulo Bahn, 2008 Archeology: nadharia, mbinu na Mazoezi toleo Tano. New York: Thames na Hudson. s. 470
  76. Walter Taylor 1948 Masomo ya Archeology A Memoir 69, American Anthropological Association, reprinted, Carbondale Il: Southern Illinois University Press, 1967. s. 96
  77. Walter Taylor 1948 Masomo ya Archeology A Memoir 69, American Anthropological Association, reprinted, Carbondale Il: Southern Illinois University Press, 1967. s. 100
  78. Patty Jo Watson 1995 "Archeology, Anthropology, na Utamaduni Dhana" katika American mwanaanthropolojia 97 (4) p.685
  79. Robert Dunnel 1986 "Waliofariki watano wa Marekani Archeology" katika kipindi Archeology Marekani na Future: A Sherehe za Archeology Society kwa Marekani, 1935-1985. D. Meltzer na J. Sabloff, eds. Washington DC: Smithsonian Institution Press. p.36
  80. Lewish Binford 1962 "Archeology kama Anthropology" katika zamani wa Marekani 28 (2): 218; se White 1959 The Evolution ya Utamaduni New York: McGraw Hill p. 8
  81. Lewish Binford 1962 "Archeology kama Anthropology" katika zamani wa Marekani 28 (2): 218; se Steward 1955 Nadharia ya Utamaduni Change. Chuo Kikuu cha Illinois Press, Urbana.
  82. Patty Jo Watson 1995 "Archeology, Anthropology, na Utamaduni Dhana" katika American mwanaanthropolojia 97 (4) p.684
  83. Patty Jo Watson 1995 "Archeology, Anthropology, na Utamaduni Dhana" katika American mwanaanthropolojia 97 (4) uk. 687-6874
  84. Ian Hodder 1982 Symbols katika hatua: ethnoarchaeological masomo ya utamaduni nyenzo Cambridge: Cambridge University Press
  85. Ian Hodder 1986 Masomo ya zamani: sasa njia ufafanuzi katika Akiolojia Cambridge: Cambridge University Press
  86. Baepler, Paulo. 2003. "White watumwa, African mabwana." Ya Annals wa American Academy ya Sayansi ya Siasa na 588 (1): 90-111. s. 91
  87. ilivyonukuliwa katika Anderson, Benedict RO'G. 1983. Imagined Communities: Reflections juu ya Asili na kuenea kwa Nationalism. London: Verso.
  88. Sapir 1921:228
  89. Sapir 1995: 59
  90. eg Von Humbolt, Wilhelm. 1820. Über das vergleichende Sprachstudium katika Beziehung auf die verschiedenen Epochen der Sprachentwicklung.
  91. eg Whorf, Benjamin Lee. 1941. "Uhusiano wa habitual mawazo na tabia na lugha." Katika Lugha, Utamaduni, na Nafsi: Essays katika Heshima ya Edward Sapir. Menasha, WI: Publication Sapir Memorial Fund.
  92. Whorf, Benjamin Lee. 1941. "Uhusiano wa habitual mawazo na tabia na lugha." Katika Lugha, Utamaduni, na Nafsi: Essays katika Heshima ya Edward Sapir. Menasha, WI: Publication Sapir Memorial Fund. s. 293. Angalia pia, mfano Boas, Franz. 1911. "Utangulizi." Handbook wa American Indian Languages. Washington: Smithsonian Institution, Ofisi ya Ethnology Marekani.
  93. (Duranti 1997: 49) (Mannheim & Tedlock 1995: 2)
  94. Clancy, Patricia. (1986) "Upataji wa kuwasiliana kwa mtindo wa Kijapani." Katika B. Schieffelin na E. Ochs (eds) Lugha Socialization hela Cultures. Cambridge: Cambridge University Press.
  95. 95.0 95.1 Foley 1997 p??
  96. Wanaume na Wanawake's Speech katika Koasati, Mary R. Haas, Lugha, Vol. 20, No 3 (Julai-Septemba, 1944), uk. 142-149 (pia sumamrized katika Foley 1997)
  97. Tylor, EB 1874. Primitive utamaduni: tafiti katika maendeleo ya Mythology, falsafa, dini, sanaa na desturi.
  98. AL Kroeber 1917 "The Superorganic" American mwanaanthropolojia, Mpya Series, Vol. 19, No 2 uk. 163-213.
  99. Gerald Weiss 1973 "A kisayansi Dhana ya Utamaduni" katika American mwanaanthropolojia 75 (5): 1382
  100. Franz Boas 1940 [1920] "mbinu ya Ethnology", katika Race, Lugha na Utamaduni ed. George Stocking. Chicago: University of Chicago Press, 284.
  101. Franz Boas 1940 [1932] "Anthropological malengo ya Utafiti", katika Race, Lugha na Utamaduni ed. George Stocking. Chicago: University of Chicago Press. 253
  102. Kroeber, Alfred L., 1948, Anthropology: Race, Lugha, Utamaduni, Psychology, Prehistory revised edition. New York: Harcourt, Brace, na World, Inc s. 261
  103. Franz Boas 1907 "Anthropology" katika A Franz Boas Reader: The Kuumba wa Marekani Anthropology 1883-1911 ed. George Stocking Jr 267-382
  104. Boas, Franz 1920 "The Utaratibu wa Ethnology" katika Race, Lugha, na Utamaduni. ed. George Stocking Jr 1940 Chicago: The University of Chicago Press. uk. 281-289
  105. Boas, Franz 1909 "decorative Designs katika Alaskan Needlecases: A Study katika historia ya Conversational Materials miundo msingi katika Marekani National Museum" katika Race, Lugha, na Utamaduni. ed. George Stocking Jr 1940 Chicago: The University of Chicago Press. uk. 564-592
  106. Wissler, Clark (ed.) (1975) Vyama Plains Wahindi wa AMS Press, New York, ISBN 0-404-11918-2, v. kikachapishwa ya 11 ya majarida ya Anthropological American Museum of Natural History, iliyochapishwa i 13 pts. 1912-1916.
  107. Kroeber, Alfred L. (1939) Utamaduni na Michezo Maeneo ya Amerika ya Kaskazini Native University of California Press, Berkeley, CA.
  108. Dyk, Walter 1938 Left mitupu, Mwana wa Old Man Hat, kwa Walter Dyk. Lincoln: The University of Nebraska Press.
  109. Lewis, 1961 Oscar Sanchez The Watoto wa. New York: Vintage Books.
  110. Lewis, Oscar 1964 Pedro Martinez. New York: Random House.
  111. Mintz, Sidney 1960 Worker katika Cane: A Puerto Rican Historia. Yale Caribbean Series, Vol. 2. New Haven: Yale University Press.
  112. Radin, Paulo 1913 "Personal Reminiscences ya Winnebago Indian," katika Journal of American Folklore 26: 293-318
  113. Radin, Paulo 1963 The Autobiography ya Winnebago India. New York: Dover Publications
  114. Sapir, Edward 1922 "Sayach'apis, en Nootka Trader" katika Elsie Clews Parsons, American Indian Life. New York: BW Huebesh.
  115. Simmons, Leo, ed. 1942 Sun Chief: The Autobiography ya Hopi India. New Haven: Yale University Press.
  116. Benedikto, Ruth. Mifumo ya Utamaduni. New York: Houghton Mifflin, 1934.
  117. Benedikto, Ruth. The Chrysanthemum na Upanga: mifumo ya Kijapani Utamaduni. Rutland, VT na Tokyo, Ujapani: Charles E. Tuttle Co 1954 orig. 1946.
  118. Margaret Mead 1928 Coming ya Age katika Samoa
  119. Ruth Benedikto 1959 [1934] mifumo ya Utamaduni. Boston: Houghton Mifflin Company. 46-47
  120. Franz Boas 1940 [1932] "Anthropological malengo ya Utafiti," katika Race, Lugha na Utamaduni ed. George Stocking. Chicago: University of Chicago Press. 256
  121. Bashkow, Ira 2004 "A Neo-Boasian Nyimbo ya Utamaduni Mipaka" American mwanaanthropolojia 106 (3): 446
  122. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 48
  123. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 49
  124. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 52
  125. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni s. 47
  126. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni uk. 23-24
  127. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni p.46
  128. 128.0 128.1 Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni p.277
  129. Ruth Benedikto 1934 mifumo ya Utamaduni Boston: Houghton Miflin Kampuni p.271
  130. Murdock, George, 1949 Social Structure New York: Kampuni ya Macmillan
  131. Murdock, GP 1967. Ethnographic Atlas: A Summary. Pittsburgh: The University of Pittsburgh Press
  132. Murdock, GP 1981. Atlas of World Cultures. Pittsburgh: The University of Pittsburgh Press.
  133. Lawi-Strauss, Claude 1955 Tristes Tropiques Atheneum press
  134. Lawi-Strauss, Claude Mythologiques I-IV (trans. Yohana Weightman na Doreen Weightman); Le Cru et le cuit (1964), The Raw na kupikwa (1969); Du miel aux cendres (1966), Kutoka Honey kuwa jivu (1973); L'tillhörighet des manières de meza (1968 ) Mwanzo wa Jedwali Manners 1978); 'L'Homme nu (1971) The Naked Man (1981)
  135. Raymond Firth 1936 Sisi Tikopia: A Sociological Masomo ya ujamaa katika primitive Polynesia London Allen na Unwin
  136. Meyer Fortes na EE Evans Pritchard 1940. Mifumo ya kisiasa ya Afrika. London na New York: International African Institute.
  137. Bronislaw Malinowski 1944 The kisayansi Nadharia ya Utamaduni
  138. AR Radcliffe-Brown 1952 Muundo na Kazi katika primitive Society
  139. a.R. Radcliffe-Brown 1957 A Mtindo Sayansi ya Society Glencoe: The Free Press s. 53
  140. a.R. Radcliffe-Brown 1957 A Mtindo Sayansi ya Society Glencoe: The Free Press s. 53
  141. Talcott Parsons 1937, Mfumo wa Social Action
  142. Talcott Parsons 1951, The Social System
  143. Eric Wolf 1980 "Wao Gawanya na Subdivide na Call it Anthropology." The New York Times Novemba 30: E9.
  144. Ira Bashkow, 2004 "A Neo-Boasian Nyimbo ya Utamaduni Mipaka," American mwanaanthropolojia 106 (3) :445-446
  145. Appadurai, 1986 Arjun Maisha ya Kijamii ya mambo. (Edited) New York: Cambridge University Press.
  146. Appadurai, Arjun, 1996 Modernity saa kubwa: Utamaduni dimensions wa utandawazi. Minneapolis: University of Minnesota Press.
  147. Gupta, Akhil, na James Ferguson, 1992, "Beyond 'Culture': Space, Identity, na Siasa ya Difference," Cultural Anthropology 7 (1): 6-23
  148. Marcus, George E. 1995 "Ethnography katika / System ya Dunia: kuibuka wa Multi-Sited Ethnography." Katika Mwaka Review of Anthropology 24: 95-117
  149. Wolf, Eric 1982 Ulaya na watu bila historia. Berkeley: University of California Press.
  150. Clifford Geertz 1973 The Interpretaion ya Cultures New York: Basic Books
  151. Daudi Schneider 1968 American ujamaa: A Utamaduni Akaunti Chicago: University of Chicago press
  152. Roy Wagner 1980 American ujamaa: A Utamaduni Akaunti Chicago: University of Chicago Press
  153. Janet Dolgin, Daudi Kemnitzer, na Daudi Schneider, eds. Mfano Anthropology: a Reader katika Masomo ya Symbols na maana
  154. Victor Turner 1967 ya Msitu wa Symbols: Ndembu Ritual aspekter ya Ithaca: Cornell University Press
  155. White, L. 1949. Ya Sayansi ya Utamaduni: Utafiti wa mtu na ustaarabu.
  156. Richard A. Barrett 1989, "The Paradoxical Anthropology ya Leslie White," American mwanaanthropolojia Vol. 91, No 4 (Desemba, 1989), uk. 986-999
  157. Leslie White, 1949 "Ethnological Theory." Katika Falsafa ya Future: The Quest ya kisasa Kupenda mali. RW Sellars, VJ McGill, na M. Farber, eds. Pp. 357-384. New York: Macmillan.
  158. Leslie White, 1943 "Nishati na Evolution ya Utamaduni." American mwanaanthropolojia 45: 339
  159. Julian Steward 1938 Bonde la Plateau Aboriginal Socio-kisiasa Vikundi (Taasisi ya Smithsonian Institution American Ethnology Bulletin, No 20)
  160. Julian Steward 1955 Nadharia ya Utamaduni Change: The Multilinear Evolution Methodolojia wa Chuo Kikuu cha Illinois Press
  161. Marvin Harris Kupenda mali Utamaduni 1979: The Struggle kwa ajili ya Sayansi ya Utamaduni New York: Random House
  162. Marvin Harris 1977 Cannibals na Wafalme: Chimbuko la Cultures New York: Vintage
  163. Marvin Harris 1974 Cows, nguruwe, Vita, na Witches: The Riddles ya Utamaduni New York: Vintage
  164. Roy A. Rappaport 1967 Nguruwe kwa mababu: Ritual katika Ecology ya Guinea Mpya Watu
  165. Julian Steward, ed. 1966 Watu wa Puerto Rico: utafiti katika utu kijamii Chicago: University of Chicago Press (inajumuisha udaktari Dissertations ya Mintz na Wolf)
  166. Robert F. 1960 Headhunter Murphy's Heritage; Kijamii na Kiuchumi Change Miongoni mwa Mundurucu Wahindi
  167. Marshall Sahlins na Elman Service, ''
  168. Elman R. Huduma 1962 primitive kijamii: en evolutionary mtazamo New York: Random House
  169. Andrew Petro Vayda, ed. 1969 Mazingira na tabia ya kitamaduni: kiikolojia masomo katika utu kitamaduni Garden City: Natural History Press
  170. Dell Reinventing Anthropology Hymes 1969 s. 11
  171. Dell Reinventing Anthropology Hymes 1969 s. 42
  172. Dell Reinventing Anthropology Hymes 1969 s. 43
  173. Sidney Mintz 1985 Sweetness and Power New York: Viking Press
  174. Robert Murphy 1971 The Dialectics wa Social Life New York: Basic Books
  175. Marshall Sahlins 1976 Utamaduni na Vitendo Sababu Chicago: University of Chicago Press
  176. Eric Wolf 1971 wadogowadogo Vita ya karne ya ishirini
  177. Eric Wolf, 1982 Ulaya na Historia ya Watu Bila Berkeley: University of California Press
  178. Mishkin, Bernard 1940 Rank na Warfare katika Plains Indian Utamaduni. Mongraphs wa Marekani Ethnological Society no. 3. New York: JJ Augustin.
  179. Lewis, Oscar 1942 Matunda ya White Contact juu Blackfoot Utamaduni, pamoja na Special Reference na Majukumu ya Fur Biashara. Monographs wa Marekani Ethnological Society no. 6. New York: JJ Augustin.
  180. Jablow, Yusufu 1951 The Cheyenne katika Plains Indian Biashara Mahusiano, 1795-1972. American Ethnological Society Monograph 19. New York: JJ Augustin.
  181. Secoy, Frank 1953 Kubadilisha mwelekeo juu ya Jeshi Mkuu Plains (17 Century througn Early 19 Century). American Ethnological Society Monograph 21, New York: JJ Augustin.
  182. jina = "Williams"> Raymond Williams (1976) Keywords: A Vocabulary of Culture and Society Rev Ed. (Newyork: Oxford UP, 1983), uk. 87-93 na 236-8.
  183. Yohana Berger, Peter Smith Pub. Inc, (1971) Njia za Ukiangalia
  184. Bakhtin, Mikhail 1981. The Dialogic Imagination. Austin, TX: UT Press, p.4
  185. (Lindlof & Taylor, 2002, p.60
  186. O'Neil, D. 2006. "Mchakato wa Change".
  187. Pringle, H. 1998. The Slow kuzaliwa ya Kilimo. Sayansi 282: 1446.

kumbukumbu

Viungo vya nje

Jua habari zaidi kuhusu Utamaduni kwa kutafuta kupitia mradi wa Wikipedia Sister
Uchambuzi wa kamusi kutoka Wikamusi
Vitabu kutoka Wikitabu
Dondoo kutoka Wikidondoa
Matini za vyanzo kutoka Wikichanzo
Picha na media kutoka Commons
Habari kutoka Wikihabari
Vyanzo vya elimu kutoka Wikichuo

Kigezo:Link FA