Bangladesh : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: ckb:بەنگلادیش
Mstari 202: Mstari 202:
[[roa-rup:Bangladesh]]
[[roa-rup:Bangladesh]]
[[ru:Бангладеш]]
[[ru:Бангладеш]]
[[rw:Bangaladeshi]]
[[sa:बंगलादेश]]
[[sa:बंगलादेश]]
[[sah:Баҥладеш]]
[[sah:Баҥладеш]]

Pitio la 09:54, 5 Januari 2011

Bangladesh


Bangladesh (pia: Bangla Desh; Kibengali: বাংলাদেশ, bāṃlādeś) ni nchi ya Asia ya Kusini. Imepakana na Uhindi pande zote barani isipokuwa mpaka mfupi wa 193 km na Myanmar upande wa kusini-mashariki na pwani la Ghuba ya Bengali.

Bangladesh ni sehemu ya mashariki ya Bengali ya kihistoria iliyotenganishwa wakati wa mgawanyiko wa Uhindi kwa sababu wakazi wake walikuwa Waislamu tofauti na Wabengali wengine Wahindu.

Baada ya mgawanyiko wa Uhindi Bangladesh ilikuwa sehemu ya Pakistan ikaitwa "Pakistan ya Mashariki" hadi 1971 ilipojitenga kutoka Pakistan kwa msaada wa India katika Vita ya Uhuru ya Bangla Desh.

Sehemu kubwa ya nchi ni delta ya mito Ganga na Brahmaputra. Uso wa nchi ni tambarare na mita chache tu juu ya uwiano wa bahari. Hivyo wananchi huteseka mara nyingi na mafuriko makali.

Marejeo

Viungo vya nje

Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bangladesh kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA