Bahama : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: mg:Bahamasy
Mstari 176: Mstari 176:
[[roa-rup:Bahamas]]
[[roa-rup:Bahamas]]
[[ru:Багамские Острова]]
[[ru:Багамские Острова]]
[[rw:Bahamasi]]
[[sa:बहामास]]
[[sa:बहामास]]
[[sah:Баhамалар]]
[[sah:Баhамалар]]

Pitio la 09:43, 5 Januari 2011

Bahama
Ramani ya Bahamas

Bahamas ni nchi ya visiwani katika Atlantiki kaskazini ya Kuba na mashariki ya Florida (Marekani). Visiwa viko nje ya Bahari ya Karibi lakini mara nyingi huhesabiwa kati ya Visiwa vya Karibi.

Mji mkuu wa Nassau uko kwenye kisiwa cha New Providence.

Inaaminiwa ya kwamba mahali pa kwanza pa Amerika alipofika Kristoforo Kolumbus kilikuwa kisiwa kimoja cha Bahamas labda San Salvador.

Wakazi walio wengi ni wa asili ya Kiafrika wanaotumia lugha ya Kiingereza.


Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bahama kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.