Albania : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.2) (roboti Ondoa: gu:અલ્બાનિયા
Mstari 213: Mstari 213:
[[roa-rup:Arbinishia]]
[[roa-rup:Arbinishia]]
[[ru:Албания]]
[[ru:Албания]]
[[rw:Alubaniya]]
[[sa:अल्बानिया]]
[[sa:अल्बानिया]]
[[sah:Албания]]
[[sah:Албания]]

Pitio la 20:16, 4 Januari 2011

Albania


Jamhuri ya Albania ni nchi ya Ulaya Kusini Mashariki. Imepakana na Montenegro, Kosovo, Jamhuri ya Masedonia na Ugiriki. Upande wa magharibi kuna pwani la ghuba ya Adria ya Mediteranea.

Kuna wakazi milioni nne. Mji mkuu ni Tirana. Zaidi ya 90% za wakazi hutumia lahaja za Kialbania ambacho ni lugha ya pekee kati ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Albania ni kati ya nchi maskini zaidi za Ulaya. Kati 1945 hadi 1990 ilitawaliwa na chama cha kikomunisti iliyotangaza Albania kuwa nchi ya kwanza ya kiatheisti iliyopiga marufuku kila aina ya dini.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Albania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.