Tlaxcala (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lv:Tlaskala |
d r2.5.2) (roboti Nyongeza: hu:Tlaxcala |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[gl:Estado de Tlaxcala]] |
[[gl:Estado de Tlaxcala]] |
||
[[hr:Tlaxcala]] |
[[hr:Tlaxcala]] |
||
[[hu:Tlaxcala]] |
|||
[[it:Tlaxcala (stato)]] |
[[it:Tlaxcala (stato)]] |
||
[[ja:トラスカラ州]] |
[[ja:トラスカラ州]] |
Pitio la 20:56, 11 Desemba 2010
Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.
Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.
Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Miji Mikubwa
- Vicente Guerrero (55,760)
- Apizaco (49,459)
- Huamantla (47,286)
- Chiautempan (46,776)
Viungo vya Nje
- (Kihispania) Estado de Tlaxcala Sitio oficial
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |