Mpunga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: be-x-old:Рыс |
d roboti Nyongeza: te:వరి |
||
Mstari 38: | Mstari 38: | ||
[[Jamii:Nyasi na jamaa]] |
[[Jamii:Nyasi na jamaa]] |
||
[[Jamii:Nafaka]] |
[[Jamii:Nafaka]] |
||
⚫ | |||
[[an:Roz]] |
[[an:Roz]] |
||
Mstari 49: | Mstari 47: | ||
[[be-x-old:Рыс]] |
[[be-x-old:Рыс]] |
||
[[bg:Ориз]] |
[[bg:Ориз]] |
||
⚫ | |||
[[bn:চাল]] |
[[bn:চাল]] |
||
[[bo:འབྲས།]] |
[[bo:འབྲས།]] |
||
Mstari 127: | Mstari 126: | ||
[[sv:Ris]] |
[[sv:Ris]] |
||
[[ta:நெல்]] |
[[ta:நெல்]] |
||
[[te:వరి]] |
|||
[[th:ข้าว]] |
[[th:ข้าว]] |
||
[[tl:Palay]] |
[[tl:Palay]] |
Pitio la 17:59, 5 Desemba 2010
Mpunga (Oryza spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mpunga wa kiasia
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Mpunga ni aina ya mimea katika familia ya manyasi (Poaceae). Spishi kadhaa zinapandwa katika sehemu mbalimbali za dunia, lakini mpunga wa kiasia ni ile ya kawaida. Punje za mpunga (mbegu zake) ni nafaka na huitwa mchele. Mchele uliopikwa ni wali.
Spishi
- Oryza barthii, Mpunga-porini wa kiafrika (African wild rice)
- Oryza glaberrima, Mpunga wa kiafrika (African rice)
- Oryza longistaminata, Mpunga stameni-refu (Longstamen rice)
- Oryza rufipogon, Mpunga mwekundu (Red rice)
- Oryza sativa, Mpunga wa kiasia (Asian rice)
- Oryza nivara, Mpunga-porini wa kihindi (Indian wild rice)
Picha
-
Mpunga wa kiasia (maua)
-
Mashamba ya mpunga huko China