Babu wa Kanisa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: fa:پدران کلیسا
d [r2.6.4] roboti Badiliko: hu:Egyházatya
Mstari 33: Mstari 33:
[[he:אבות הנצרות]]
[[he:אבות הנצרות]]
[[hr:Crkveni oci]]
[[hr:Crkveni oci]]
[[hu:Egyházatyák]]
[[hu:Egyházatya]]
[[ia:Patres del Ecclesia]]
[[ia:Patres del Ecclesia]]
[[id:Bapa Gereja]]
[[id:Bapa Gereja]]

Pitio la 18:14, 1 Desemba 2010

Babu wa Kanisa ni jina la heshima ambalo kuanzia karne IV Kanisa Katoliki limewapatia Wakristo wa kale (hadi mwaka 750 hivi), wenye utakatifu, elimu na imani sahihi, ambao mafundisho yao yanawezesha kujua mapokeo ya Mitume.

Orodha ya kwanza ya mababu wa Kanisa iliandikwa katika Hati ya Gelasi (karne VI); baadhi yao waliongezewa jina la Mwalimu wa Kanisa.

Muhimu zaidi upande wa Mashariki ni: Atanasi, Basili Mkuu, Gregori wa Nazienzi na Yohane Krisostomo. Upande wa Magharibi ni: Ambrosi, Agostino wa Hippo, Jeromu na Papa Gregori I.

Viungo vya nje