Mchanga : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: lb:Sand
d roboti Nyongeza: az:Qum (torpaq)
Mstari 22: Mstari 22:


{{Link FA|nl}}
{{Link FA|nl}}

[[bjn:Karangan]]


[[an:Arena]]
[[an:Arena]]
Mstari 30: Mstari 28:
[[ast:Sable (material)]]
[[ast:Sable (material)]]
[[ay:Aqu]]
[[ay:Aqu]]
[[az:Qum (torpaq)]]
[[bat-smg:Smėltės]]
[[bat-smg:Smėltės]]
[[bg:Пясък]]
[[bg:Пясък]]
[[bjn:Karangan]]
[[br:Traezh]]
[[br:Traezh]]
[[bs:Pijesak]]
[[bs:Pijesak]]

Pitio la 19:34, 21 Novemba 2010

Maji na mchanga mwambaoni

Mchanga ni punje ndogo za mwamba uliosagwa.

Kufuatana na mapatano ya kitaalamu mawe huitwa "mchanga" kama punje zake ziko kati ya milimita 0.063 hadi 2.

Punje hizi zatokana na mmomonyoko wa mawe makubwa zaidi kama changarawe yaliyosukumwa na upepo au maji kwa mfano mtoni, baharini au kwenye mtelemko wa mlima.

Mchanga hupatikana kwa wingi hasa kando la bahari, jangwani au mtoni.

Mchanga ukichanganywa na saruji na maji huwa zege inayotumiwa kwa ujenzi.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mchanga kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA