Alumini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: tl:Aluminyo
d roboti Nyongeza: ka:ალუმინი
Mstari 86: Mstari 86:
[[jbo:jinmrmalume]]
[[jbo:jinmrmalume]]
[[jv:Alumunium]]
[[jv:Alumunium]]
[[ka:ალუმინი]]
[[kk:Алюминий]]
[[kk:Алюминий]]
[[kn:ಅಲ್ಯೂಮಿನಿಯಮ್]]
[[kn:ಅಲ್ಯೂಮಿನಿಯಮ್]]

Pitio la 19:08, 21 Novemba 2010


Alumini (aluminium)
Jina la Elementi Alumini (aluminium)
Alama Al
Namba atomia 13
Mfululizo safu Metali
Uzani atomia 26.9815
Valensi 2, 8, 3
Densiti 2.70 g/cm³
Ugumu (Mohs) {{{ugumu}}}
Kiwango cha kuyeyuka 933.47 K (660.32 °C)
Kiwango cha kuchemka 2792 K (2519 °C)
Asilimia za ganda la dunia 7.57 %
Hali maada mango

Alumini ni elementi. Namba atomia yake ni 13 kwenye mfumo radidia na uzani atomia ni 26.9815. Katika mazingira ya kawaida ni metali nyepesi yenye rangi nyeupe ya kifedha. Alama yake ni Al.

Alumini ni metali inayopatikana kwa wingi katika ganda la dunia.

Kutokana na densiti husianafu ndogo inatumiwa kila mahala ambako wepesi ni muhimu kwa mfano katika ujenzi wa ndege.

pia utumika katika undaji wavitu mbali mali kam autengenesaji wa ndene

Kigezo:Link FA