Max Delbruck : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: no:Max Delbrück
d roboti Nyongeza: yo:Max Delbrück
Mstari 40: Mstari 40:
[[sv:Max Delbrück]]
[[sv:Max Delbrück]]
[[tr:Max Delbrück]]
[[tr:Max Delbrück]]
[[yo:Max Delbrück]]
[[zh:馬克斯·德爾布呂克]]
[[zh:馬克斯·德爾布呂克]]
[[zh-min-nan:Max Delbrück]]
[[zh-min-nan:Max Delbrück]]

Pitio la 11:57, 14 Novemba 2010

Max Delbruck

Max Delbrück (4 Septemba, 19069 Machi, 1981) alikuwa mwanabiolojia kutoka nchi ya Ujerumani. Wakati wa utawala wa Hitler alihamia Marekani. Hasa alichunguza virusi vinavyoharibu vijidudu. Mwaka wa 1969, pamoja na Alfred Hershey na Salvador Luria alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Max Delbruck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.