Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: yo:Albert Schweitzer
Mstari 62: Mstari 62:
[[uk:Альберт Швейцер]]
[[uk:Альберт Швейцер]]
[[vi:Albert Schweitzer]]
[[vi:Albert Schweitzer]]
[[yo:Albert Schweitzer]]
[[zh:艾伯特·史懷哲]]
[[zh:艾伯特·史懷哲]]

Pitio la 11:08, 14 Novemba 2010

Albert Schweitzer

Albert Schweitzer (14 Januari, 18754 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.