Rhodesia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: no:Rhodesia (andre betydninger) |
d roboti Ondoa: de, en, fr, ru |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
{{maana}} |
{{maana}} |
||
[[de:Rhodesien]] |
|||
[[en:Rhodesia (disambiguation)]] |
|||
[[fr:Rhodésie]] |
|||
[[no:Rhodesia (andre betydninger)]] |
[[no:Rhodesia (andre betydninger)]] |
||
[[pt:Rodésia (desambiguação)]] |
[[pt:Rodésia (desambiguação)]] |
||
[[ru:Родезия]] |
Pitio la 15:56, 10 Novemba 2010
Rhodesia ni jina la kihistoria kwa ajili ya maeneo ya nchi za kisasa Zimbabwe na Zambia wakati wa ukoloni kuanzia 1895.
Lamaanisha hasa nchi za
- Rhodesia ya Kusini (Zimbabwe) iliyojulikana kama "Rhodesia" tu kati ya 1964 na 1979 pia kama Zimbabwe-Rhodesia mwaka 1979 kabla ya kuitwa "Zimbabwe" pekee.
- Rhodesia ya Kaskazini iliyokuwa eneo lindwa la Uingereza na kupata uhuru wake kama "Zambia" mwaka 1964.
- Huko Uingereza kuna pia kijiji kinachoitwa "Rhodesia" katika wilaya ya Nottinghamshire takriban kilomita 30 kusini ya mji wa Sheffield. Haina uhusiano na historia ya jina la nchi za Afrika.