Ernst Ruska : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: sk:Ernst Ruska |
No edit summary |
||
Mstari 27: | Mstari 27: | ||
[[sk:Ernst Ruska]] |
[[sk:Ernst Ruska]] |
||
[[sv:Ernst Ruska]] |
[[sv:Ernst Ruska]] |
||
[[tr:Ernst Ruska]] |
Pitio la 11:00, 29 Mei 2007
Ernst August Friedrich Ruska (25 Desemba, 1906 – 27 Mei, 1988) alikuwa fundisanifu wa umeme kutoka nchi ya Ujerumani. Hasa anajulikana kwa kubuni hadubini ya elektroni. Mwaka wa 1986, pamoja na Gerd Binnig na Heinrich Rohrer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |