Nicholas Butler : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ru:Батлер, Николас Мюррэй; cosmetic changes
Mstari 12: Mstari 12:


[[ar:نيكولاس موراي باتلر]]
[[ar:نيكولاس موراي باتلر]]
[[be:Нікалас Мюрэй Батлер]]
[[bg:Никълъс Мъри Бътлър]]
[[bg:Никълъс Мъри Бътлър]]
[[ca:Nicholas Murray Butler]]
[[ca:Nicholas Murray Butler]]

Pitio la 12:54, 6 Novemba 2010

Nicholas Murray Butler (2 Aprili, 18627 Desemba, 1947) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Alikuwa mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Columbia, na alijitahidi hasa upande wa elimu ya kimataifa. Mwaka wa 1931, pamoja na Jane Addams alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.


Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nicholas Butler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.