Albert Schweitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: eu:Albert Schweitzer |
d roboti Nyongeza: be:Альберт Швейцэр |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
[[als:Albert Schweitzer]] |
[[als:Albert Schweitzer]] |
||
[[ar:ألبرت شوايتزر]] |
[[ar:ألبرت شوايتزر]] |
||
[[be:Альберт Швейцэр]] |
|||
[[bg:Алберт Швайцер]] |
[[bg:Алберт Швайцер]] |
||
[[br:Albert Schweitzer]] |
[[br:Albert Schweitzer]] |
Pitio la 10:32, 26 Oktoba 2010
Albert Schweitzer (14 Januari, 1875 – 4 Septemba, 1965) alikuwa mwanateolojia, mwanafalsafa, mwanamuziki na daktari kutoka eneo la Alsatia, ambalo lilikuwa sehemu ya Ujerumani kabla ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, lakini la Ufaransa baadaye. Mwaka wa 1952 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobeli ya Amani kwa ajili ya falsafa yake. Hasa anajulikana kwa kuanzisha na kuongoza kituo cha kimisionari na hospitali eneo la Lambarene nchini Gabon.