Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d clean up using AWB |
d roboti Nyongeza: ar:الإمبراطور ساكوراماتشي |
||
Mstari 8: | Mstari 8: | ||
[[Jamii:Watawala wa Japani]] |
[[Jamii:Watawala wa Japani]] |
||
[[ar:الإمبراطور ساكوراماتشي]] |
|||
[[cs:Sakuramači]] |
[[cs:Sakuramači]] |
||
[[de:Sakuramachi]] |
[[de:Sakuramachi]] |
Pitio la 14:39, 24 Oktoba 2010
Sakuramachi (8 Februari, 1720 – 28 Mei, 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Tarehe 13 Aprili, 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 9 Juni, 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sakuramachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |