Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: ko:오귀스트 베르나르트 |
d roboti Nyongeza: cs:Auguste Marie François Beernaert |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[bg:Огюст Бернарт]] |
[[bg:Огюст Бернарт]] |
||
[[ca:Auguste Beernaert]] |
[[ca:Auguste Beernaert]] |
||
[[cs:Auguste Marie François Beernaert]] |
|||
[[da:Auguste Marie François Beernaert]] |
[[da:Auguste Marie François Beernaert]] |
||
[[de:Auguste Beernaert]] |
[[de:Auguste Beernaert]] |
Pitio la 08:49, 20 Oktoba 2010
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Tazama pia
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Auguste Beernaert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |