Philippus Mwarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: id:Filipus si Arab
Mstari 1: Mstari 1:

[[Picha:Antoninianus Philip the Arab - Seculum Novum.jpg|thumb|right|Shaba inayoonyesha Kaizari Philippus Mwarabu]]


'''Marcus Julius Philippus''' (takriban [[204]] – April/Mei [[249]]) alikuwa [[Kaizari]] wa [[Dola la Roma]] kuanzia Februari [[244]] hadi kifo chake. Alimfuata [[Gordian III]]. Aliitwa '''Mwarabu''' kwa vile alizaliwa katika jimbo la [[Syria]] karibu na mji wa [[Damaskus]] na wazazi [[Waarabu]].
'''Marcus Julius Philippus''' (takriban [[204]] – April/Mei [[249]]) alikuwa [[Kaizari]] wa [[Dola la Roma]] kuanzia Februari [[244]] hadi kifo chake. Alimfuata [[Gordian III]]. Aliitwa '''Mwarabu''' kwa vile alizaliwa katika jimbo la [[Syria]] karibu na mji wa [[Damaskus]] na wazazi [[Waarabu]].

Pitio la 23:20, 13 Oktoba 2010


Marcus Julius Philippus (takriban 204 – April/Mei 249) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia Februari 244 hadi kifo chake. Alimfuata Gordian III. Aliitwa Mwarabu kwa vile alizaliwa katika jimbo la Syria karibu na mji wa Damaskus na wazazi Waarabu.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Philippus Mwarabu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.