Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: qu:Timuthiyupaq huk ñiqin qillqa |
d roboti Nyongeza: sh:Prva poslanica Timoteju |
||
Mstari 48: | Mstari 48: | ||
[[ro:Întâia epistolă a lui Pavel către Timotei]] |
[[ro:Întâia epistolă a lui Pavel către Timotei]] |
||
[[ru:1-е послание к Тимофею]] |
[[ru:1-е послание к Тимофею]] |
||
[[sh:Prva poslanica Timoteju]] |
|||
[[simple:First Epistle to Timothy]] |
[[simple:First Epistle to Timothy]] |
||
[[sm:O le tusi muamua a Paulo ia Timoteo]] |
[[sm:O le tusi muamua a Paulo ia Timoteo]] |
Pitio la 08:22, 9 Oktoba 2010
Barua ya kwanza kwa Timotheo ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.
Pamoja na ile ya pili aliyomuandikia na ile kwa Tito inaunda kundi la Nyaraka za Kichungaji.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mazingira
Barua hii iliandikwa na Mtume Paulo baada ya kifungo chake cha kwanza mjini Roma labda akiwa Makedonia ili kumpa mwanafunzi wake mpenzi mashauri na maelekezo kwa kazi yake aliyomshirikisha.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili