Kituruki : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
d Unicodifying, replaced: CyprusKupro using AWB
d roboti Badiliko: sco:Turkis leid
Mstari 16: Mstari 16:
{{Link FA|en}}
{{Link FA|en}}
{{Link FA|sv}}
{{Link FA|sv}}

[[ace:Bahsa Tureuki]]
[[ace:Bahsa Tureuki]]
[[af:Turks]]
[[af:Turks]]
Mstari 106: Mstari 107:
[[sah:Түрк тыла]]
[[sah:Түрк тыла]]
[[sc:Lìngua turca]]
[[sc:Lìngua turca]]
[[sco:Turkish leid]]
[[sco:Turkis leid]]
[[se:Durkkagiella]]
[[se:Durkkagiella]]
[[sh:Turski jezik]]
[[sh:Turski jezik]]

Pitio la 01:31, 2 Oktoba 2010

Usambaji wa wasemaji wa Kituruki

Kituruki (Türkçe) ni lugha rasmi nchini Uturuki. Ni lugha yenye wasemaji milioni 80. Hivyo ni lugha yenye wasemaji wengi kati ya Lugha za Kiturki zinazozungumzwa na watu milioni 170 katika Asia ya Magharibi na Asia ya Kati.

Kuna wasemaji nchini Uturuki, kwenye kisiwa cha Kupro, Bulgaria, Ugiriki, Masedonia na katika nchi kadhaa zilizokuwa sehemu za Dola la Uturuki. Kutokana na uhamiaji wa Waturuki kuna pia wasemaji mamilioni katika nchi za Umoja wa Ulaya.

Wasemaji wa kituruki huelewana kwa kiasi kikubwa na wasemaji wa Kiazerbaijan, Kiturkmen na Kiqashgai.

Wasemaji wa lugha za kiturki ziliingia katika eneo la Uturuki ya leo tangu mwaka 1000. Wakati wa Dola la Uturuki lugha yao ilikuwa lugha ya utawala na fasihi andishi.

Hadi Atatürk Kituruki kile kilitumia maneno mengi ya Kiarabu na Kiajemi kikaandikwa pia kwa Alfabeti ya Kiarabu. Tangu mwaka 1923 lugha imeandikwa kwa alfabeti ya Kilatini na maneno yenye asili ndani ya Kituruki yalitafutwa.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA