Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sh:Joseph Pulitzer |
d roboti Badiliko: uk:Джозеф Пуліцер |
||
Mstari 50: | Mstari 50: | ||
[[th:โจเซฟ พูลิตเซอร์]] |
[[th:โจเซฟ พูลิตเซอร์]] |
||
[[tr:Joseph Pulitzer]] |
[[tr:Joseph Pulitzer]] |
||
[[uk:Джозеф |
[[uk:Джозеф Пуліцер]] |
||
[[zh:約瑟夫·普立茲]] |
[[zh:約瑟夫·普立茲]] |
Pitio la 12:38, 29 Septemba 2010
Joseph Pulitzer (10 Aprili, 1847 – 29 Oktoba, 1911) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya Marekani; lakini alizaliwa nchi ya Hungaria. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya Chuo Kikuu cha Columbia iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa Tuzo ya Pulitzer kwa ajili ya maandishi hodari.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Joseph Pulitzer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |