Kiwango utatu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: ast:Puntu triple
Mstari 17: Mstari 17:
[[fr:Point triple]]
[[fr:Point triple]]
[[he:נקודה משולשת]]
[[he:נקודה משולשת]]
[[hr:Trojna točka]]
[[is:Þrípunktur]]
[[is:Þrípunktur]]
[[it:Punto triplo]]
[[it:Punto triplo]]

Pitio la 19:18, 21 Mei 2007

Kiwango utatu ni kiwango cha maji au dutu nyingine inapoweza kuwa mahali pamoja katika hali imara, kiowevu na gesi (kwa mfano wa maji: barafu, majimaji na mvuke). Kiwango hiki kinategemea halijoto na shindikizo.

Kiwango utatu cha maji ni kiwango cha kukadiria skeli ya selsiasi au sentigredi (273.16 K au 0.01 °C).


Wikimedia Commons ina media kuhusu: