Vipimo sanifu vya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d roboti Nyongeza: pnb:ناپاں دا انٹرنیشنل پربندھ |
||
Mstari 76: | Mstari 76: | ||
[[pa:ਅੰਤਰਦੇਸ਼ੀ ਇਕਾਈ ਪ੍ਰਣਾਲੀ]] |
[[pa:ਅੰਤਰਦੇਸ਼ੀ ਇਕਾਈ ਪ੍ਰਣਾਲੀ]] |
||
[[pl:Układ SI]] |
[[pl:Układ SI]] |
||
[[pnb:ناپاں دا انٹرنیشنل پربندھ]] |
|||
[[pt:Sistema Internacional de Unidades]] |
[[pt:Sistema Internacional de Unidades]] |
||
[[qu:SI tupuy]] |
[[qu:SI tupuy]] |
Pitio la 05:47, 19 Septemba 2010
Vipimo sanifu vya kimataifa (Kifar.: Système International d'unités; kifupi chake: SI) ni utaratibu uliokubaliwa kimataifa kwa kuwa na vizio vya upimaji vya pamoja duniani. Maendeleo na matumizi ya utaratibu huo huangaliwa na Ofisi ya Kimataifa ya Vipimo.
Msingi wa utaratibu huu ni mita. Vizio vingine ni vya urefu (mita), masi (kilogramu), wakati (sekondi), mkondo wa umeme (ampea), halijoto (kelvini), kiasi cha dutu (moli), mwangaza au ukalifu nunurikaji (kandela).
Vipimo hivi hutumika na wanasayansi duniani. Katika maisha ya kawaida kuna vipimo mbalimbali vinavyoweza kuwa tofauti kati ya nchi na nchi.