Waraka wa tatu wa Yohane : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Badiliko: zh:約翰三書; cosmetic changes
Mstari 3: Mstari 3:
'''Barua ya tatu ya Yohane''' ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].
'''Barua ya tatu ya Yohane''' ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]].


Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[Ufunuo|ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[Historia ya Wokovu|historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].


==Mwandishi==
== Mwandishi ==


Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la [[Mtume Yohane]] kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la [[Mtume Yohane]] kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.
Mstari 11: Mstari 11:
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa [[karne ya 1]] huko [[Efeso]].
Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa [[karne ya 1]] huko [[Efeso]].


==Mlengwa==
== Mlengwa ==


Mlengwa ni ''Gaio'', anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.
Mlengwa ni ''Gaio'', anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.


==Kiungo cha nje==
== Kiungo cha nje ==
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili


[[Category:Vitabu vya Agano Jipya]]
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya]]


[[ar:رسالة يوحنا الثالثة]]
[[ar:رسالة يوحنا الثالثة]]
Mstari 55: Mstari 55:
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]
[[ug:يۇھاننا يازغان ئۈچىنچى خەت]]
[[yo:Episteli Johanu Keta]]
[[yo:Episteli Johanu Keta]]
[[zh:約翰書]]
[[zh:約翰書]]

Pitio la 21:27, 16 Septemba 2010

Agano Jipya


Barua ya tatu ya Yohane ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mwandishi

Kuhusu mwandishi wa barua hiyo lilichelewa kutajwa jina la Mtume Yohane kutokana na yaliyomo na mtindo wa uandishi wake.

Kama mwandishi si yeye, ni mmoja wa wanafunzi wake aliyeandikwa mwishoni mwa karne ya 1 huko Efeso.

Mlengwa

Mlengwa ni Gaio, anayedhaniwa kuwa kiongozi mmojawapo wa jumuia fulani kati ya zile zilizomtegemea Yohane.

Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili