Mkoa wa Magharibi (Kenya) : Tofauti kati ya masahihisho
d clean up using AWB |
|||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{mergefrom|Mkoa wa Magharibi|date=July 2010}} |
{{mergefrom|Mkoa wa Magharibi|date=date=July 2010}} |
||
{{otheruses|Mkoa wa Magharibi}} |
{{otheruses|Mkoa wa Magharibi}} |
||
{| border=1 align=right cellpadding=4 cellspacing=0 width=250 style="margin: 0 0 1em 1em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaaaaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;" |
{| border=1 align=right cellpadding=4 cellspacing=0 width=250 style="margin: 0 0 1em 1em; background: #f9f9f9; border: 1px #aaaaaa solid; border-collapse: collapse; font-size: 95%;" |
Pitio la 12:52, 3 Septemba 2010
Unganisha! Imependekezwa makala hii iunganishwe na Mkoa wa Magharibi. Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. Chagua moja kati ya makala ili ibaki (kwa kawaida ile yenye jina sahihi zaidi), ingiza habari kutoka nyingine, ondoa kasoro, hifadhi. Kisha futa makala nyingine. Makala hii imetiwa alama tangu tarehe date=July 2010. |
| ||
Makao Makuu | Kakamega | |
’‘‘Mji Mkubwa’’’ | Kakamega | |
Eneo - Jumla |
Nafasi ya 7 kati ya mikoa ya Kenya 8,285 km² | |
Wakazi - Jumla (2007) - Msongamano wa watu / km² |
Nafasi ya 5 kati ya mikoa ya Kenya 3,569,400 431/km² | |
Lugha mkoani | Kiluhya | |
Mkoa wa Magharibi (Western Province) ni mkoa mdogo kati ya mikoa ya Kenya ni pia mkoa mwenye msongamano mkubwa wa watu. Umepakana na Uganda na mikoa ya Kenya ya Nyanza na Bonde la Ufa.
Eneo lake ni 8,285 km² pekee kuna wakazi 3,569,400 hivyo hukaa zaidi ya watu 400 kwa kila kilomita ya mraba. Wakazi wa Magharibi ni hasa Abaluhya (Waluhya). Mji mkuu ni Kakamega.
Nchi ya mkoa limeenea kutoka vilima vya Bungoma mpakani wa Uganda hadi tambarare karibu na Ziwa Viktoria. Mlima mkubwa wa pili wa Kenya ni Mlima Elgon uko ndani ya mkoa kwenye mpaka wa Uganda. Msitu wa Kakamega ni kati ya misitu asilia ya mwisho wa Kenya.
Uti wa mgongo wa uchumi wa mkoa ni kilimo. Pamoja na kilimo cha kujikimu kuna pia mashamba makubwa ya chai na miwa. Kilimo na maliaili ni msingi wa viwanda vikubwa kama vile kiwanda cha sukari cha Mumias au kiwanda cha karatasi cha Webuye. Hata hivyo idadi kubwa ya wakazi ni maskini na wanaume wengi wameenda Nairobi au kwenye hoteli za pwani kwa kazi ya ajira.
Wilaya
Kuna wilaya nane mkoani:
Wilaya | Makao makuu |
---|---|
Bungoma | Bungoma |
Busia | Busia |
Butere/Mumias | Butere |
Kakamega | Kakamega |
Lugari | Lugari |
Mlima Elgon | Kapsokwony |
Teso | Malaba |
Vihiga | Vihiga |
Bonde la Ufa | Kaskazini-Mashariki | Kati | Magharibi | Mashariki | Nairobi | Nyanza | Pwani |