1915 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Unicodifying using AWB |
d roboti Nyongeza: pnb:1915 |
||
Mstari 128: | Mstari 128: | ||
[[pi:१९१५]] |
[[pi:१९१५]] |
||
[[pl:1915]] |
[[pl:1915]] |
||
[[pnb:1915]] |
|||
[[pt:1915]] |
[[pt:1915]] |
||
[[qu:1915]] |
[[qu:1915]] |
Pitio la 03:05, 3 Septemba 2010
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| ►
◄◄ |
◄ |
1911 |
1912 |
1913 |
1914 |
1915
| 1916
| 1917
| 1918
| 1919
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1915 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
Waliozaliwa
- 15 Februari - Robert Hofstadter (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961)
- 28 Februari - Peter Medawar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 7 Aprili - Billie Holiday, mwanamuziki Mmarekani
- 12 Mei - Frere Roger (Roger Schutz)
- 27 Mei - Herman Wouk (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1952)
- 10 Juni - Saul Bellow (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1976)
- 15 Juni - Thomas Weller (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1954)
- 28 Julai - Charles Townes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964)
- 27 Agosti - Norman Ramsey, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1989
- 23 Septemba - Clifford Shull, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1994
- 19 Novemba - Earl Sutherland (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1971)
- 30 Novemba - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983
- 7 Desemba - Eli Wallach, mwigizaji kutoka Marekani
- 19 Desemba - Édith Piaf, mwimbaji wa kike kutoka Ufaransa
- 26 Desemba - Teofilo Kisanji, askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania
Waliofariki
- 20 Agosti - Paul Ehrlich (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1908)