1903 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d clean up using AWB |
d Unicodifying using AWB |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{Mwaka|1903}} |
{{Mwaka|1903}} |
||
Makala hii inahusu [[mwaka]] '''1903 BK''' ([[Baada ya Kristo]]). |
|||
== Matukio == |
== Matukio == |
||
* [[4 Agosti]] - Uchaguzi wa [[Papa Pius X]] |
* [[4 Agosti]] - Uchaguzi wa [[Papa Pius X]] |
Pitio la 12:19, 2 Septemba 2010
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1899 |
1900 |
1901 |
1902 |
1903
| 1904
| 1905
| 1906
| 1907
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1903 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 4 Agosti - Uchaguzi wa Papa Pius X
- 3 Novemba - Nchi ya Panama inapata uhuru kutoka Kolombia.
Waliozaliwa
- 27 Januari - John Eccles, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1963
- 26 Februari - Giulio Natta (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1963)
- 24 Machi - Adolf Butenandt (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1939)
- 8 Juni - Marguerite Yourcenar, mwandishi na mshairi kutoka Ubelgiji
- 6 Julai - Hugo Theorell (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1955)
- 1 Agosti – Paul Horgan (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1955)
- 19 Agosti – James Gould Cozzens, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1949
- 6 Oktoba - Ernest Walton (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1951)
- 22 Oktoba - George Beadle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1958)
- 7 Novemba - Konrad Lorenz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973)
- 27 Novemba - Lars Onsager, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1968
- 5 Desemba - Cecil Frank Powell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1950
- 19 Desemba - George Snell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1980
- 22 Desemba - Haldan Hartline, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1967
Waliofariki
- 22 Februari - Hugo Wolf, mtunzi wa opera kutoka Austria
- 20 Julai - Papa Leo XIII
- 1 Novemba - Theodor Mommsen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1902)