Sakuramachi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Sakuramachi |
d clean up using AWB |
||
Mstari 4: | Mstari 4: | ||
{{DEFAULTSORT:Sakuramachi}} |
{{DEFAULTSORT:Sakuramachi}} |
||
[[ |
[[Jamii:Waliozaliwa 1720]] |
||
[[ |
[[Jamii:Waliofariki 1750]] |
||
[[ |
[[Jamii:Watawala wa Japani]] |
||
[[cs:Sakuramači]] |
[[cs:Sakuramači]] |
Pitio la 19:46, 26 Agosti 2010
Sakuramachi (8 Februari, 1720 – 28 Mei, 1750) alikuwa mfalme mkuu wa 115 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Teruhito. Tarehe 13 Aprili, 1735 alimfuata baba yake, Nakamikado, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 9 Juni, 1747. Aliyemfuata ni mwana wake, Momozono.
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sakuramachi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |