Derek Barton : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: gd:Derek H. R. Barton
CGN2010 (majadiliano | michango)
d clean up using AWB
Mstari 3: Mstari 3:
'''Derek Harold Richard Barton''' ([[8 Septemba]], [[1918]] – [[16 Machi]], [[1998]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Uingereza]]. Hasa alichunguza mfumo wa [[molekuli]] mbalimbali. Mwaka wa [[1969]], pamoja na [[Odd Hassel]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''. Mwaka wa [[1972]] alipewa cheo cha "Sir".
'''Derek Harold Richard Barton''' ([[8 Septemba]], [[1918]] – [[16 Machi]], [[1998]]) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya [[Uingereza]]. Hasa alichunguza mfumo wa [[molekuli]] mbalimbali. Mwaka wa [[1969]], pamoja na [[Odd Hassel]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Kemia]]'''. Mwaka wa [[1972]] alipewa cheo cha "Sir".


{{DEFAULTSORT:Barton, Derek}}
{{mbegu-mwanasayansi-Ulaya}}
{{mbegu-mwanasayansi-Ulaya}}


{{DEFAULTSORT:Barton, Derek}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1918]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1918]]
[[Jamii:Waliofariki 1998]]
[[Jamii:Waliofariki 1998]]

Pitio la 14:04, 25 Agosti 2010

Derek Harold Richard Barton (8 Septemba, 191816 Machi, 1998) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza mfumo wa molekuli mbalimbali. Mwaka wa 1969, pamoja na Odd Hassel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1972 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Derek Barton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.