Jeradi Majella : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d →Viungo vya nje: clean up using AWB |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
{{mbegu-Mkristo}} |
{{mbegu-Mkristo}} |
||
[[ |
[[Jamii:Waliozaliwa 1726]] |
||
[[ |
[[Jamii:Waliofariki 1755]] |
||
[[ |
[[Jamii:Watakatifu wa Italia]] |
||
[[ |
[[Jamii:Waredemptoristi]] |
||
[[cs:Gerard Majella]] |
[[cs:Gerard Majella]] |
Pitio la 13:34, 25 Agosti 2010
Jeradi Majella (ambaye alizaliwa tarehe 6 Aprili 1726 huko Muro Lucano, Italia – akafariki tarehe 16 Oktoba 1755 huko Caposele) alikuwa bradha wa shirika la Mkombozi.
Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 29 Januari 1893 akatangazwa na Papa Pius X kuwa mtakatifu tarehe 11 Desemba 1904.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |