George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Nyongeza: fa:جرج سانتایانا; cosmetic changes |
d clean up using AWB |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
{{DEFAULTSORT:Santayana, George}} |
{{DEFAULTSORT:Santayana, George}} |
||
[[Jamii:Waliozaliwa 1863]] |
[[Jamii:Waliozaliwa 1863]] |
||
[[Jamii:Waliofariki 1952]] |
[[Jamii:Waliofariki 1952]] |
Pitio la 13:09, 25 Agosti 2010
George Santayana (16 Desemba, 1863 – 26 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu George Santayana kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |