Seli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: sh:Ćelija (biologija) |
d roboti Badiliko: war:Selulá |
||
Mstari 119: | Mstari 119: | ||
[[vec:Sèłuła]] |
[[vec:Sèłuła]] |
||
[[vi:Tế bào]] |
[[vi:Tế bào]] |
||
[[war: |
[[war:Selulá]] |
||
[[yi:צעל]] |
[[yi:צעל]] |
||
[[yo:Àhámọ́]] |
[[yo:Àhámọ́]] |
Pitio la 13:44, 24 Agosti 2010
Seli (kutoka Kilatini cellula = chumba kidogo) ni chumba kidogo ndani ya mwili wa binadamu, wanyama na mimea. Mwili wote wa kila kiumbehai hufanywa na seli. Viumbehai vidogo sana kama bakteria huwa na seli moja tu. Mwili wa mwanadamu huwa na seli trilioni 100 au 1014. Kila yai ni seli moja hivyo seli kubwa duniani ni yai la mbuni. Seli za kawaida ni ndogo sana hutazamiwa kwa kutumia hadubini.
Muundo wa seli
Seli zinatofautiana kisasi kati ya doeni za viumbehai. Bakteria na archaea huwa na seli za mfuto lakini seli za eukaryota zina vitu ndani zao.
Kimsingi seli za eukaryota huwa na
- kiini cha seli,
- utando wa seli (ganda la nje) na
- utegili unaojaza chumba ndani ya utando. Ndani ya utegili kuna sehemu nyingine zenye kazi mbalimbali kama ribosomu au dutuvuo (mitokondria), .
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Seli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |