Nebraska : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
{{Majimbo ya Marekani}} using AWB
infobox
Mstari 1: Mstari 1:
{{Infobox settlement
[[Picha:Map_of_USA_highlighting_Nebraska.png|thumb|300px|Mahali pa Nebraska katika Marekani]]
|jina_rasmi = Nebraska

|picha_ya_satelite = Map of USA highlighting Nebraska.png

|maelezo_ya_picha = Mahali pa Nebraska katika [[Marekani]]
|picha_ya_bendera = Flag of Nebraska.svg
|ukubwa_ya_bendera = 100px
|picha_ya_nembo = Seal of Nebraska.svg
|ukubwa_ya_nembo = 80px
|settlement_type = [[Majimbo ya Marekani|Jimbo]]
|native_name =
|nickname =
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = {{flag|Marekani}}
|subdivision_type1 =
|subdivision_name1 =
|subdivision_type2 = [[Mji mkuu]]
|subdivision_name2 = [[Lincoln, Nebraska|Lincoln]]
|area_total_km2 = 200345
|area_land_km2 = 199099
|area_water_km2 = 1247
|idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa =
|population_note =
|wakazi_kwa_ujumla =
|website = http://www.nebraska.gov/
}}
'''Nebraska''' ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au [[Marekani]]. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na majimbo ya [[South Dakota]], [[Iowa]], [[Missouri]], [[Kansas]], [[Colorado]] na [[Wyoming]].
'''Nebraska''' ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au [[Marekani]]. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na majimbo ya [[South Dakota]], [[Iowa]], [[Missouri]], [[Kansas]], [[Colorado]] na [[Wyoming]].


Mstari 12: Mstari 34:
Eneo la Nebraska lilitwaliwa na Marekani mwaka 1854. Baada ya [[vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Marekani]] eneo likapewa cheo cha jimbo kamili.
Eneo la Nebraska lilitwaliwa na Marekani mwaka 1854. Baada ya [[vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Marekani]] eneo likapewa cheo cha jimbo kamili.


{{commonscat}}
{{Majimbo ya Marekani}}
{{mbegu-jio-USA}}
{{mbegu-jio-USA}}
{{Majimbo ya Marekani}}


[[Jamii:Majimbo ya Marekani]]
[[Jamii:Majimbo ya Marekani]]

Pitio la 19:06, 23 Agosti 2010








Nebraska

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Lincoln
Eneo
 - Jumla 200,345 km²
 - Kavu 199,099 km² 
 - Maji 1,247 km² 
Tovuti:  http://www.nebraska.gov/

Nebraska ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na majimbo ya South Dakota, Iowa, Missouri, Kansas, Colorado na Wyoming.

Mji mkuu ni Lincoln na mji mkubwa jimboni ni Omaha. Jimbo lina wakazi 1,711,263 (2000) wanaokalia eneo la kilomita za mraba 200,520.

Nebraska ni hasa jimbo la kilimo cha mahindi pamoja na ufugaji wa ng'ombe.

Hali ya hewa ni majira ya joto na baridi kali. Wakati wa Julai/Agosti halijoto hufikia +30°C inayoshuka hadi -20 °C wakati wa January.

Eneo la Nebraska lilitwaliwa na Marekani mwaka 1854. Baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Marekani eneo likapewa cheo cha jimbo kamili.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nebraska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.