Michigan : Tofauti kati ya masahihisho
d roboti Nyongeza: frr:Michigan |
→Viungo vya Nje: {{Majimbo ya Marekani}} using AWB |
||
Mstari 16: | Mstari 16: | ||
{{mbegu-jio-USA}} |
{{mbegu-jio-USA}} |
||
{{Marekani}} |
{{Majimbo ya Marekani}} |
||
[[Jamii:Michigan]] |
[[Jamii:Michigan]] |
Pitio la 18:45, 23 Agosti 2010
Michigan ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Umbo lake linafanana na rasi mawili linalozungukwa na Ziwa Superior, Ziwa Michigan, Ziwa Huron na Ziwa Erie. Imepakana na Kanada, Ohio, Indiana na Wisconsin.
Mji mkuu ni Lansing na mji mkubwa ni Detroit.
Jimbo lina wakazi wapatao 10,003,422 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 253,793.
Viungo vya Nje
State of Michigan Official Website
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Michigan kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |