Alaska : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
eneo
Alaska locator2.svg
Mstari 1: Mstari 1:
{{Infobox settlement
{{Infobox settlement
|jina_rasmi = Alaska
|jina_rasmi = Alaska
|picha_ya_satelite = Map of USA highlighting Alaska.png
|picha_ya_satelite = Alaska locator2.svg
|maelezo_ya_picha = Mahali pa Alaska katika [[Marekani]]
|maelezo_ya_picha = Mahali pa Alaska (na [[Marekani]]) katika [[Amerika Kaskazini]]
|picha_ya_bendera = Flag of Alaska.svg
|picha_ya_bendera = Flag of Alaska.svg
|ukubwa_ya_bendera = 100px
|ukubwa_ya_bendera = 100px

Pitio la 16:58, 23 Agosti 2010








Alaska

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Juneau
Eneo
 - Jumla 1,717,854 km²
 - Kavu 1,481,347 km² 
 - Maji 236,507 km² 
Tovuti:  http://www.alaska.gov/
Alaska

Alaska ni kati ya majimbo ya kujitawala ya Marekani. Iko kaskazini kabisa kwenye bara la Amerika ya Kaskazini. Alaska ni eneo la pekee haina mipaka na majimbo mengine ya Marekani mipaka yake kwenye nchi kavu ni na Kanada (Yukon). Ncha ya Alaska inakaribia Siberia (Urusi) katika Asia kwenye mlango wa Bering.

Eneo lake ni kubwa kushinda majimbo mengine ya Marekani lakini idadi ya wakazi ni ndogo kutokana na mazingira magumu kuna wakazi 627,000 pekee (2000). Hali ya hewa ni baridi sana na katika sehemu kubwa ya jimbo hakuna uwezekano wa kulima mashamba.

Mji mkuu ni Juneau lakini mji mkubwa ni Anchorage.


Alaska iliwahi kutawaliwa na Urusi lakini iliuzwa kwa Marekani 18 Oktoba 1867. Tangu 1959 eneo lilipata hali ya jimbo la kujitawala.


Viungo vya Nje



Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya MarekaniVisiwa vya Mariana ya KaskaziniGuamKatika Karibi: Puerto RicoVisiwa vya Virgin vya MarekaniVisiwa vidogo sana vya Pasifiki:Kisiwa cha HowlandKisiwa cha Jarvis Atolli ya JohnstonKingman ReefAtolli ya MidwayKisiwa cha BakerAtolli ya PalmyraKisiwa cha WakeKisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa

Kigezo:Link FA