Hesse : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: gd:Hessen; cosmetic changes |
Xqbot (majadiliano | michango) d roboti Badiliko: th:รัฐเฮสเซิน |
||
Mstari 128: | Mstari 128: | ||
[[sv:Hessen]] |
[[sv:Hessen]] |
||
[[ta:கெஸ்சன்]] |
[[ta:கெஸ்சன்]] |
||
[[th:รัฐ |
[[th:รัฐเฮสเซิน]] |
||
[[tk:Hessen]] |
[[tk:Hessen]] |
||
[[tr:Hessen]] |
[[tr:Hessen]] |
Pitio la 01:26, 8 Agosti 2010
Hesse (Kijerumani:Hessen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 6,1 kwenye eneo la 21 114 km². Mji mkuu ni Wiesbaden. Waziri mkuu ni Roland Koch (CDU).
Jiografia
Hesse imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine Kaskazini - Westfalia, Saksonia ya chini, Thuringia, Rhine-Palatino, Baden-Württemberg na Bavaria.
Miji mikubwa ni pamoja na Frankfurt am Main, Wiesbaden, Kassel, Darmstadt, Offenbach, Marburg, Fulda, Gießen, Wetzlar, Hanau na Bad Homburg.
Rhine, Lahn na Main ni mito muhimu zaidi.
Picha za Hesse
-
Kassel
-
Offenbach
-
Marburg
-
Fulda
-
Wetzlar
-
Hanau
-
Limburg
Tovuti za Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hesse kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Baden-Württemberg • Bavaria (Bayern) • Berlin • Brandenburg • Bremen • Hamburg • Hesse (Hessen) • Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) • Saksonia Chini (Niedersachsen) • Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) • Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) • Saar (Saarland) • Saksonia (Sachsen) • Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) • Schleswig-Holstein • Thuringia (Thüringen) |